Zero IQ
JF-Expert Member
- Dec 21, 2016
- 13,959
- 24,935
Washanikalili mkuu ila wakiniona kitaa mapigo yangu sio poaHahahah watakukariri ujue, utasikia yule mkaka mwenye ile kadeti ya rang fulani
Cc Zero IQ
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Washanikalili mkuu ila wakiniona kitaa mapigo yangu sio poaHahahah watakukariri ujue, utasikia yule mkaka mwenye ile kadeti ya rang fulani
😂😂😂😂 nimecheka kweli, akili yako bwana waijuaga mwenyewe tuWashanikalili mkuu ila wakiniona kitaa mapigo yangu sio poa
Cc Zero IQ
😂😂😂😂 umetisha mkuu Kumbe kweliIla mkuu umenifanyia ramli chonganishi! Kama ni jirani yangu hapa ninapoishi nijuze tu maana sio kwa kunipatia huku[emoji16][emoji16][emoji16][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji377][emoji377][emoji377][emoji2445][emoji2445][emoji2445]
“ᴬⁱⁿ̇`ᵗ ᵃ ʷᵒᵐᵃⁿ ᵃˡⁱᵛᵉ ᵗʰᵃᵗ ᶜᵃⁿ ᵗᵃᵏᵉ ᵐʸ ᵐᵒᵐᵐᵃ`ˢ ᵖˡᵃᶜᵉ”
jipige mkuuHahahaaa Yani natamani nijipige picha niweke hapa. Nahichi kibarid barid three piece inahusika
Sent using Jamii Forums mobile app
ntakutaja mkuu nakuzoom kwanzaNa Mimi jamani mbona hunitajiiiii
seven eagles
Sio mbaya at least umenitokomeza ujinga 😂😂Nimesoma ulivyoandika navyovaa uzi wako wote umekuwa batili 😂😂
Vitenge??😂😂😂
Short dress??
Mi mtu wa jeans/suruali sanaaa
Sipendi sketi wala gauni
Bila Shaka mama madera 😂😂Umejitahidi kuniotea
Nikiwa nyumbani au visafari vya hapa na pale ni madera kwenda mbele tena yale mapana nabanisha mikono tu, mara 1 1 navaa tofauti.
Nikienda sehemu zangu za kujidai napigilia[emoji158][emoji155][emoji153], ila nguo yoyote fupi si vai sababu mguu wangu una kovu kama lote, niliunguaga na chai
Sent using Jamii Forums mobile app
VP nimepatia mkuu?? au ramli chonganishi??
Jeans? Short dress? Mitoko ya usiku? Ramli chonganishi kabisaVP nimepatia mkuu?? au ramli chonganishi??
Sawa mama ila tuu usije niita mtoto aseeh 😂
Kwa nini mkuu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimecheka kweli, akili yako bwana waijuaga mwenyewe tu
Ila umekosea kwa kaka mkubwa Mshana Jr muda huu wa mchana huwa amevaa ngozi [emoji16][emoji16][emoji16][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji377][emoji377][emoji377][emoji2445][emoji2445][emoji2445][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] umetisha mkuu Kumbe kweli
😂😂😂Ila umekosea kwa kaka mkubwa Mshana Jr muda huu wa mchana huwa amevaa ngozi [emoji16][emoji16][emoji16][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji377][emoji377][emoji377][emoji2445][emoji2445][emoji2445]
“ᴬⁱⁿ̇`ᵗ ᵃ ʷᵒᵐᵃⁿ ᵃˡⁱᵛᵉ ᵗʰᵃᵗ ᶜᵃⁿ ᵗᵃᵏᵉ ᵐʸ ᵐᵒᵐᵐᵃ`ˢ ᵖˡᵃᶜᵉ”
[emoji23][emoji23]Sasa unataka nikuiteje, halafu unaniita mdada wakati mimi wewe nakuzaa huku nakuna naziSawa mama ila tuu usije niita mtoto aseeh [emoji23]
Sio mbaya at least umenitokomeza ujinga 😂😂