Therapist 2015
JF-Expert Member
- Aug 4, 2018
- 791
- 831
Hukujibu pm yake nn?... zeshchriss[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] wenye nyodo hatumo .......haina shida mkuu
Sent using Jamii Forums mobile app
Hakuna demu aliyeko peace kama huyu dada Mzigua90 narudia tena hakunaa hapa jf
Sent using Jamii Forums mobile app
Niite mkubwa tuu mkuu..Ahsante mtoa mada, this means a lot to me. Nimecheka eti napenda kuita wenzangu watoto sasa kama mtoto unataka uitweje eti pancho boy [emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
sawa mkuu 😂😂
Hakikaa mwanadada anaejilewa halafu haringi ringi kise@@@nge huwa namkubali sana..Mzigua90
Huyu mdada ataishi miaka mingi sana, na Mungu atamjalia watoto kama nyota zilivy angani..
Credits [emoji110][emoji110]
Hakikaa mwanadada anaejilewa halafu haringi ringi kise@@@nge huwa namkubali sana..
Mzigua90 anasifa hizo
Sent using Jamii Forums mobile app
Aisee kuna single maza mmoja umemuweka kwenye list yako amefanya ni-invalidate.Baada ya list ya kwanza ku base upande wa wanaume. Japo kulikuwa kuna wanawake wachache..
Sasa baada ya kuwasoma kwa muda mrefu nawamwaga hapa..
Wale wenye nyodo nafasi zao hazipo..
Shadeeya -
Blaki womani-
Shunie -
Aggyjay -
Ledada -japo ana mikogo sio
Hawachi -
Khantwe -japo anapenda sana kuita watu wenzie watoto. [emoji23]
Victoire -shabiki wa Man u.
Joanah -japo hapendagi masikhara.
Ihela -huyu katulia sana atakuwa kaolewa.
Warumi -huyu mmbea, ila yeye anaongea na kila mtu, japo jinsia yake inatatiza [emoji23]
Mother confeser -huyu mtu yeye hanaga hiyana ku chit chat na watu, sijawahi kumuona anatukana. (naskia ana mgahawa [emoji23]
Numbisa -kwenye ule uzi wetu pendwa wa isidingo yeye Mwenyekiti pale, pia anapenda kufurahi na watu..
Rebecca89-nahisi nimekosea jina ila huyu huwa ana quote kwa yeyote anayeona yuko sawa. Hana shida..
madam B - huyu kwa kujichanganya na watu ndo anapenda. (japo sijamuona kitambo), anapenda kuchangamsha genge hasa lile la chini kabisaaa....
Madam S-huyu ni mtu mmoja mpole sana japo huwa habagui comment..
demiss -huyu mtaalamu wa hapa dom kwetu yeye yuko fresh ila anapenda masikhara na kuchangamsha genge,
Hivyo naye anaingia kwenye list!..
Amu -huyu saivi simuoni ila yuko powa sanaa. ushahidi?? Alini follow so anafaa kukaa kwenye list..
Aghata -huyu anaonekana ni mtu mzima ila haimzuii kujichanganya na watu hapendi mzaha..
Wengine mtanisamehe hampo kwa hii list kutokana na vigezo..
Nani huyo mkuu??Aisee kuna single maza mmoja umemuweka kwenye list yako amefanya ni-invalidate.
Huyo maza kila mara anagombana na wanaume humu
Sent using Jamii Forums mobile app
namuelewa sana huyo mama/dada
[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] sitaki kua makinikia atiiiHapana mkuu utakuwepo kwa list inayokuja ila tuu ipo kwenye uchunguzi [emoji23][emoji23]
Asante rafiki umemisika nani anakuficha