Mtambachuo
JF-Expert Member
- May 6, 2023
- 1,907
- 3,560
- Thread starter
- #21
Ooh sawa sawa, ukicheki matajiri wakubwa wapo huko, wana Sayansi a teknolojiaUko sahihi kabisa. Utawala mkubwa duniani ulioibuka wakati utawala mwingine mkubwa duniani ulipodidimia ni America-USA. USA is a historical/biblical nation na itaendelea kuwa kidedea hadi mwisho wa dunia.
wakubwa pia wengi wapo huko. Marekani ni giant.