List ya Celebrities waonamuunga mkono Kamala Vs Trump Uchaguzi wa Marekani

List ya Celebrities waonamuunga mkono Kamala Vs Trump Uchaguzi wa Marekani

Mtambachuo

JF-Expert Member
Joined
May 6, 2023
Posts
1,907
Reaction score
3,560
Mimi kwa mtizamo wangu na kulingana na kura za awali na imani

Donald Trump atashinda uchaguzi wa Marekani, ambao unategemewa
kufanyika tarehe 5 November 2024.

Kwa sasa Marekani inamuhitaji sana mtu kama Donald Trump kwani Marekani
ina maadui wengi hivyo inahitaji Raisi shupavu, kete hii inambeba sana hasa
kwa wahafidhina wa Marekani.

Donald Trump akishinda na kuwa Raisi dunia itachangamka. Poleni sana
Shithole Countries msiopenda Donald Trump msema kweli.

FB_IMG_1730290835364.jpg
 
Wale wana mifumo inayofanya kazi, Katiba yao ni bora pamoja na sheria zao katika kila jimbo, pia Mahakama zao zipo huru ambapo Rais akifanya ujinga anapandishwa kizimbani bila shida.
Kwa wenzetu hata wakipata Rais wa sampuli ipi, maamuzi critical ya nchi yanafanywa na Rais pamoja na Bunge. Wasipoelewana basi Mahakama yao inachukua nafasi kuona yupi yupo sahihi kulingana na Sera / sheria zao.

Kwetu hapa kwa Katiba hii ndugu zangu ukapata Rais wa ajabu - utaimba haleluya.
 
Wale wana mifumo inayofanya kazi, Katiba yao ni bora pamoja na sheria zao katika kila jimbo, pia Mahakama zao zipo huru ambapo Rais akifanya ujinga anapandishwa kizimbani bila shida.
Kwa wenzetu hata wakipata Rais wa sampuli ipi, maamuzi critical ya nchi yanafanywa na Rais pamoja na Bunge. Wasipoelewana basi Mahakama yao inachukua nafasi kuona yupi yupo sahihi kulingana na Sera / sheria zao.

Kwetu hapa kwa Katiba hii
dugu zangu ukapata Rais wa ajabu - utaimba halekuya.
Yes wana mifumo mizuri (Institutionalisation) sio huku kwetu

Mtu mmoja ndio ana amua hatima ya watu wengi.
 
Kwa Trump wako wagumu wagumu kama akina Lisu na JD 🐼
Mkuu unajua na dunia tunakoelekea kwenye sheria za NEW WORLD ORDER - GREAT RESET lazima uwe na mtu kama Trump kuliko yule madam Kamala.
Dunia inaelekea mwisho wake ndo maana Donard Trump katika campaign zake alisema " This my be the last election in America" Ukisoma zile ILANI za vyama vyao wote , Trump anayo Project 2025/ Heritage foundation na Madam Kamala anayo ya Climate Change. Zote mwisho wa siku zinalenga palepale. Anyway, Wenye hekima ndio watajua tunakwenda wapi kufuatana na kitabu cha ufunuo 13:1-18 Lazima kuwe na kulazimisha ibaada kwa watu na kutoweza kununua au kuuza kwa wale wanaokataa. All in all, dunia tukae mguu sawa.
 
Yes, its either mtu moja au kikundi cha watu wachache. Kwa mfano mambo kama Christo -Fascist Regime
Yes na wanajitengenezea family dynasty za kurithishana

na kutafuna rasilimali za nchi.
 
Back
Top Bottom