Yeye amelitumikia taifa na CCM with honour, amefika mwisho amestaafu ndio mfano tunaoutaka Tanzania.
Pato la mwananchi wa kawaida wa Mtera ni shilingi ngapi kwa Mwaka, je pato hilo hilo ndio wewe na Malecela mnalipata kwa mwaka?
Amelitumikia Taifa kwa kweli.
Ukitamka neno "Malecela," watu wanakumbuka utumishi na uzalendo. Lakini pia wanakumbuka "go to hell" na kibaya zaidi "uhuni" uliomghafirisha mlezi wake wa kisiasa. "Honor" inapungua.
Kuhusu kuwa mfano wa kuigwa kwa kustaafu nadhani Mzee Malecela amesema jana kwamba aligombea hata mwaka 2005. Sasa huo moyo wa kuigwa kwa kustaafu sijui uko wapi hapo
- Ni kazi ya mbunge kujua pato la wananchi wake?
FMES!
Hujui pato la wastani la wananchi la jimbo lenu, okay okay. Hii inaonyesha kwamba jimbo hilo halina mipango yeyote ya maendeleo. Mipango ya maendeleo haiwezi kupangwa bila kujua pato la wastani la wananchi wa sehemu husika!
Pia ulizungumzia hospitali, shule, vitabu na barabara toka Dodoma hadi Mvumi.
Je hizo shule na hospitali zinahudumia wananchi wangapi kwa ujumla. Na vipi ratio ya daktari kwa mgonjwa na mwanasunzi kwa mwalimu? Vipi kuhusu swala la madawati.
Je hiyo barabara toka Mvumi kwenda Dodoma, imesaidia vipi kuboresha maisha ya Wanamtera? Je hiyo tofauti imeshakuwa quantified?
- Mkuu ninaweza kukupatia namba umpigie simu mkuu, maana haya maswali anaweza kujibu yeye mwenyewe mbunge wetu.
Respect!
FMES!
mkuu FM ..unaonaje ushujaa wa malecela kusamehe kikwete kwa mbinu chafu alizotumia dhidi yake.......?...ndio maana nikasema atakuwa na roho ya ajabu ya kusamehe ..inaweza ikakaribia ya mandela!
au baada ya kikwete kuwachimba mkwara viongozi waandamizi wastaafu kwa kutofautiana naye,na kumkosoa hadharani na yeye ameamua kuwa kwenye kundi la the darling wa muungwana kina kawawa na mwinyi..unlike warioba,sumaye,watendaji wastaafu[butikus/kitines na salim/c;eopa[ambao wameamua kukaa kimya]..
leo Mtera ndio jimbo pekee Tanzania nzima lenye zahanati na shule kwenye kila kata ya jimbo.
Naam, Mkuu Pundamilia. Na busara hii ndiyo iliyotufikisha hapa tulipo.
Amandla........
FMES
Oh yeah? Including constituencies in Dar? Are you positive on the authenticity of this statement?
Just some fact checking, it does not ring true to me.
Mkuu FMES,
hongera sana umefanya kazi kubwa sana ya kusimama kati na kuweka mambo sawa hapa kwenye hii thread. In fact nilikuwa busy na madaftari yangu hapa kwahiyo kuingia huku ilikuwa kama kituo cha polisi. Lakini sasa niko huru sina deni na washika chaki wangu hapa.
Kusema ukweli Makamu Mstaafu ni kisima cha busara, maneno yake ni msumari wa moto ambao hata ukiangalia hapa JF wachangiaji wanashindwa kuja na hoja za kuyabomoa aliyoyasema. Ni wazi kabisa wachangiaji wamemalizwa na hotuba ile kiasi cha kwamba wamekosa kabisa cha kuonngea. Ushahidi uko wazi, hebu angalia walivyoendesha mjadala mrefu wa 'kung'atuka' baada ya kushindwa kujadili maneno yake. Wapo waliojaribu kuleta tafsiri zao kana kwamba hatukusikia kwa masikio yetu alichokiongea.
Chama Cha Mapinduzi ni SAFI na kimesheheni wanasiasa waliobobea kwenye hekima na busara. Sasa yule ambaye alitarajia Mzee malecela ataongea yale anayotaka ya mfurahishe yeye amenoa step, Mzee Malecela anaongea kwa kujali maslahi ya chama chake ambacho anakipenda kwa dhati kabisa ya moyo wake.
I love CCM
Naam, Mkuu Pundamilia. Na busara hii ndiyo iliyotufikisha hapa tulipo.
Amandla........
..mkuu FMES maelezo yako yamekamilika....lakini kuna jambo lina nikera sana ..nikibahatika kukaa na watu wenye nafasi huwa pia napenda kuwaambia!!
hawa wazee wetu hawaandiki vitabu ,tutakuja kupoteza historia za taifa na maisha ..kwani miaka kumi ijayo waazilishi wengi watakuwa wamekwenda ..tutaanzia wapi???
tumepoteza nafasi ya nyerere kuandika kitabu [kwa mkono wake mwenyewe kuhusu maisha yake]
naomba tusaidie tunahitaji hawa wazee waandike vitabu kuhusu maisha.
watu kama ...
1.john malecela
2.salim ahmed salim
3.kawawa
4.msuya
5.mzee mwinyi
5.warioba
6.mama maria
Hawa inabidi washauriwe kuandika vitabu..sikupenda kitabu cha kawawa kwa kuwa kipo too shallow na ameandika prof magoti...kwani kama kawawa yupo hai ingebidi dr magoti amuongoze aandike kwa mikono au muongozo wake mwenyewe....
pia nimependa kusikia dr bilal anafundisha dodoma ...ningefurahi kuona wanasiasa wasomi kama malecela na salim,warioba wawe wanatoa mihadhara kwenye vyuo vikuu vya mbalimbali.........
philemon mikael said:..mkuu FMES maelezo yako yamekamilika....lakini kuna jambo lina nikera sana ..nikibahatika kukaa na watu wenye nafasi huwa pia napenda kuwaambia!!
hawa wazee wetu hawaandiki vitabu ,tutakuja kupoteza historia za taifa na maisha ..kwani miaka kumi ijayo waazilishi wengi watakuwa wamekwenda ..tutaanzia wapi???
tumepoteza nafasi ya nyerere kuandika kitabu [kwa mkono wake mwenyewe kuhusu maisha yake]
naomba tusaidie tunahitaji hawa wazee waandike vitabu kuhusu maisha.
watu kama ...
1.john malecela
2.salim ahmed salim
3.kawawa
4.msuya
5.mzee mwinyi
5.warioba
6.mama maria
Hawa inabidi washauriwe kuandika vitabu..sikupenda kitabu cha kawawa kwa kuwa kipo too shallow na ameandika prof magoti...kwani kama kawawa yupo hai ingebidi dr magoti amuongoze aandike kwa mikono au muongozo wake mwenyewe....
pia nimependa kusikia dr bilal anafundisha dodoma ...ningefurahi kuona wanasiasa wasomi kama malecela na salim,warioba wawe wanatoa mihadhara kwenye vyuo vikuu vya mbalimbali......
- Sijui kwa viongozi wengine, nijuavyo watoto wa mzee Malecela, sasa hivi wanamalizia vitabu na video documentaries kuhusiana na historia form baba yao, kwa hiyo naamini when the time is right watavitoa wazi, ni moja ya faid kubwa ya kuwa na watoto wasomi waliobobea kama huyu mzee, kwa hiyo is just the matter of time.
- Nimewahi kuwashawishi watoto wa wazee kama Kawawa, Kingunge, Kimbau, Msuya, Mwakawago, na wengineo wenye watoto wasomi on this ishu hopefully watafuata nyayo za wenzao wa Trekta.
FMES!
FMES!