Kunguru wa Manzese
JF-Expert Member
- Apr 20, 2016
- 12,729
- 18,119
Write your reply...Kama hauna marinda
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mkuu mtihani huo unanipa ujue kiufupi siwajui tu ila hukumu itaeleza siku ya mwishoMtaje mmoja mwenye dhambi kupitiliza
Jirani yangu mimi hapa nyumbani tunafanya kazi mtaa mmoj huko mjini ye anagari basi kila asubuhi anajinunisha ili nisimwombe lifti huyu haendi mbinguni. Na siku nikikuta yupo mbinguni nagombana nae sana mrinzi wa getini
Mi naenda sina tatizo tena wanaweza kunipa rist ya majina ya wataoingia niwe nahakiki. Ila huyu jirani jina lake lazima ntafutilia mabaliMkuu imeandikwa usitamani mali ya jirani yako...sasa wewe na jirani yako wote hamuendi mbinguni
Kina LAFA mmoja anaitwa elitwegeISIS
Ndege JOHN
Cocochanel
Hawaendi mbinguni hawa wanashabikia wachawi sana
Namsikiaga nyie watoto mnanichafulia gari leo siwabebi " duh najiongeza nakunja suruali nasepaNa hichi kipindi cha mvua anakunyima lifti kwakweli haendi mbinguni
eeh inavyoonesha inakuuma sana jirani yako kukunyima lift ya gariNamsikiaga nyie watoto mnanichafulia gari leo siwabebi " duh najiongeza nakunja suruali nasepa
Jiandae kisaikologia mdgo wangu.....utanikutaNawewe huendi mbinguni