Khaa!! List yako haikidhi vigezo. Mbona umewaacha wengi sana? Tena wengine wameisaidia jamii kwa kiasi kikubwa!! Hata uwe na cheo au elimu kubwa kiasi gani na hujaisaidia jamii basi you are NOTHING :bored:
Duh! Hadi Joyce Kiria?! Ngoja niendelee na swaumu...
.......Kwa sababu wewe hajakuweka?Listi ya huyo nngu007 ni ya kishkaji zaidi.
Dr. Chijoriga, mwenyekiti bodi ya wakurugenzi TRA na mkuu UDSM School of Business kwa muda mrefu. Elimu wala uhitaji kupepesa
Huyu nae ni kwa vile amevizia Salma yuko Lindi akahakikisha JK hapigi short time analala usiku kucha nyumbani kwake?
wako wengi sana umewasahau
josephine mushumbusi
Bwana sitaki kucheka. Sasa unadhani kwa rais kulala kwako ni issue ndogo? Lazima uwe mwanamke wa shoka tena mwenye mvuto.
Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums
Mh.anna makinda amekuwa mbunge wa njombe kusini kuanzia mwaka 1995 na siyo mwaka 1975 kama ulivyoeleza.hayati makwetta ndiye aliyekuwa mbunge mwaka 1975.
Umemuacha mama mkulu wa kaya : anasifa za kufunga barabara kwa saa kadhaa kumpisha apite na pia kukutana na michele obama & laura bush huku akisoma hotuba kama imla au pengine shairi la kumaliza shule ya msingi wakati anajua fika kuwa yuko kwenye mkutanao wa kimataifa na dunia nzima inamtizama kwa ung'eng'e wake wa kuunga unga na super glue / ulimbo. sema tz nchi yenye maajabu ya kipekee duniani.
Blandina Nyoni, kamishina TRA and former PS Health. Yeye je? Naona ana afadhali kuliko Ana Abdalah aliyevunja ndoa ya mwenzake na kuondoka na Msekwa.
Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums