List ya Celebrities waonamuunga mkono Kamala Vs Trump Uchaguzi wa Marekani

List ya Celebrities waonamuunga mkono Kamala Vs Trump Uchaguzi wa Marekani

Uko sahihi kabisa. Utawala mkubwa duniani ulioibuka wakati utawala mwingine mkubwa duniani ulipodidimia ni America-USA. USA is a historical/biblical nation na itaendelea kuwa kidedea hadi mwisho wa dunia.
Ooh sawa sawa, ukicheki matajiri wakubwa wapo huko, wana Sayansi a teknolojia

wakubwa pia wengi wapo huko. Marekani ni giant.
 
Mimi kwa mtizamo wangu na kulingana na kura za awali na imani

Donald Trump atashinda uchaguzi wa Marekani, ambao unategemewa
kufanyika tarehe 5 November 2024.

Kwa sasa Marekani inamuhitaji sana mtu kama Donald Trump kwani Marekani
ina maadui wengi hivyo inahitaji Raisi shupavu, kete hii inambeba sana hasa
kwa wahafidhina wa Marekani.

Donald Trump akishinda na kuwa Raisi dunia itachangamka. Poleni sana
Shithole Countries msiopenda Donald Trump msema kweli.
Yule ni kichaa! Halindi interests za Marekani Afrika anaachia wachina wanajitanua TU! Halafu ni libaguzi la rangi sana! Pumbavu sana!
 
Wale wana mifumo inayofanya kazi, Katiba yao ni bora pamoja na sheria zao katika kila jimbo, pia Mahakama zao zipo huru ambapo Rais akifanya ujinga anapandishwa kizimbani bila shida.
Kwa wenzetu hata wakipata Rais wa sampuli ipi, maamuzi critical ya nchi yanafanywa na Rais pamoja na Bunge. Wasipoelewana basi Mahakama yao inachukua nafasi kuona yupi yupo sahihi kulingana na Sera / sheria zao.

Kwetu hapa kwa Katiba hii ndugu zangu ukapata Rais wa ajabu - utaimba haleluya.
Marekani Ina mifumo imara sio one man show ya maccm kama Ile ya jiwe!
 
Wale wana mifumo inayofanya kazi, Katiba yao ni bora pamoja na sheria zao katika kila jimbo, pia Mahakama zao zipo huru ambapo Rais akifanya ujinga anapandishwa kizimbani bila shida.
Kwa wenzetu hata wakipata Rais wa sampuli ipi, maamuzi critical ya nchi yanafanywa na Rais pamoja na Bunge. Wasipoelewana basi Mahakama yao inachukua nafasi kuona yupi yupo sahihi kulingana na Sera / sheria zao.

Kwetu hapa kwa Katiba hii ndugu zangu ukapata Rais wa ajabu - utaimba haleluya.
Kwa Afrika, hata katiba iwe msumeno kiasi gani haitokuja kuwezekana kuizidi nguvu ya mwanasiasa.

Kwa mifumo yetu ya kiuongozi ilivyo, demokrasia ni vazi tu ambalo tumelivaa ili kupata manufaa fulani kutoka nchi za nje.
 
Mimi kwa mtizamo wangu na kulingana na kura za awali na imani

Donald Trump atashinda uchaguzi wa Marekani, ambao unategemewa
kufanyika tarehe 5 November 2024.

Kwa sasa Marekani inamuhitaji sana mtu kama Donald Trump kwani Marekani
ina maadui wengi hivyo inahitaji Raisi shupavu, kete hii inambeba sana hasa
kwa wahafidhina wa Marekani.

Donald Trump akishinda na kuwa Raisi dunia itachangamka. Poleni sana
Shithole Countries msiopenda Donald Trump msema kweli.

View attachment 3139102
watu wana mpango. niliona sehemu eti elon musk ashachangia about 75 milion dollars.
 
Kwa Afrika, hata katiba iwe msumeno kiasi gani haitokuja kuwezekana kuizidi nguvu ya mwanasiasa.

Kwa mifumo yetu ya kiuongozi ilivyo, demokrasia ni vazi tu ambalo tumelivaa ili kupata manufaa fulani kutoka nchi za nje.
Ila kuna nchi zinajitahidi kama Kenya na Afrika kusini ila majority ya nchi

za Afrika ni matatizo.
 
Wale wana mifumo inayofanya kazi, Katiba yao ni bora pamoja na sheria zao katika kila jimbo, pia Mahakama zao zipo huru ambapo Rais akifanya ujinga anapandishwa kizimbani bila shida.
Kwa wenzetu hata wakipata Rais wa sampuli ipi, maamuzi critical ya nchi yanafanywa na Rais pamoja na Bunge. Wasipoelewana basi Mahakama yao inachukua nafasi kuona yupi yupo sahihi kulingana na Sera / sheria zao.

Kwetu hapa kwa Katiba hii ndugu zangu ukapata Rais wa ajabu - utaimba haleluya.

Unajua Trump alikuwa convicted on 34 counts ila bado anagombea urais huku Diddy mwenye allegations bila conviction yeyote kanyimwa dhamana. Haki gani unaongelea?
 
Mimi kwa mtizamo wangu na kulingana na kura za awali na imani

Donald Trump atashinda uchaguzi wa Marekani, ambao unategemewa
kufanyika tarehe 5 November 2024.

Kwa sasa Marekani inamuhitaji sana mtu kama Donald Trump kwani Marekani
ina maadui wengi hivyo inahitaji Raisi shupavu, kete hii inambeba sana hasa
kwa wahafidhina wa Marekani.

Donald Trump akishinda na kuwa Raisi dunia itachangamka. Poleni sana
Shithole Countries msiopenda Donald Trump msema kweli.

View attachment 3139102
Hata mimi niongezee hapo kwenye orodha ya kumuunga mkono 'mshangazi'.
 
Unajua Trump alikuwa convicted on 34 counts ila bado anagombea urais huku Diddy mwenye allegations bila conviction yeyote kanyimwa dhamana. Haki gani unaongelea?
Kwa hiyo umeamua kuonesha chuki yako dhidi ya Trump.
 
Kwa hiyo umeamua kuonesha chuki yako dhidi ya Trump.

I could vote for him. Swali langu halina uhusiano wowote na chuki, nimeuliza unajua alikuwa convicted on 34 counts sio moja au mbili bali 34. Mnapenda kudanganyana utawala wa sheria nchi zingine wakati mifano ipo on plain sight.
 
Back
Top Bottom