Kuhani
JF-Expert Member
- Apr 2, 2008
- 2,944
- 64
Yeye amelitumikia taifa na CCM with honour, amefika mwisho amestaafu ndio mfano tunaoutaka Tanzania.
Amelitumikia Taifa kwa kweli.
Ukitamka neno "Malecela," watu wanakumbuka utumishi na uzalendo. Lakini pia wanakumbuka "go to hell" na kibaya zaidi "uhuni" wake uliomghafirisha mlezi wake wa kisiasa. "Honor" inapungua.
Kuhusu kuwa mfano wa kuigwa kwa kustaafu nadhani Mzee Malecela amesema jana kwamba aligombea hata mwaka 2005. Sasa huo moyo wa kuigwa kwa kustaafu sijui uko wapi hapo