List of Rostam and Akram Aziz companies & Mohamed Enterprises

List of Rostam and Akram Aziz companies & Mohamed Enterprises

Kwani kakufa????
Huoni hata kwenye avatar yake imeandikwa R.I.P,alikutwa amefariki kwenye nyumba ya kulala wageni Mbeya alipokuwa akiishi chanzo ikidaiwa ni kujiua sababu ya ugomvi wa kifamilia kati yake na mkewe.
 
Kuna watu wengi ambao wamejificha nyuma ya Huyu mheshimiwa... Na ndio nao tunataka tuwafahamu..........tutasafisha this year mpaka tuhakikishe everything clean .....
Kweli;maakini akipata matako hulia mbwata. Hawa ni matajiri,wametafuta mali zao kwa juhudi,maarifa na bidii nyingi. Huwezi kuwaonea wivu na kuwaita majina mabaya jinsi unavyopenda.
Angalia ni jinsi gani unaweza kutumia utajiri wao ili sote kama taifa tufaidike nao.
Tuone ni vipi wanalisaidia taifa kwa kutoa ajira kwa watu wetu,tuone jinsi biashara yao inavyookoa fedha za kigeni kwa kuzalisha bidhaa hapa,tuangalie kodi wanazotulipa sisi kama serikali,tuone jinsi tutakavyotumia makampuni yao kwa ujenzi wa majengo na barabara badala ya kuita makampuni ya kigeni kuja kutujengea nk.

Kuwaita wafanyabiashara wa kitanzania kwamba ni wezi,na kuwatafutia namna ya kuwadhibiti ni roho mbaya tu na wivu wa kiswahili tulio nao,wala hauwezi kutusaidia kama taifa.
 
Suala la ufisadi linachanganya sana, hivi ukikuta dukani soda inauzwa 200 badala ya 600 utakataa kwa sababu ni bei ndogo? Baadae mtu anakuambia yule muuzaji ni chizi kwa hiyo una makosa kununua soda kwa being hio, kwani we ndie uliyemweka yule chizi kuuza dukani.

Eti RA alinunua viwanda kwa bei ndogo hivyo ni fisadi, kwahiyo angekataa angesema niongezeeni bei, hii ni ndogo sana!!! Watu wanaenda mbali eti auwawe!!! Kosa no kunua kwa bei ndogo au kuuza???

Hamjui kuna vingine hata hiyo bei ndogo vilikosa vimekuwa stoo ya popo, badala ya kumshukuru angalau amenunua viwanda vilivyo uwawa na serikali ya ujamaa. Hivyo hamvisemi, kuna kiongozi anaweza kukwepa lawama za kufa kwa viwanda kuanzia Nyerere aliyepewa msaada na wachina na warusi lakini vikafia mkononi mwake, Mwinyi akavizika, Mkapa akavifufua kwa kuviuza angalau kwa bei yoyote, anaambulia matusi tu??
 
Back
Top Bottom