List ya wanawake kumi wanaoshika vyeo vikubwa bongo

Status
Not open for further replies.
Chini unamanisha nini?
Au ndio degree za Chupiii!

nimeuliza tu maana aliyeleta uzi ndio kasema kuna Shahada za juu! ninavyofahamu mimi rankin za taaluma zinaanza na Cheti (Certificate), Stashahada (Diploma), Stashahada ya juu (Advanced Diploma), Shahada (Degree), Shahada ya Uzamili (Masters), Shahada ya Uzamivu (PHD), ........

NB: Kuna ambazo nimeziruka baada ya first degree sijui majina yake e.g Post Graduate Diploma
 
list si kiamili ; wachangiaji waongeze na kutoa maelezo ya mchango wa hao wanaodhani wanastahili kuingia kwenye hiyo list
 

Nani hao wako kwenye hivyo VYEO wameachwa kwa sasa? your contribution is welcomed!!!
 
Nani hao wako kwenye hivyo VYEO wameachwa kwa sasa? your contribution is welcomed!!!

Ibadirishe hiyo list yako na uanze thread upya. hapo tutakuelewa zaidi. Lkn kama umeona hiyo ndiyo list inatosheleza kiwango cha research yako basi tunashukuru kwa taarifa yako hiyo!!!!
 
kote umepatia - ila "kwa hapa mzee "heri mimi sijasema
 
Marital status zao?-Mwanamke shupavu ni yule aliyeweza kuitunza ndoa yake,alafu akaweza kuexcel kwenye career pia.

At lease najua
Mama Rwakatare-divorced
Makinda-divorced

Shame.

Asha rose ungemtoa hapo-aliunder perform vibaya sana UN.

upo vizuri mkuu
 
vipi Dk. Aneth Munga ambaye ni vice chancellor Sekomu?
vipi Prof. Tuli Kasimoto ambaye ni vice chancellor Teku?
 
Umemsahau first lady...Mama yetu

Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
 
Hapo una -"assume" kwamba katika kila divorce, mwenye kosa ni mwanamke, ambapo sidhani kwamba ni sahihi. tumjadili mtu kwa vitendo vyake, siyo kwa status yake.

Hujamwelewa! Anamaanisha kwamba baadhi ya hao wamama wame-sacrifice familia zao kufika hapo, eg baadhi wamefika hapo kwa sababu za chupi, therefore hawastahili hiyo recognition.
 
Kuwaibia watu wa kusini korosho zao na kuolewa na kada mwenzake MSEKWA au? kama historia ni hivi basi ata vicky kamata naye yupo....

Tena huyo Anna Abdallah siyo tu kuiba korosho za wana mtwara, pia kampora mume wa mtu.



Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
 



Tatizo la media za Tanzania hakuna waandishi wa habari makini. Huyo wa tisa (9) umeniacha hoi kweli, eti alionana na Barack Obama alipokuja Tanzania, so what? Hii inamaanisha nini haswa, yaani kuonana na Obama tu basi wewe ni jasiri. Kwa hiyo hata watoto wanaokwenda White House kuonana na Obama nao pia ni wajasiri? Come on people.
 
This is nonsense.What about our beloved mothers?They have done a lot than these you've mentioned.
 
........kwa maneno yako, huna tofauti na hao wenye mifuko ya uzazi.
Uliyelianzisha ndo unafanana nalo maana, GT's wakifikiria mambo ya kujenga, ubongo wako unakuwa short circuited kuelekea huko ulikolelewa.
 
Prof.Anna Tibaijuka tops this list(my opinion)
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…