List of African Countries with Hardest Working and Laziest People

List of African Countries with Hardest Working and Laziest People

Wakenya wanakodisha wake zao kwa wazungu kutokana na hali mbaya ya maisha 😂😂😂
Kuna mmoja kakodisha mke wake kwa Mzungu mke akaona nani arudi tena kenya... Akaona bora anganganie kwa mzungu.
 
Alafu tumenunua ndege 8 within 4 yrs kwa pesa za walipa kodi alafu wanadai sisi laziest. Mbwa kabisa hawa.
See how stupid you are, nani kakuambia eti kununua ndege inashow your hardworking
 
Tanzania inalisha nchi zote zinazoizunguka pamoja na kujilisha yenyewe bila kuingiza chakula kutoka nje

Kuna nchi hazina uwezo wa kujilisha zenyewe

Hapo hapo Tanzania inaongoza Africa kwa kulima mazao karibu yote ya biashara sasa hapo sijui watanzania wanakuaje wavivu
Kwa sababu mna ardhi yenye rutuba hata mkimwaga mahindi na mkose kuyapalilia mtavuna tu. Kinachohuzunisha ni wale watoto wanaokula kinyesi huku mkijigamba mna chakula kingi na wengine kuchinja watoto wao ili watajirike. Huu ni uzembe
 
Wakenya wanawaita watanzania lazy lakini wamejazana manyara kununua mahindi tena wanayachukua usikuusiku ili mamlaka isiwakamate na vitunguu saumu, Sasa hapo lazy ni Nani, anayeshindwa kulima kwake mpaka anaenda kuhemea au yule anayelima?
 
Mti wenye matunda hupigwa mawe ya kutosha tu
Here is a list of countries that have the laziest citizens and Tanzanians didn't disappoint. Tanzania has retained the top spot again for four years in a row.
1. Tanzania
2. Burundi
3. Swaziland
4. Lesotho
5. Equatorial Guinea
6. Congo
7. Cape Verde
8. South Sudan.
 
Kwa sababu mna ardhi yenye rutuba hata mkimwaga mahindi na mkose kuyapalilia mtavuna tu. Kinachohuzunisha ni wale watoto wanaokula kinyesi huku mkijigamba mna chakula kingi na wengine kuchinja watoto wao ili watajirike. Huu ni uzembe
That’s why we feed you dear one.

IMG_7023.JPG
 
It shows you are buying one just because others have it
Donchu think its because we need them and we have funds bcoz we're hard workers. Au mnataka kq ipige routes za mikoa ya Tz.
Jamani sometimes just hide your ignorance mazee, duh.
 
Back
Top Bottom