List ya Mastaa Bongo wanaoongoza kwa kupigilia Suti kali, Diamond kinara!

List ya Mastaa Bongo wanaoongoza kwa kupigilia Suti kali, Diamond kinara!

Hao unaowataja hapo no. 1 ni sheria ngowi, hao wengine masuti yao ya rangi rangi washamba tuu
 
Teh Teh huyu B 12 ni mara ngapi huvaa suti au una mpamba tuu?
 
Msanii anayengoza kwa kutupia Bongo ni Jux na Dimpoz kwa mbali, ila daimond mwili wake na suti hauendani hata kidogo

Well said mkuu,mtu mwenye mwili mkubwa juu chini mdogo hawezi pendezwa na suti hta cku 1 ila ndio ivo tena ustaa tunaaminishwa kila akivaacho kinampendeza,hebu cheki bodi ya kiba akitupia suti zinavyotoka cheche ni balaaa
 
Well said mkuu,mtu mwenye mwili mkubwa juu chini mdogo hawezi pendezwa na suti hta cku 1 ila ndio ivo tena ustaa tunaaminishwa kila akivaacho kinampendeza,hebu cheki bodi ya kiba akitupia suti zinavyotoka cheche ni balaaa

huyu aliendika thread kaandika ki ushabiki sio uhalisia huyo no 1 kwa dimpoz tu hakamati akamate kwa kiba no
 
Michael Jackson alikuwa star au famous?

je Barack Obama ni star au famous?

majibu samahani!

star is generally with in art/entertainment while fame:can be in any category eg politics killers science rape etc
 
Michael Jackson alikuwa star au famous?

je Barack Obama ni star au famous?

majibu samahani!

celebrity associated with wealth n public attention so they are different
 
Diamond katoka bomba sana na kisuti chake, hapo angetoa hayo manywele angependeza zaidi.
 
huyu aliendika thread kaandika ki ushabiki sio uhalisia huyo no 1 kwa dimpoz tu hakamati akamate kwa kiba no

Nafikiri wewe tatizo lako ni kiba...kiba suti hazimkai.
 
Diamond anaenda kuwa katuni ya John Bravo!!Anakula nondo juu tu,chini vinabaki vinjiti.
 
tafiti gani ya kitaalamu umefanya?

Mkuu, nimefanya review ya uhakika, nikachagua na kutumia methodology ambazo ni relevant na study yangu niliyofanya, I mean vitu kama njia za collection of data, sampling na sample tecs validity etc etc nikafanya analysis inshort sio vitu vya kubahatisha hivi. Tena hizi sio zile zenu za repoa za kupika data
 
Mkuu, nimefanya review ya uhakika, nikachagua na kutumia methodology ambazo ni relevant na study yangu niliyofanya, I mean vitu kama njia za collection of data, sampling na sample tecs validity etc etc nikafanya analysis inshort sio vitu vya kubahatisha hivi. Tena hizi sio zile zenu za repoa za kupika data
unapomtoa Jux hapo kwamba havai mara kwa mara wakati diamond umemweka namba moja, hivi diamond kuvaa suti ana tofauti gani na jux? basi ungeangalia hata pics zao za insta nani kafanya snaps nyingi za suti
 
unapomtoa Jux hapo kwamba havai mara kwa mara wakati diamond umemweka namba moja, hivi diamond kuvaa suti ana tofauti gani na jux? basi ungeangalia hata pics zao za insta nani kafanya snaps nyingi za suti

Jux ni mpiga pamba mzuri ila sio mtu wa suti, hata kwenye matukio makubwa...
 
Back
Top Bottom