ze farmer
JF-Expert Member
- Jul 31, 2016
- 922
- 1,804
- Thread starter
- #21
Mkuu unajitafutia matatizo msimu huh wa sikukuu
Sent using Jamii Forums mobile app
naomba uniroge mkuu mshana
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
naomba uniroge mkuu mshana
Nilijua ni Papua New Guinea kumbe kuna nyingine inaitwa Papua New GambiaZijue nchi 14zinazoongoza kwa uchawi duniani
14.Tanzania
13. Gambia
12. Nepal
11. India
10. Papua New Gambia
9. West india
8. Colombia
7. Ghana
6. DRC
5. Nigeria
4. S.A
3. Chile
2. Mexico
1. Romania
Sent using Jamii Forums mobile app
Tanga HaimoHii ni list ya mikoa kumi inayoongoza kwa uchawi Tanzania. Kama warning ukielekea huko kuwa na tahadhari.
1.Shinyanga
2. Rukwa
3. Kigoma
4. Mtwara
5. Tanga
6. Simiyu
7. Lindi
8. Tabora
9. Ruvuma
10. KATAVI
Sent using Jamii Forums mobile app
Zijue nchi 14zinazoongoza kwa uchawi duniani
14.Tanzania
13. Gambia
12. Nepal
11. India
10. Papua New Gambia
9. West india
8. Colombia
7. Ghana
6. DRC
5. Nigeria
4. S.A
3. Chile
2. Mexico
1. Romania
Sent using Jamii Forums mobile app
kumbe imo tano bora POAAAA maana wana TEGO mwisho wa kazi kwa wakware wa kiume!!Tanga Haimo
Hii haimaanishi mikoa mingine hakuna uchawi, hivo viwango ndo vimetumika kurank mikoa hapo juu.mtoa mada pia mchawi.tupe vielelezo vigezo wahusika uliowatumia utafiti uliufanya mwenyewe .
uchawi upo kila sehemu viwango vmetofautiana tu
Haipo kumi bora isubiri list iyajo na waendelee kufanya juhudi zaidi
MimiDuuh!! Hivyo huu utafiti nani kaufanya? [emoji848][emoji848][emoji848]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] proven
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] pure ??Haijachakachuliwa
Jr[emoji769]
unauchaje mbeya na njombe?
Hamna viwango huko Mbeya na Njombe. Watu mnaotoka kusini njanda za juu mnajua tu wakina Mwandulami kuna watu huko sumbawanga wanaweza hamisha mpaka mto maji yanapanda mlima, violation of gravitational law. Nyie cha mtotoJamani sasa kama hiyo mikoa 10 imeizidi Mbeya na Njombe na yeye kataka kuweka top 10 tu?? Binadamu bana!!
Heaven Sent njoo uone jinsi binadamu walivyo na husuda na wivu juu yetu sisi makuhani tulioteuliwa na muumba
Sent using Jamii Forums mobile app
Pole mkuu kazaneni tutatoa list mpya mwakani mnaweza ingia top 10Mkoa wangu haupo