List ya wanawake kumi wanaoshika vyeo vikubwa bongo

Status
Not open for further replies.
Marital status zao?-Mwanamke shupavu ni yule aliyeweza kuitunza ndoa yake,alafu akaweza kuexcel kwenye career pia.

At lease najua
Mama Rwakatare-divorced
Makinda-divorced

Shame.

Asha rose ungemtoa hapo-aliunder perform vibaya sana UN.

I concur
 
Mleta mada umeafanya jambo jema ingawa kama walivyochangia watangulizi wangu inawezekana unawajua wachache sana kati ya wengi tulionao. Lakini pia nilitegemea kuona uliowaorodhesha ni watanzania zaidi kuliko kuchanganya na wazawa na wageni! Lakini pia ungeturuhusu kuongeza wengine ambao hukuwaorodhesha kama akina Prof. Tibaijuka, Mh. Halima Mdee (Mb), n.k.

Ukipenda basi mimi nakuongezea wachache niwajuao; 1. Mama yangu Mazazi (jina kapuni) yeye ni mtanzania ambaye hakuwahi kuajiriwa zaidi ya kujiajiri mwenyewe na kwa kushirikiana na mumewe waliweza kutusomesha sisi watoto wao hata kufikia uwezo wa kuwa kati wa wachangiaji wa mijadala ya hapa jf

2. Dr. Albina Chuwa, yeye ni mkurugenzi mkuu wa kwanza mwanamke wa ofisi muhimu (ofisi ya taifa ya takwimu) hapa tanzania sina uhakika aliishikilia kuanzia lini nafasi hii

3. Dr. Joyce Ndalichako, pale baraza la mitihani (mwenye kujua historia yake, tafadhali)

4. ...................,
 
Mama Joyce Ndalichako vipi?au kwa sababu aliwashika wadogo zenu?
 
Marital status zao?-Mwanamke shupavu ni yule aliyeweza kuitunza ndoa yake,alafu akaweza kuexcel kwenye career pia.

At lease najua
Mama Rwakatare-divorced
Makinda-divorced

Shame.

Asha rose ungemtoa hapo-aliunder perform vibaya sana UN.


Anna Makinda hajawahi kuolewa kwahiyo haiwezekani kuwa divorced; ila ana mtoto kama amepata wajukuu sina hakika !! Baba watoto wake sasa ni marehemu!!
 
Pia kuna Prof. Esther Mwaiakambo, ni Profesa na Daktari nguli wa watoto Tanzania, na ni mwanamke wa kwanza nchini kuwa daktari na pia ameongoza taasisi nyingi kwa mafanikio makubwa. Elimu yake haina shaka si uprofesa au udaktari w akupeana kwenye vikao vya chama, huyu mama ni nguli kweli kweli. Hao akina Ana Abdallah hawapaswi kuwemo kwenye orodha hii. lakini ni vyema sana ili uwe na mtiririko ulio sawa taja elimu za wote unaowataja.
 
Marital status zao?-Mwanamke shupavu ni yule aliyeweza kuitunza ndoa yake,alafu akaweza kuexcel kwenye career pia.

At lease najua
Mama Rwakatare-divorced
Makinda-divorced

Shame.

Asha rose ungemtoa hapo-aliunder perform vibaya sana UN.

Aibu yako mama Makinda hajawahi olewa umemdivorce wewe
 
mkuu asante sana kwa uzi huu , unafikirisha japo kuna majina umeyachinjia baharini , mfano MARY CHIPUNGAHELO , labda tunaweza kuondoa porojo za wanawake wakiwezeshwa wanaweza !
 
Nia, shabaha, lengo, dhumuni ya hii post?

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 




wamefanya nini hawa cha maana ikulu?? Wameharibu ikulu hawa! Labda huyo mwingine umeona sifa yake ya kuingiza steratour bear enzi zetu...!
 
wamefanya nini hawa cha maana ikulu?? Wameharibu ikulu hawa! Labda huyo mwingine umeona sifa yake ya kuingiza steratour bear enzi zetu...!

Pamoja sana mkuu.Hawa "ma-First Lady" wana mchango wao-Kuishi tu pale ikulu na kumfanya rais awaze changamoto zinazowakabili wananchi wake badala ya kuwaza amfurahisheje mama watoto wake, si kazi ndogo.Pongezi kwao hawa ma-First Lady-kwa kujua wajibu wao kwa umma.
 
Mh! ovyoo yani ktk hii list nadhani namba moja ni huyu mama Prof Tibaijuka michango yake ni zaidi ata ya nanii yuhu yani UNHABITAT sio mchezi DR migiro pale UN nadhani alikua km secretary
 
Mbona hayupo ktk list Salama Jabir? Huyu nae jasiri jamani.
 

Ndugu yangu nngu007 ninashukuru kwa upeo wako hasa unapowaongelea dada au mama zetu kwa shughuli zao pamoja na elimu. Mimi ninafikri ingelikuwa vizuri kama hiyo orodha yako ingekuwa ya majina kuanzia 15-20!!! Kwa sababu ninaona kama hapa hujawa makini katika kutoa hiyo orodha! Ebu fikiria zaidi kwani wote walotajwa ni sawa kwa uataratibu wako lkn kumbuka prof Tibaijuka ni very senior kwa hao wote na she has delivered something beyond doubt!!!!!
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…