List ya watu ambao hawaendi mbinguni..

List ya watu ambao hawaendi mbinguni..

Tusaidiane kuwataja watu ambao hawawezi kwenda mbinguni na sababu kwanini hawataenda mbinguni😀😀.
Mtaje hata kama huyo mtu yupo mtaani kwenu,kazini,kiongozi wako..nk

Mimi naanza na
1-uncle mshana jr...huyu hawezi kwenda mbinguni kwasababu ni mshirikina sana
2-kiranga... Huyu pia hawezi kuingia mbinguni hata akipewa offer ya kuingia mbinguni na akikuta mlango upo wazi,atamuuliza Mungu ninauhakika gani kama hapa ndio mbinguni atapigwa kwenzi moja atakufa tena..
Unaweza kuthibitisha mbinguni kupo?

Unaweza kuthibitisha mbinguni kutakuwepo?

Unaweza kuthibitisha kuna watu watakwenda huko mbinguni?

Unaweza kuthibitisha Mungu yupo?
 
Unaweza kuthibitisha mbinguni kupo?

Unaweza kuthibitisha mbinguni kutakuwepo?

Unaweza kuthibitisha kuna watu watakwenda huko mbinguni?

Unaweza kuthibitisha Mungu yupo?


Angalia juu kwenye mawingu kule ndio mbinguni mkuu😀😀😀...lakini wewe huwezi kwenda nakwambia..
Brother mbinguni huendi walahi
 
Dunia itabaki kuwa paradiso milele yote.mbinguni watakwenda watu 144000 kutawala ufalme wa MUNGU pamoja Na MUNGU.KWA MUJIBU WA BIBLIA..UAMUZI UPO KWA WALIO HAI PEKEE
 
Dunia itabaki kuwa paradiso milele yote.mbinguni watakwenda watu 144000 kutawala ufalme wa MUNGU pamoja Na MUNGU.KWA MUJIBU WA BIBLIA..UAMUZI UPO KWA WALIO HAI PEKEE


Hiyo idadi ya hao watu tutakao kwenda mbinguni imeandikwa sehemu gani kwenye biblia
 
Mkuu 90% ya JF Expert Members hawataenda sababu wanazijua wenyewe.... Server haitatosha nikiziorodhesha
 
Back
Top Bottom