List of Students Selected to Join undergraduate Programmes 2012-2013 UDOM

List of Students Selected to Join undergraduate Programmes 2012-2013 UDOM

Mbona nahisi kama naenda sua, mmh nitakuwa pamoja na ze duduz na lordville,dah
 
Hii kitu ni truuu
Prezdaa jomba, unakumbuka jana nilivyo post link na majina ya walokua admitted Tumaini university Iringa masela waakanza kuni dis nawe ulikuawepo ila midamida ukaja elewa anyway, ishu ni kwamba selection zisha pelekwa vyuoni sema t.c.u wana negotiate na bodi ya mikopo ili watoe list pamoja!!!!!!!!!!!!!!! nawasilisha
 
Usiwaze kaka nakumbuka nilikuwa nachet za mwanzo tuu ambazo ni cheti na dip mkuu xo usiwaze kiviiilee coz one lov sana
 
Tunaotumia simu inatuuma kusikia yametoka ila simu zinashindwa tafadhali wakuu yawekeni tuyaone
 
Back
Top Bottom