List ya Wachezaji wenye Majivuno na Dharau

List ya Wachezaji wenye Majivuno na Dharau

Ronaldo wa mtumba yule mreno mpaka shedo.. Anajinadi utafikiri ana talent kumbe mazoezi.
Cr7
Diego Costa
Siku zote maskin anamchukia tajiri, kipato chake cha lisaa limoja tu ni kipato chako cha miezi sita kama sio mwaka...

No wonder unamchukia...
Screenshot_20181126-143902.jpg
 
Wanaojivuna zaidi ni hawa

1 Neema mtoto wa mama
2 Cr7
3 robinho,huyu dogo bahati nzuri hakufika mbali akapotea, kalikuwa kanajiona sana kama demu.
4 Diego costa, japo huwa ananifurahisha sana na fujo zake [emoji3][emoji3]
5 Luis Nani, mwethiopia huyu, jamaa anawivu sana kwa wenzie
6 Asamoa Gyan ni mwafrika ambae sikutokea kumpenda, ana majivuno sana.
Luis Nani asili yake Cape Verde
 
Back
Top Bottom