Nyakageni
JF-Expert Member
- Feb 1, 2011
- 15,045
- 5,108
kama hujui hata kuandika ntakuaminine?? kwani nlichoanya ni nin? si nimleuliza swali jamani au nyie ndo wale wale wahanga na msiojiamini na sehem usomayo? mdogo wangu yuko pale mwaka wa pili sasa na computer science anayosoma hakuna biashara,labda kama elective! IFM computer science ipo ila si ya hivyo ulivyosema...
absolutely!! Huyu jamaa kavamia jF akijua ni fB!! He/She knows not that he/she knows not!! A tongue twister! Ha ha ha ha!