Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
..naona radio imezimika ghafla,
Natumia TTCL broadband nalipia 95 tshs per MB sasa kusikiliza hii radio kunachukua hela nyingi tofauti na ku surf internet.
Tatizo ni la hawa jamaa wa TTCL na hiyo broadband yao. Wakati wanaintroduce service hiyo ilikwua na bei ya chini sana ambayo ilionekana kuwa ni nafuu, ilipoanza kupata soko, wamepandisha utadhani wanauza uhai
..sio makosa yao! hata bei ya unga wa mahindi imepanda since then!