List ya Wachezaji wenye Majivuno na Dharau

Zlatan ni kidume wala hajioni

Suarez ni very smart muonekano wake ndio unakufanya umuone tofauti.
Zlatan ana dharau, ujivuni kuna clip ana mchapa kofi mchezaji uwanjani, angalia juzi alicho mfanyia Lukaku
 
Huyo mzanzibar yupo wapi kwa Sasa......
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…