Elections 2010 List ya viti maalumu yatoka


Mkuu,

Asante, hiyo ni valid point na ndio maana ya analysis maana unaangalia pande zote na kujua kwanini jambo fulani liko hivyo? Lakini kama nilivyoandika awali, matokeo hayo kwa CHADEMA yalitegemewa kwasababu hizo ambazo tumezitaja. Ila hilo la wabunge wa CCM kuwa na kura nyingi kuliko JK binafsi sikulitegemea.
 
Inafaa mtu uwe na peremende kidogo mfukoni, unaposikia njaa kwa mbaliiii unakuwa na kitu chako cha kumumunya mumunya yahe ili kupunguza makali ya njaa au kusafisha kinywa kidogo.[/




Duu mwaka huu Dodoma hapatoshi!
 
Naandaa Popcorn na kreti la Tusker Bariiiidiiiiiiiiiiii... Kwani Bunge letu litakuwa c mchezo.
 

Japo ni nje kidogo ya mada hapo penye nyekundu nimepapenda na ni muhimu nikawakumbusha kuwa kuna ripoti ya hawa wanaojikomba ilituambia kuwa umaarufu wa kikwete umeongezeka ila wa watu wake umeshuka. Uchaguzi huu umetuonyesha kinyume. Hii inadhihirisha kuwa hizi ripoti ni za kupikwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…