List ya wana jf wanaojitupia na mitindo wanayoipenda(mikato)..

😂😂😂😂 umetisha mkuu Kumbe kweli
 
Nimesoma ulivyoandika navyovaa uzi wako wote umekuwa batili 😂😂

Vitenge??😂😂😂
Short dress??

Mi mtu wa jeans/suruali sanaaa
Sipendi sketi wala gauni
Sio mbaya at least umenitokomeza ujinga 😂😂
 
Bila Shaka mama madera 😂😂
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] umetisha mkuu Kumbe kweli
Ila umekosea kwa kaka mkubwa Mshana Jr muda huu wa mchana huwa amevaa ngozi [emoji16][emoji16][emoji16][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji377][emoji377][emoji377][emoji2445][emoji2445][emoji2445]

“ᴬⁱⁿ̇`ᵗ ᵃ ʷᵒᵐᵃⁿ ᵃˡⁱᵛᵉ ᵗʰᵃᵗ ᶜᵃⁿ ᵗᵃᵏᵉ ᵐʸ ᵐᵒᵐᵐᵃ`ˢ ᵖˡᵃᶜᵉ”
 
😂😂😂
 
Hahahahaha

Mkuu ukiachana na suti ambayo huwa navaa occasionally,suruali ya kitambaa nina muda mrefu sana sijavaa,huwa kwa ofisini navaa cadet sana!
 
Na huyu mdada Sky Eclat pia umemkosea maana kwa mtizamo wangu nahisi anapenda kuvaa blouse zenye mikono mirefu na skirt zenye marinda, sometimes anavaa cadet rangi ya olive au nyeusi[emoji16][emoji16][emoji16][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji377][emoji377][emoji377][emoji2445][emoji2445][emoji2445]

“ᴬⁱⁿ̇`ᵗ ᵃ ʷᵒᵐᵃⁿ ᵃˡⁱᵛᵉ ᵗʰᵃᵗ ᶜᵃⁿ ᵗᵃᵏᵉ ᵐʸ ᵐᵒᵐᵐᵃ`ˢ ᵖˡᵃᶜᵉ”
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…