Zlatan
Suarez
Morinho
Manara
Kidume ni ronaldoZlatan ni kidume wala hajioni
Suarez ni very smart muonekano wake ndio unakufanya umuone tofauti.
Apo wangeachwa Ustaz Lukaku alkua anamnyonyoa nywele dada zlatanView attachment 1691222
Kidume ni ronaldo
Dogo ana ego ya hatariHamumuonagi Anthony Martial? Anatembea kama vile anamiliki dunia.
Zlatan ana dharau, ujivuni kuna clip ana mchapa kofi mchezaji uwanjani, angalia juzi alicho mfanyia LukakuZlatan ni kidume wala hajioni
Suarez ni very smart muonekano wake ndio unakufanya umuone tofauti.
Zlatan ana dharau, ujivuni kuna clip ana mchapa kofi mchezaji uwanjani, angalia juzi alicho mfanyia Lukaku
AmepoteaDele Alli
Kafanye mazoezi na wewe uone kama utasajiliwa hata na Namungo.Ronaldo wa mtumba yule mreno mpaka shedo.. Anajinadi utafikiri ana talent kumbe mazoezi.
Huyo mzanzibar yupo wapi kwa Sasa......Katika soka kuna wachezaji wamebarikiwa sana vipaji vya aina yake. Kuna baadhi yao kwa vipaji hivyo wamekuwa ni wenye kujisifu na kuleta dharau kwa wenzao.
Leo tuwatambue wenye vipaji vikubwa na vya kawaida lakini daima wamekuwa ni wajivuni, wenye kebehi na dharau kwa wenzao.
Mimi naanza na hawa wawili...
1. Zlatan Ibrahimovich
2. Abdoul Halim Humud