uporo wa wali ndondo
JF-Expert Member
- Dec 3, 2013
- 3,455
- 2,240
Wengi waliotajwa hapo ni wale wanaovaa uchi na wapiga mitepesho.Kama hayupo JamiiForums Founder Maxence Melo basi haina ushawishi wowote!
Ni list yenye ushawishi kwa watu walioindaa. ...
HahaaView attachment 677187 Haha! Mtoa mada Mungu anakuona ujue, unaongelea Africa gani mwenzetu, au ile africa-sana?
Hela ya show ya diamond alaf yuko booked mwez mzimaSamatta anapata equivalent na Tsh.45,000,000/= kwa mwezi
hahaaa itakuwa africana ile ya mbeziView attachment 677187 Haha! Mtoa mada Mungu anakuona ujue, unaongelea Africa gani mwenzetu, au ile africa-sana?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Tunaambiwa Makonda ni maarufu kwa nini hayumo humo?
Tutakata rufaa kama Dr Remmy alivyokata rufaa kwa ushindi Wa Masudi sura mbaya[emoji1] [emoji1]
[emoji23] [emoji23] Kweli Ni Listi Mufilisi[emoji23]Hio list ni mufilisi.
Makonda yupo?
Lemutuz ?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] eti africasanaView attachment 677187 Haha! Mtoa mada Mungu anakuona ujue, unaongelea Africa gani mwenzetu, au ile africa-sana?
Kiujumla kiba samata no1, kiba wa6, mondi wa7......lkn kiba namba1 kwa upande entertainmentMbona clouds wao wamesema samata ndo namba moja then ago wa tatu huku kiba akishika nafasi ya sita while mond anaangukia nafasi ya tisa
Naona umechanganya madesa hapa, kinachojadiliwa hapa siyo ukwasi wa mtuMsimvimbishe kichwa Alikiba.. Diamond ni next level... Hao wote kwenye list ukichanganya ndururu zao hazifiki hata nusu ya Mondi
Sawa asante kwq ufafanuziNaona umechanganya madesa hapa, kinachojadiliwa hapa siyo ukwasi wa mtu
Tatizo sio kijana.hao wte hamna kitu sasa hv anayeongoza sasa hv ni lemutuz