Elections 2010 List Kamili ya WanaCCM Waliopendekezwa Kugombea Nafasi ya Ubunge Tanzania Bara

Jeremiah Solomon SUMARI
67

Sekondari
JIMBO LA ARUMERU MASHARIKI
ARUSHA

67


HANA HAYA YA KUZALIWA SI AKAKAE NA WAJUKUU ZAKE 67 ANATAFUTA NINI KAMA SI KUFIA KIDONDANI SHAME
 
mi nafikiri kabla ya kuanza kukimbizana na udini kwenye list tulinganishe na swala la SHULE jamani msipate dhambi ya BURE wakati majibu yapo wazi
 
Tangu lini vikao vya juu vya CCM vilianza kuwa mahakama za kusikiliza kesi za rushwa?


Hapo chacha sijui tuseme nini sasa?

Kukujibu nadhani walikuwa wanaficha madudu yao waliyoyavuruga kwenye kura za maoni nadhani kuna kamtu kana wa remote control makamba na chiligate sasa ndio wanafunika maozo yao ni uupuuuzi wa hali ya juuu sana inakuwa kama hawajui democracy kweli au ni unafki na fitna.

Najua watasingizia kamati ya maadili ndio imependekeza je hivi hakuna kamati ya maadili ya viongozi wa juu wa NEC wakoseaapo na kutoa matamshi yasina msingi kufikishwa nao kamati ya maadili? mfn KTB Mkuu CCM Y.Makamba alikiuka mapendekezo ya NEC kuhusu wapiga kura za maoni ndani ya CCM na kuwaambia wapige kura hivyo hivyo mtu aende na kadi ya chama peke yake bila kitamburisho cha taifa cha kupiga kura na kadi za CCM hazikuwa na picha wala stakabadhi ya kujiunga uanachama na malipo ya kila mwezi
 

Dr. Wilbald Slaa LORRI[/FONT][/SIZE] ni nduguye na
Je huyu ni nduguye na Dr. Slaa wa Chadema?

Kitu kingine ninachojiuliza kutokana na taarifa za wagombea hawa ni kuhusu utumishi wa wakuu wa mikoa, nimeona Shekifu kaonyeshwa kuwa na miaka 64, mbona aliendelea kuwa mkuu wa mkoa?
 
Asiye kuwapo na lake halipo.If you are absent you lose your share Avumaye baharini papa kumbe wengi wapo.Shark is the famous one in sea the but they many others
 


Huyu amechanganya Jimbo au? Maana Mkoa ule unajulikana kwa kuwa na Ma Dr. na Ma Prof.!

Baba_Enock katika Post yako #82 nafikiri muanzisha Mada kuna mahali kakosea....Huko Kagera kuna Nkenge na Misenyi.Mama Asumptha ndiye Mshindi wa Misenyi na amemuangusha Dr.Kamala (Waziri wa Mambo ya East Africa) ambaye alikata rufaa lakini NEC/CC wametupilia mbali rufaa yake.Kuna tetesi kuwa Dr.Kamala anafanya mazungumzo na vyama vya Upinzani ili apambane tena na Asumptha Mshama.(Asumptha Nshunju ndio huyo huyo Mshama (Jna la Mumewe))
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…