Mtambachuo
JF-Expert Member
- May 6, 2023
- 1,907
- 3,560
- Thread starter
-
- #21
Ooh sawa sawa, ukicheki matajiri wakubwa wapo huko, wana Sayansi a teknolojiaUko sahihi kabisa. Utawala mkubwa duniani ulioibuka wakati utawala mwingine mkubwa duniani ulipodidimia ni America-USA. USA is a historical/biblical nation na itaendelea kuwa kidedea hadi mwisho wa dunia.
Yap matokeo yake rais anakuwa sio anayependwa na wananchiYaani Electro Vote ni kikwazo kikubwa sana. Popular vote hazigarantee kuwa Rais
Hizo hizo electoral Vote, lazima Trump ashinde Marekani hawatakiYaani Electro Vote ni kikwazo kikubwa sana. Popular vote hazigarantee kuwa Rais
Yule ni kichaa! Halindi interests za Marekani Afrika anaachia wachina wanajitanua TU! Halafu ni libaguzi la rangi sana! Pumbavu sana!Mimi kwa mtizamo wangu na kulingana na kura za awali na imani
Donald Trump atashinda uchaguzi wa Marekani, ambao unategemewa
kufanyika tarehe 5 November 2024.
Kwa sasa Marekani inamuhitaji sana mtu kama Donald Trump kwani Marekani
ina maadui wengi hivyo inahitaji Raisi shupavu, kete hii inambeba sana hasa
kwa wahafidhina wa Marekani.
Donald Trump akishinda na kuwa Raisi dunia itachangamka. Poleni sana
Shithole Countries msiopenda Donald Trump msema kweli.
Marekani Ina mifumo imara sio one man show ya maccm kama Ile ya jiwe!Wale wana mifumo inayofanya kazi, Katiba yao ni bora pamoja na sheria zao katika kila jimbo, pia Mahakama zao zipo huru ambapo Rais akifanya ujinga anapandishwa kizimbani bila shida.
Kwa wenzetu hata wakipata Rais wa sampuli ipi, maamuzi critical ya nchi yanafanywa na Rais pamoja na Bunge. Wasipoelewana basi Mahakama yao inachukua nafasi kuona yupi yupo sahihi kulingana na Sera / sheria zao.
Kwetu hapa kwa Katiba hii ndugu zangu ukapata Rais wa ajabu - utaimba haleluya.
Kwa Afrika, hata katiba iwe msumeno kiasi gani haitokuja kuwezekana kuizidi nguvu ya mwanasiasa.Wale wana mifumo inayofanya kazi, Katiba yao ni bora pamoja na sheria zao katika kila jimbo, pia Mahakama zao zipo huru ambapo Rais akifanya ujinga anapandishwa kizimbani bila shida.
Kwa wenzetu hata wakipata Rais wa sampuli ipi, maamuzi critical ya nchi yanafanywa na Rais pamoja na Bunge. Wasipoelewana basi Mahakama yao inachukua nafasi kuona yupi yupo sahihi kulingana na Sera / sheria zao.
Kwetu hapa kwa Katiba hii ndugu zangu ukapata Rais wa ajabu - utaimba haleluya.
Hizo hizo electro Vote, lazima Trump ashinde Marekani hawataki
Nashukuru mkuu kwa kuweka sawaKwa ufahamisho neno sahihi ni Electoral votes na si Electro votes.
Kichaa ndio ila hataki mzamie fuateni utaratibu kwenda Marekani.Yule ni kichaa! Halindi interests za Marekani Afrika anaachia wachina wanajitanua TU! Halafu ni libaguzi la rangi sana! Pumbavu sana!
Sana mchuo mkali kweli kweliMchuano mkali
watu wana mpango. niliona sehemu eti elon musk ashachangia about 75 milion dollars.Mimi kwa mtizamo wangu na kulingana na kura za awali na imani
Donald Trump atashinda uchaguzi wa Marekani, ambao unategemewa
kufanyika tarehe 5 November 2024.
Kwa sasa Marekani inamuhitaji sana mtu kama Donald Trump kwani Marekani
ina maadui wengi hivyo inahitaji Raisi shupavu, kete hii inambeba sana hasa
kwa wahafidhina wa Marekani.
Donald Trump akishinda na kuwa Raisi dunia itachangamka. Poleni sana
Shithole Countries msiopenda Donald Trump msema kweli.
View attachment 3139102
Hii ndio inaaribu Afrika mtu huyo akifa au akiondoka basi mamboMarekani Ina mifumo imara sio one man show ya maccm kama Ile ya jiwe!
Ila kuna nchi zinajitahidi kama Kenya na Afrika kusini ila majority ya nchiKwa Afrika, hata katiba iwe msumeno kiasi gani haitokuja kuwezekana kuizidi nguvu ya mwanasiasa.
Kwa mifumo yetu ya kiuongozi ilivyo, demokrasia ni vazi tu ambalo tumelivaa ili kupata manufaa fulani kutoka nchi za nje.
Yes Elon Mask amemu endorse, watu wa Trump wengi ni matajiri, ni watuwatu wana mpango. niliona sehemu eti elon musk ashachangia about 75 milion dollars.
Wale wana mifumo inayofanya kazi, Katiba yao ni bora pamoja na sheria zao katika kila jimbo, pia Mahakama zao zipo huru ambapo Rais akifanya ujinga anapandishwa kizimbani bila shida.
Kwa wenzetu hata wakipata Rais wa sampuli ipi, maamuzi critical ya nchi yanafanywa na Rais pamoja na Bunge. Wasipoelewana basi Mahakama yao inachukua nafasi kuona yupi yupo sahihi kulingana na Sera / sheria zao.
Kwetu hapa kwa Katiba hii ndugu zangu ukapata Rais wa ajabu - utaimba haleluya.
Hata mimi niongezee hapo kwenye orodha ya kumuunga mkono 'mshangazi'.Mimi kwa mtizamo wangu na kulingana na kura za awali na imani
Donald Trump atashinda uchaguzi wa Marekani, ambao unategemewa
kufanyika tarehe 5 November 2024.
Kwa sasa Marekani inamuhitaji sana mtu kama Donald Trump kwani Marekani
ina maadui wengi hivyo inahitaji Raisi shupavu, kete hii inambeba sana hasa
kwa wahafidhina wa Marekani.
Donald Trump akishinda na kuwa Raisi dunia itachangamka. Poleni sana
Shithole Countries msiopenda Donald Trump msema kweli.
View attachment 3139102
Kwa hiyo umeamua kuonesha chuki yako dhidi ya Trump.Unajua Trump alikuwa convicted on 34 counts ila bado anagombea urais huku Diddy mwenye allegations bila conviction yeyote kanyimwa dhamana. Haki gani unaongelea?
Kwa hiyo umeamua kuonesha chuki yako dhidi ya Trump.