Marital status zao?-Mwanamke shupavu ni yule aliyeweza kuitunza ndoa yake,alafu akaweza kuexcel kwenye career pia.
At lease najua
Mama Rwakatare-divorced
Makinda-divorced
Marital status zao?-Mwanamke shupavu ni yule aliyeweza kuitunza ndoa yake,alafu akaweza kuexcel kwenye career pia.
At lease najua
Mama Rwakatare-divorced
Makinda-divorced
Shame.
Asha rose ungemtoa hapo-aliunder perform vibaya sana UN.
Kuwaibia watu wa kusini korosho zao na kuolewa na kada mwenzake MSEKWA au? kama historia ni hivi basi ata vicky kamata naye yupo....
Ongeza Ananilea Nkya, Helen Kidjo Bisimba na Joyce Kiria. Wote hao wameonesha kwa vitendo kwamba sio WAOGA. kitu ambacho watanzania wengi kinatusumbua. lakini hata katika Biblia, tunasoma kwamba wanawake ndio walidiriki kwenda kaburini wakati wanaume, tena mitume, walijifungia ndani!!
Umewaacha akina Prof. Ana Tibaijuka