List ya vijana 10 Tanzania waliobadilishwa maisha na ujio wa Mtandao. Bando zao zimewapa maisha mazuri

List ya vijana 10 Tanzania waliobadilishwa maisha na ujio wa Mtandao. Bando zao zimewapa maisha mazuri

MELEKAHE

JF-Expert Member
Joined
Nov 19, 2023
Posts
1,340
Reaction score
5,588
Habari wadau.

Kwa wale mashangazi na wajomba nazani tunajua kwamba miaka 12 iliyopita hakuna aliekuwa anaijua instagram.. facebook ndio ilikuwa inatamba kitambo ikisaidiwa na youtube.

Miaka ya 2013 na 2014 ndipo instagram iliteka kwa kishindo wa Tanzania. Watu wa mwanzo mwanzo kudominate instagram walikuwa Wema Sepetu , Diamond Plutnumz na Millard ayo. Na wakaja wengine kibao.

Hii ni top 10 ya watu waliotajirishwa na wanaendelea kutajirishwa na uwepo wa instagram hapa Tanzania. Hawa watu hata wakiambiwa leo hii walipie fee mamilioni ili wawepo instagram watakubalo tu. Maana instagram imewapa maisha sana.


Namba 10. Hamisa Mobetto.

Bila uwepo wa instagram Hamisa mobetto hasingepata endorsement kali na maisha aliyonayo sasa hivi.
Kwa kutumia instagram yake tu anasaini madili ya mamilioni ya fedha ambayo yamemuwezesha kuishi maisha mazuri, kujenga na hata kumiliki magari ya gharama.

Bila uwepo wa instagram hapa Tanzania kampuni kubwa kama Tigo wasingempa Hamisa Mobetto endorsement za hela nyingi, kampuni za kubet, za nywele na kampuni zingine kibao zisingemfata hamisa mobetto.

9. HAJI MANARA.

Haji manara ni mmojawapo ya watanzania waliofaidika sana na uwepo wa instagram hapa Tanzania. Manara amejua kuitumia instagram na kupata maisha mazuri. Endorsement za kutosha na hata fursa za ajira kwenye timu kubwa sababu ya kudominate instagram.


8. Elizabeth Michael (lulu)

Muigizaji maarufu ni mmojawapo ya watu waliofaidika sana na uwepo wa instagram hapa Tanzania. Amepata endorsement nyingi na pia kupata hata advantage kwenye kesi yake kutokana na umaarufu wake uliochangiwa sana na instagram. Na kujikuta kuwa mfungwa aliyehudumia kifungo cha mauaji kwa muda mfupi kuliko wote hapa Tanzania. Pia hata baada ya kifungo nguvu yake instagram ilimpa endorsement nyingi na fursa pia ya kutimiza ndoto ya wanawake wengi ya kuolewa na mwanaume mwenye kipato kikubwa.


7. MC DR CHENI.

kaka Cheni ni Mc maarufu ambaye amepata maisha mazuri sababu ya instagram. Miaka ya 2010s mwanzoni mpala 2010s mwishoni ndie alikuwa Mc namba moja kwenye soko la harusi. Kabla ya nafasi yake haijaporwa na Garab. Cheni ni mmojawapo ya wa Tanzania waliopiga sana hela sababu ya kujenga brand yao kwa instagram.

6. Maznat

Dada maarufu kwenye sector ya saloon kubwa ya kupamba ma bibi harusi. Na yeye amepiga sana hela sababu ya instagram. Miaka ya 2010s mwanzoni mpaka 2010s mwishoni ndie alikuwa mmiliki wa saloon namba moja kwa wateja wengi siku za harusi zao. Maelfu ya mabibi harusi wamepita kwa maznat. Alijua kuitumia Instagram kujibrand vizuri na kupiga sana hela. Mpaka leo hii nadhani ndie anashika namba moja katika saloonist waliopiga hela za wateja kuliko wote hapa Tanzania.


5. Fred Vunja Bei

Kijana mtafutaji Fred maarufu kwa jina la vunja bei. Na yeye ni mmojawapo wa vijana waliotajirika sana kutokana na uwepo wa instagram. Kupitia biashara yake ya nguo chini ya brand ya Vunja bei. Alipiga sana hela baada ya kujenga jina lake kupitia instagram. Na kufikia mpaka kupewa tenda ya mabilioni ya kutengeneza jezi ya simba. Instagram ina mchango mkubwa sana kwake.


4. MC GARAB aka Mc wa taifa.

Katika watu waliofaidika na uwepo wa instagram hapa Tanzania huwezi kumuacha Mc garab. Huyu kaka amejua sana kuitumia instagram kwa kutengeneza content za harusi anazosherehesha.
Hii imemfanya apendwe na wateja wengi wa harusi hasa wanawake. Kumkodi kwenye harusi tu unapaswa umlipe zaidi ya milioni 3 kwa ajili ya yeye kuja kuongea tu masaa matatu ukumbini kwenye harusi yako. Wateja wengi wanamfata garab sababu ya page yake instagram. Kwamba baada ya harusi anakupost kwenye page yako watu wanakupongeza.. leo hii harusi kubwa haikamiliki bila kumuita Garab awe Mc.


3. Mange kimambi.
App yake inayolipiwa buku buku na wapenda umbeya imepata wateja haraka sababu ya instagram. Mange kimambi kajua sana kufaidika na mtandao wa instagram.


2. Millard ayo.

Ni kijana mwingine aliefaidika sana na uwepo wa instagram hapa Tanzania. Endorsement nyingi na fursa nyingi amezipata sababu ya page yake ya instagram.


1. Diamond plutnumz.

Huyu ndie king wa kufaidika na instagram hapa Tanzania.
Haitajiki hata kumuelezea kila mtu anajua..
Kuonesha alivyo serious na instagram alihakikisha familia yake yote iwe na page instagram kuanzia mama, dada, watoto wake mpaka majirani zake. Brand yake ya wasafi ina page instagram za kumwaga sababu anajua instagram ilivyomtajirisha


HONOURABLE MENTION

Mwijaku , Wema Sepetu, Ali kiba,
 
Mkuu, unawajua vijana?
Manara ni kijana?
Unamuondoaje Msanja Mkandamizaji kwenye list ya watu waliofadikika na Insta?
Maana ukisema vijana unakosea.
Vipi kuhusu Carry Mastory?
Hivi Babu Tale naye ni kijana?
Na Mahsein aka Dr Cheni naye kijana?
 
Mange Kimambi na app yake ya umbea alianzia Instagram
 
Tafadhali mods badilisheni kichwa cha habari na kisomeke hivi "LIST YA VIJANA NA WAZEE 10......"... Babutale, Fred, Millard, Manara, Cheni na GaraB sio vijana tena.
 
Habari wadau.

Kwa wale mashangazi na wajomba nazani tunajua kwamba miaka 12 iliyopita hakuna aliekuwa anaijua instagram.. facebook ndio ilikuwa inatamba kitambo ikisaidiwa na youtube.

Miaka ya 2013 na 2014 ndipo instagram iliteka kwa kishindo wa Tanzania. Watu wa mwanzo mwanzo kudominate instagram walikuwa Wema Sepetu , Diamond Plutnumz na Millard ayo. Na wakaja wengine kibao.

Hii ni top 10 ya watu waliotajirishwa na wanaendelea kutajirishwa na uwepo wa instagram hapa Tanzania. Hawa watu hata wakiambiwa leo hii walipie fee mamilioni ili wawepo instagram watakubalo tu. Maana instagram imewapa maisha sana.


Namba 10 ninampa Hamisa Mobetto. Bila uwepo wa instagram Hamisa mobetto hasingepata endorsement kali na maisha aliyonayo sasa hivi.
Kwa kutumia instagram yake tu anasaini madili ya mamilioni ya fedha ambayo yamemuwezesha kuishi maisha mazuri, kujenga na hata kumiliki magari ya gharama.

Bila uwepo wa instagram hapa Tanzania kampuni kubwa kama Tigo wasingempa Hamisa Mobetto endorsement za hela nyingi, kampuni za kubet, za nywele na kampuni zingine kibao zisingemfata hamisa mobetto.

9. HAJI MANARA.

Haji manara ni mmojawapo ya watanzania waliofaidika sana na uwepo wa instagram hapa Tanzania. Manara amejua kuitumia instagram na kupata maisha mazuri. Endorsement za kutosha na hata fursa za ajira kwenye timu kubwa sababu ya kudominate instagram.


8. Elizabeth Michael (lulu)

Muigizaji maarufu ni mmojawapo ya watu waliofaidika sana na uwepo wa instagram hapa Tanzania. Amepata endorsement nyingi na pia kupata hata advantage kwenye kesi yake kutokana na umaarufu wake uliochangiwa sana na instagram. Na kujikuta kuwa mfungwa aliyehudumia kifungo cha mauaji kwa muda mfupi kuliko wote hapa Tanzania. Pia hata baada ya kifungo nguvu yake instagram ilimpa endorsement nyingi na fursa pia ya kutimiza ndoto ya wanawake wengi ya kuolewa na mwanaume mwenye kipato kikubwa.


7. MC DR CHENI.

kaka Cheni ni Mc maarufu ambaye amepata maisha mazuri sababu ya instagram. Miaka ya 2010s mwanzoni mpala 2010s mwishoni ndie alikuwa Mc namba moja kwenye soko la harusi. Kabla ya nafasi yake haijaporwa na Garab. Cheni ni mmojawapo ya wa Tanzania waliopiga sana hela sababu ya kujenga brand yao kwa instagram.

6. Maznat

Dada maarufu kwenye sector ya saloon kubwa ya kupamba ma bibi harusi. Na yeye amepiga sana hela sababu ya instagram. Miaka ya 2010s mwanzoni mpaka 2010s mwishoni ndie alikuwa mmiliki wa saloon namba moja kwa wateja wengi siku za harusi zao. Maelfu ya mabibi harusi wamepita kwa maznat. Alijua kuitumia Instagram kujibrand vizuri na kupiga sana hela. Mpaka leo hii nadhani ndie anashika namba moja katika saloonist waliopiga hela za wateja kuliko wote hapa Tanzania.


5. Fred Vunja Bei

Kijana mtafutaji Fred maarufu kwa jina la vunja bei. Na yeye ni mmojawapo wa vijana waliotajirika sana kutokana na uwepo wa instagram. Kupitia biashara yake ya nguo chini ya brand ya Vunja bei. Alipiga sana hela baada ya kujenga jina lake kupitia instagram. Na kufikia mpaka kupewa tenda ya mabilioni ya kutengeneza jezi ya simba. Instagram ina mchango mkubwa sana kwake.

4. Babu Tale. Aka hamis tale tale.

Instagram imemsaidia sana babu tale kujenga jina lake kupitia kazi yake ya umeneja wa msanii mkubwa diamond plutnumz.. CV ya babu tale ya umeneja wa diamond ilikuzwa sana na page yake ya instagram kiasi cha kupata advantage hata ya kutinga bungeni. Hata wagombea wengine walisanda sababu ya brand yake alishinda kwa kupita bila kupingwa.


3. MC GARAB aka Mc wa taifa.

Katika watu waliofaidika na uwepo wa instagram hapa Tanzania huwezi kumuacha Mc garab. Huyu kaka amejua sana kuitumia instagram kwa kutengeneza content za harusi anazosherehesha.

Hii imemfanya apendwe na wateja wengi wa harusi hasa wanawake. Kumkodi kwenye harusi tu unapaswa umlipe zaidi ya milioni 3 kwa ajili ya yeye kuja kuongea tu masaa matatu ukumbini kwenye harusi yako. Wateja wengi wanamfata garab sababu ya page yake instagram. Kwamba baada ya harusi anakupost kwenye page yako watu wanakupongeza.. leo hii harusi kubwa haikamiliki bila kumuita Garab awe Mc.


2. Millard ayo.

Ni kijana mwingine aliefaidika sana na uwepo wa instagram hapa Tanzania. Endorsement nyingi na fursa nyingi amezipata sababu ya page yake ya instagram.


1. Diamond plutnumz.

Huyu ndie king wa kufaidika na instagram hapa Tanzania.
Haitajiki hata kumuelezea kila mtu anajua..
Kuonesha alivyo serious na instagram alihakikisha familia yake yote iwe na page instagram kuanzia mama, dada, watoto wake mpaka majirani zake. Brand yake ya wasafi ina page instagram za kumwaga sababu anajua instagram ilivyomtajirisha
chai.
 
Mange Kimambi the High Priestess of Gossip became a millionaire because of Instagram. I think her and Naseeb have been wildly rewarded by Social Media.​

Kweli huyu nilimsahau. Alipaswa ashike namba 3 huyu. Garab asogee 4.

Kuna mmojawapo alipaswa atoke kwenye top 10. Ampishe dada wa taifa
 
Tafadhali mods badilisheni kichwa cha habari na kisomeke hivi "LIST YA VIJANA NA WAZEE 10......"... Babutale, Fred, Millard, Manara, Cheni na GaraB sio vijana tena.

Instagram imewakuta wapo vijana.

Kwa Tanzania wanasema Umri wa ujana ni under 40s
 
Apo waweke watu kama carry mastory na juma lokole. Ila kwa lulu, dr cheni, diamond, babu tale wako famous kabla ya instagram.
 
Apo waweke watu kama carry mastory na juma lokole. Ila kwa lulu, dr cheni, diamond, babu tale wako famous kabla ya instagram.

Carry mastory ama juma lokole anamzidi nani alietajwa kwa kipato ama endorsements zama hizi za instagram Tanzania? Yaani mwijaku, wema sepetu aachwe kwenye list halafu awekwe juma lokole ama carry mastory, si itakuwa wehu huo. Nimewataja wale strong candidates ambao wanaonekana kwa macho.

Kumbuka Hiyo list hata rayvanny, harmonize, nandy, zuchu hawapo. Na hao wote wamewaacha mbali hao kina lokole

Umaarufu sio factor hata juma nature , Chidi benz na TID ni maarufu pia. Ila instagram haijawafaidisha
 
Carry mastory ama juma lokole anamzidi nani alietajwa kwa kipato ama endorsements zama hizi za instagram Tanzania? Yaani mwijaku, wema sepetu aachwe kwenye list halafu awekwe juma lokole ama carry mastory, si itakuwa wehu huo. Nimewataja wale strong candidates ambao wanaonekana kwa macho.

Kumbuka Hiyo list hata rayvanny, harmonize, nandy, zuchu hawapo. Na hao wote wamewaacha mbali hao kina lokole

Umaarufu sio factor hata juma nature , Chidi benz na TID ni maarufu pia. Ila instagram haijawafaidisha
watu tajwa apo hata pasingekuepo na instagram bado wangetengeza pesa tayari walikuwa na channels. Hivo instagram haina mchango mkubwa kiasi hicho hata ikitokea leo imefungwa bado wanasurvive tofauti na waliopata pesa instagram kupitia umaarufu wao ig.
 
Habari wadau.

Kwa wale mashangazi na wajomba nazani tunajua kwamba miaka 12 iliyopita hakuna aliekuwa anaijua instagram.. facebook ndio ilikuwa inatamba kitambo ikisaidiwa na youtube.

Miaka ya 2013 na 2014 ndipo instagram iliteka kwa kishindo wa Tanzania. Watu wa mwanzo mwanzo kudominate instagram walikuwa Wema Sepetu , Diamond Plutnumz na Millard ayo. Na wakaja wengine kibao.

Hii ni top 10 ya watu waliotajirishwa na wanaendelea kutajirishwa na uwepo wa instagram hapa Tanzania. Hawa watu hata wakiambiwa leo hii walipie fee mamilioni ili wawepo instagram watakubalo tu. Maana instagram imewapa maisha sana.


Namba 10. Hamisa Mobetto.

Bila uwepo wa instagram Hamisa mobetto hasingepata endorsement kali na maisha aliyonayo sasa hivi.
Kwa kutumia instagram yake tu anasaini madili ya mamilioni ya fedha ambayo yamemuwezesha kuishi maisha mazuri, kujenga na hata kumiliki magari ya gharama.

Bila uwepo wa instagram hapa Tanzania kampuni kubwa kama Tigo wasingempa Hamisa Mobetto endorsement za hela nyingi, kampuni za kubet, za nywele na kampuni zingine kibao zisingemfata hamisa mobetto.

9. HAJI MANARA.

Haji manara ni mmojawapo ya watanzania waliofaidika sana na uwepo wa instagram hapa Tanzania. Manara amejua kuitumia instagram na kupata maisha mazuri. Endorsement za kutosha na hata fursa za ajira kwenye timu kubwa sababu ya kudominate instagram.


8. Elizabeth Michael (lulu)

Muigizaji maarufu ni mmojawapo ya watu waliofaidika sana na uwepo wa instagram hapa Tanzania. Amepata endorsement nyingi na pia kupata hata advantage kwenye kesi yake kutokana na umaarufu wake uliochangiwa sana na instagram. Na kujikuta kuwa mfungwa aliyehudumia kifungo cha mauaji kwa muda mfupi kuliko wote hapa Tanzania. Pia hata baada ya kifungo nguvu yake instagram ilimpa endorsement nyingi na fursa pia ya kutimiza ndoto ya wanawake wengi ya kuolewa na mwanaume mwenye kipato kikubwa.


7. MC DR CHENI.

kaka Cheni ni Mc maarufu ambaye amepata maisha mazuri sababu ya instagram. Miaka ya 2010s mwanzoni mpala 2010s mwishoni ndie alikuwa Mc namba moja kwenye soko la harusi. Kabla ya nafasi yake haijaporwa na Garab. Cheni ni mmojawapo ya wa Tanzania waliopiga sana hela sababu ya kujenga brand yao kwa instagram.

6. Maznat

Dada maarufu kwenye sector ya saloon kubwa ya kupamba ma bibi harusi. Na yeye amepiga sana hela sababu ya instagram. Miaka ya 2010s mwanzoni mpaka 2010s mwishoni ndie alikuwa mmiliki wa saloon namba moja kwa wateja wengi siku za harusi zao. Maelfu ya mabibi harusi wamepita kwa maznat. Alijua kuitumia Instagram kujibrand vizuri na kupiga sana hela. Mpaka leo hii nadhani ndie anashika namba moja katika saloonist waliopiga hela za wateja kuliko wote hapa Tanzania.


5. Fred Vunja Bei

Kijana mtafutaji Fred maarufu kwa jina la vunja bei. Na yeye ni mmojawapo wa vijana waliotajirika sana kutokana na uwepo wa instagram. Kupitia biashara yake ya nguo chini ya brand ya Vunja bei. Alipiga sana hela baada ya kujenga jina lake kupitia instagram. Na kufikia mpaka kupewa tenda ya mabilioni ya kutengeneza jezi ya simba. Instagram ina mchango mkubwa sana kwake.


4. MC GARAB aka Mc wa taifa.

Katika watu waliofaidika na uwepo wa instagram hapa Tanzania huwezi kumuacha Mc garab. Huyu kaka amejua sana kuitumia instagram kwa kutengeneza content za harusi anazosherehesha.
Hii imemfanya apendwe na wateja wengi wa harusi hasa wanawake. Kumkodi kwenye harusi tu unapaswa umlipe zaidi ya milioni 3 kwa ajili ya yeye kuja kuongea tu masaa matatu ukumbini kwenye harusi yako. Wateja wengi wanamfata garab sababu ya page yake instagram. Kwamba baada ya harusi anakupost kwenye page yako watu wanakupongeza.. leo hii harusi kubwa haikamiliki bila kumuita Garab awe Mc.


3. Mange kimambi.
App yake inayolipiwa buku buku na wapenda umbeya imepata wateja haraka sababu ya instagram. Mange kimambi kajua sana kufaidika na mtandao wa instagram.


2. Millard ayo.

Ni kijana mwingine aliefaidika sana na uwepo wa instagram hapa Tanzania. Endorsement nyingi na fursa nyingi amezipata sababu ya page yake ya instagram.


1. Diamond plutnumz.

Huyu ndie king wa kufaidika na instagram hapa Tanzania.
Haitajiki hata kumuelezea kila mtu anajua..
Kuonesha alivyo serious na instagram alihakikisha familia yake yote iwe na page instagram kuanzia mama, dada, watoto wake mpaka majirani zake. Brand yake ya wasafi ina page instagram za kumwaga sababu anajua instagram ilivyomtajirisha


HONOURABLE MENTION

Mwijaku , Wema Sepetu, Ali kiba, Baba levo

Kumbe ndio maana wanaalikwa kwenda ku negotiate mikataba ya kimataifa on our behalf!!
 
watu tajwa apo hata pasingekuepo na instagram bado wangetengeza pesa tayari walikuwa na channels. Hivo instagram haina mchango mkubwa kiasi hicho hata ikitokea leo imefungwa bado wanasurvive tofauti na waliopata pesa instagram kupitia umaarufu wao ig.

Instagram imewaongeza nguvu ya kutengeneza hizo pesa.

Kama walikuwa wanatengeneza 1000 kabla ya istagram baada ya instagram kuja bongo wanatengeneza 10,000 ama laki kabisa. Sababu ya nguvu yao instagram
 
Back
Top Bottom