List Expensive Perfumes na clones zake kwa wenye vipato vya chini

List Expensive Perfumes na clones zake kwa wenye vipato vya chini

Upo vizuri. Nyingine zinazidi hata ubora wa Original zenyewe. Mfano club de Nuit intense man limited edition parfum ipo vizuri zaidi kwenye kila sector kuliko Creed.
Bei yake ikoje mkuu?
 
mkuu huko vinzuri well informed kuhusu hizi pafyum
naomba unitajie pafyum nzuri ya kiume kama aina mbili tatu bei isizidi elf 50 na unaweza kunipa muongozo dar esalaam nitazipata wapi hizo copy OG yaan maduka mtaa nk
 
Kuna utanashati na
Kuna umaridadi....

Kupendeza....
Kunukia vizuri....

Kuna mahali nilikuwa nanunua perfume Kariakoo, duka bayaaa chafuuu ila perfume za ukweli na bei nafuu. Sasa nikawa nikijipulizia unyunyu kuna mdada akashindwa kuvumilia akaniuliza aina ya perfume na ataipata wapi.

Kiroho safii tuu nikampa location ile kizuri kula na wenzio khaaa...!!! Bora ningemlangua nikachukua cha juu niwe supplier wake kila akitaka.

Alikuja siku moja kazini na maneno ya shombo, mbele ya staff kibao heee jamanii yaani huyu Kasinde, kanipeleka mahala huko nusu niibiwe, mara nusu nijikate na kutu, nusu sijui nitapike sijui nijiharishie.... I was like whaaaat....!!! Nikapiga kimya ila alinikeraaaaa.
Wakati ananiuliza kuhusu perfume alinifata faragha, negative feedback mbele ya hadhira...!!

Nikajisemea no wonder kuna watu ukiwauliza wapi umenunua kitu ulichopenda hawakuoneshi ama wakwambie uwape hela wakakuletee au watakwambia ameletewa zawadi.

Najua hizi perfume sikuhizi hazipo ila Bondage ilinifanya mwanaume akanipenda.

Na Issey Miyak ilinifanya nimdondokee mwanaume puuuh mpaka ardhini mzimamzima.

Don't over do your perfume.
Don't underestimate the power of perfume.
 
Bei yake ikoje mkuu?
mimi binafsi huwa naagizia UAE au Amazon. Hii limited edition bei kidogo imechangamka kwa Dubai au amazon unaweza kupata kuanzia 180,000. Ila ipo club de Nuit intense man (sio limited edition) nayo ipo vizuri sana. unaweza kupata dubai kwa tsh 75,000. kama una mtu kule unaweza kununua kupitia website ya noon halafu akapelekewa alipo kisha akakutumia. Kumbuka creed yenyewe kwa huku kwetu bei inaanzia laki 8 mpaka 1.3ml. Napendelea kuagiza kwa sababu nasave amount kubwa.
 
mkuu huko vinzuri well informed kuhusu hizi pafyum
naomba unitajie pafyum nzuri ya kiume kama aina mbili tatu bei isizidi elf 50 na unaweza kunipa muongozo dar esalaam nitazipata wapi hizo copy OG yaan maduka mtaa nk

Sent from my Infinix X669 using JamiiForums mobile app
1. Oud 24 Hours Majestic Gold Ard Al Zaafaran - clone ya stronger with you leather

2. asad by lattafa - clone ya sauvage alixir

3. Dark Door Intense Maison Alhambra

4. Fakhar Black by Lattafa

5. Just Azraq ya Fragrance World

6. Hayaati ya Lattafa - clone ya Invictus


Cheki na huyu jamaa 0718777760 anaitwa Idrissa. maduka ya kariakoo naogopa kurecommend (sisemi wanauza feki) ila sijawahi deal nao
 
Sboy
Salaam.
Wapenzi wa manukato nimewaandalia list ya Perfume maarufu (na zenye bei mbaya) na clones zake zinazofanana kwa asilimia 60 mpaka 90.

Unaweza kuwa ni mpenzi wa perfume fulani lakini hali ya kifedha ikawa hairuhusu hivyo unaweza kupata clone au wenyewe wanaita dupes ambazo zinakuwa bei rahisi.

Baadhi ya hizi clone performance zake zinakuwa chini kidogo na kuna nyingine performance zake zinazidi hata OG yenyewe.

Mathalan creed aventus (bei yake est 700,000) ina clones karibia 5 lakini best ambazo zinaizidi hata creed yenyewe ni Club de Nuit intense man (bei estimation 85,000) na Club de Nuit intense man limited edition parfum ( bei estimation inakaribia 150,000).

Perfumes zipo nyingi sana so inawezekana unayoipenda haipo kwenye list, basi kuwa huru kuuliza. na nitaendelea ku update hii list kadri nitavyoweza.

Ushauri, recommendations, maoni na maswali yanakaribishwa.
SBoy by Droco
 
Club de Nuit urban elixir. Unaweza kupata kuanzia 80k mpaka 130k. Office yetu itakuwa tayari baada ya miezi 3. Sasa hivi tupo kwenye negotiations ya kupewa udistributor. So tegemea bei za chini zabisa kutoka kwetu hapo baadae Inshaallah
Kuhusu utekaji wa wanunua pafyumu zenu unaofanywa hapa mnapouza unasemaje?
 
Tunaelekea kwenye ku collapse kama zairwaa soon ukiona taifa lina chawa wengi wa watawala halafu wao wanashabikia mpira pafyumu na muziki ujue anguko lao ni jirani.
 
Nishauro perfume ya kutumia as a gentleman, isiyozidi 250,000 lakinj iwe quality ikiwezekana genuine... Mi hua natumia zaidi One Million ila nataka kubadili sasa
Jiulize utekwaji na hatimaye mauwaji ya mzee kibao if it were your father achana na pafyumu ushoga unaanzia humu..
 
Jiulize utekwaji na hatimaye mauwaji ya mzee kibao if it were your father achana na pafyumu ushoga unaanzia humu..
Nilijua ukiwa na nembo ya JF-expert member ni lazima uwe na akili. Hatimaye leo nimejua ukweli. Sijui kilichokufanya uvamie kwenye hii post unayosema ina dalili ya ushoga nini. Unless uwe . . . anyway nisiharibu swaum yangu
 
umemaanisha Sboy by Draco??
Hiyo still ni Niche perfume. Clone kama clone bado sijakutana nayo. Ila ukimix Creed aventus+ Baccarat rouge basi utakuwa umeipata hiyo Sboy karibia kwa 80%
Zamani nilikua natumia hizi spray za elfu 5 au zile za elfu 2 za Pen, na nikawa nanukia poa tu. Zile za kama pen nilizipenda sababu harufu yake haikuwa kali sana ya kukera, sasa miaka ya miwili hii, nimekua napata mafua nikitumia hizo spray jambo ambalo sikuwahi kuwa nalo.

Nimeuona uzi huu wako naona nataka kutumia hizo perfume za kishua, ila sasa wasiwasi wangu ni mafua. Inawzekana ni allergy au tu mwili umebadilika hautaki perfume?? Au zile ndio madhara ya vitu vya bei ndogo?
 
Salaam.
Wapenzi wa manukato nimewaandalia list ya Perfume maarufu (na zenye bei mbaya) na clones zake zinazofanana kwa asilimia 60 mpaka 90.

Unaweza kuwa ni mpenzi wa perfume fulani lakini hali ya kifedha ikawa hairuhusu hivyo unaweza kupata clone au wenyewe wanaita dupes ambazo zinakuwa bei rahisi.

Baadhi ya hizi clone performance zake zinakuwa chini kidogo na kuna nyingine performance zake zinazidi hata OG yenyewe.

Mathalan creed aventus (bei yake est 700,000) ina clones karibia 5 lakini best ambazo zinaizidi hata creed yenyewe ni Club de Nuit intense man (bei estimation 85,000) na Club de Nuit intense man limited edition parfum ( bei estimation inakaribia 150,000).

Perfumes zipo nyingi sana so inawezekana unayoipenda haipo kwenye list, basi kuwa huru kuuliza. na nitaendelea ku update hii list kadri nitavyoweza.

Ushauri, recommendations, maoni na maswali yanakaribishwa.
Hayo Mambo yenu watoto Yori yori....Mm nanunuaga zile za kumixiwa kwa 20,000 nasepa.
 
RAVE , clone yake ni NOW.(45k)
Pafyum nzur sana..

Mm natumia low budget pafyumu.
nimetumia fighting tempation kwa miaka 10+ ila sasa natumia NOW.
Na zote haruf inadumu kwa muda mrefu.
 
mimi binafsi huwa naagizia UAE au Amazon. Hii limited edition bei kidogo imechangamka kwa Dubai au amazon unaweza kupata kuanzia 180,000. Ila ipo club de Nuit intense man (sio limited edition) nayo ipo vizuri sana. unaweza kupata dubai kwa tsh 75,000. kama una mtu kule unaweza kununua kupitia website ya noon halafu akapelekewa alipo kisha akakutumia. Kumbuka creed yenyewe kwa huku kwetu bei inaanzia laki 8 mpaka 1.3ml. Napendelea kuagiza kwa sababu nasave amount kubwa.
Sawasawa boss, basi nikajua wewe ndo unauza hizi perfume.
 
Jiulize utekwaji na hatimaye mauwaji ya mzee kibao if it were your father achana na pafyumu ushoga unaanzia humu..
Tafuta namna ya kupunguza stress zako mkuu, si kila jambo ni siasa, majukwaa ya siasa na harakati yapo mengi tu. Yaani kwasababu Kibao katekwa kwahiyo tunuke kumuenzi?
 
Back
Top Bottom