Listening Audio Booth:John Malecela: Alichoongea

Wenyewe wanakuambia eti ni brutal zero tolerance....

Tatizo ukiacha "Zero Tolerance" taratibu unaanza ku justify uzembe, unaanza ku deviate into mediocrity, mwishowe unaogelea katika ujinga kabisa na kuukubali.

Hapa ni mwendo wa Zero Tolerance mpaka kwenye spelling na speech.

Eloquency, preciseness and competency is never known to be a negative.
 
Hapa ni mwendo wa Zero Tolerance mpaka kwenye spelling na speech.

Zero tolerance in everything including code mixing!! So please, either English or Kiswahili. Not both in one sentence!
 

Fundi Mchundo, please, please.....!!!
 
All in all swali alilouliza Kuhani lilikuwa muhimu...How the "Zero tolorence" Has to do with it,hilo nawaachia waungwana mset hizo bars,ila sijaona shida kwenye kuuliza kama mwaka uliotajwa ni sahihi.
 

Recta,

..Mwalimu Nyerere aliendelea kuwa Mwenyekiti wa CCM hata baada ya kuondoka ktk nafasi ya Raisi wa Muungano mwaka 1985.

..Mzee Mwinyi aliendelea kuwa Makamu wa Mwenyekiti CCM, huku Rashidi Kawawa akiwa Katibu Mkuu.

..Mwalimu alipong'atuka Uenyekiti wa CCM alimpendekeza Mzee Mwinyi kuwa Mwenyekiti, na Mzee Rashidi Kawawa kuwa Makamu Mwenyekiti.

..nimeangalia kwenye Wikipedia wanasema Mwalimu alingatuka CCM mwaka 1990.

..statement inayobishaniwa hapa kuna uwezekano mkubwa sana ilitolewa na Mwalimu ktk hotuba yake ya kung'atuka Uenyekiti wa CCM.

..ilikuwa hotuba nzito iliyosheheni historia ya Tanganyika,Tanzania,Tanu, na CCM. ilikuwa ni kama hotuba ya wosia wa Mwalimu kwa wana-CCM wenzake, na wa-Tanzania kwa ujumla.

..katika hotuba hiyo Mwalimu alifanya kazi kubwa kuelezea historia na mchango wa Mzee Rashidi Mfaume Kawawa "simba wa vita" katika harakati za uhuru, na uongozi wa Tanganyika na Tanzania.

..Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere alitoa machozi wakati akimuelezea Mzee Kawawa kama kiongozi aliyemsaidia yeye Mwalimu tangu kabla ya uhuru, na ambaye wakati mwingine alitwisha lawama zilizopaswa kuelekezwa kwake Mwalimu, kwa serikali, au chama.
 
Mwandishi: Mzee, naitwa Saidi Kubenea natoka MwanaHalisi. Nilivyokusiliza vizuri, nimekusikia kwamba kuna tishio la watu kutaka kumega chama, nilivyokusikiliza vizuri...

Mzee Malecela:
Anh anh! Sijasema kuna tishio!
Nasema kuna maneno ambayo yanaandikwa kila siku, oooh watu wanataka kumegeka, wanataka kumegeka, sasa mimi ninasema, kama wapo, wamegeke! Badala ya kuendelea kututisha tisha tu!


Ha hahaa aaaaaaaaa!

Mzee Malecela ameanza public life/speech toka zama za mawe, ndio wamejenga nchi kutoka ukolonini hawa!

 

Joka Kuu,wikipedia kusema mwalimu aling'atuka 1990 haina maana kuwa mwalimu alisema maneno hayo mwaka huo...Hata hivyo inaelekea unataka kuthibitisha kuwa maneno hayo yalisemwa mwaka 1990,mkuu hilo linawezekana,lakini mwalimu alisema kuwa anang'atuka mwaka 1985,hilo ni forsure kutokana na kumbukumbu zangu,gazeti la uhuru siwezi kusahahu na ilikuwa topic kubwa sana kwani mwalimu akihutubia nyakati hizo kila mtu ansikiliza na ama kusoma.
Mkuu sipingani kuhusu hilo la 1990,maybe alizungumza pia wakati wa kujivua uenyekiti wa CCM,Lakini maneno kama hayo niko positive aliyasema mwaka 1985.
 

jmushu1,

..Mwalimu aliondoka serikalini mwaka 1985. lakini aliendelea kuwa Mwenyekiti wa Chama--CCM. ni mpaka mwaka 1990 ndipo alipoondoka kwenye Uenyekiti wa CCM.

..kwasababu alisema "CCM imara ...." ndiyo maana naegemea zaidi kudai maneno hayo aliyatamka mwaka 1990 wakati akingatuka uongozi wa Chama.

..lakini siyo kama ninatoa madai hayo kwa kutegemea kumbukumbu zangu tu. wikipedia, hata kama siyo reliable sana, na hilo bango la wana-CCM yanazidi kunishawishi kwamba kauli hiyo ilitolewa mwaka 1990.

..kama unataka kuendelea kutetea hoja yako, ni bora ukafanya hivyo ukisaidiwa na vyanzo vingine vya habari, na siyo kutegemea kumbukumbu yako ya kusoma gazeti la Uhuru na kusikiliza redio.
 

Mkuu nakubaliana na hayo unayosema based on ushahidi uliowekwa hapa,na ushahidi huo kama ulivyosema ulibase kwenye chama na hivyo kupelekea uwezekano wa maneno hayo kusemwa 1990.
Ila unasahahu nilichokuwa nikizungumzia,soma posting zilizopita mkuu,nilisema neno "Kung'atuka" na sikugusia neno ccm,hata hivyo mkuu ulitaka azungumzie nini na wakati siasa zilikuwa ni za chama kimoja? Ni mara ngapi hata sasa hivi viongozi wetu wameshindwa kutofautisha kati ya maslahi ya chama na ya Taifa?
Mkuu hizi ni sias za vyama na ninarudia kuwa sijaweza kumsikiliza Dk maelecela lakini hilo la mwalimu kutamka kuwa anang'atuka mwaka 1985 ni positive,kwamba alizungumza neno hilo zaidi ya mara moja kuna three versions,nakubali ya 1985,FMES anakumbuka kuwa neno kama hilo lilisemwa Karimjee 1982,mmesema Dk alisema ni mwaka 1992 na sasa tunaweza kuona alizungumza huko ndani ya chama chao 1990....Hilo la 1985 nalisimamia,na kwasababu 1985 alikuwa anaachia ngazi kwenye nafasi ya urais na bado akiwa na kofia ya uwenyekiti wa chama,basi na mimi naweza kusema kuwa alizungumza maneno similar to hayo wakati akiachia urais mwaka 1985.
 

Fundi Mchundo,

Nimekusoma hapo, ninaanza kuelewa kwa nini mara nyingi unanielewa na usiponielewa hatufikii ku abusiana.

Nadhani wewe uligundua zamani sana kwamba huyu mtu hana anachojua zaidi ya elimu ya ukubwani ya kupekechua pekechua HowStuffWorks.com na vijarida vya Science For Dummies, na Answers.com!

Kina YNIM wanasema wataalam wao, kina Augustoons, ma JF doctors wamekimbia "unnecessary criticisms."

Wamekimbia criticisms za elimu ya Ask Jeeves. Wanasema wamefundishwa na Shivji, halafu wanaingia mitini kwa sababu ya challenges za mtu wa kupelasa pelasa Wikipedia.com!
 

- Mkulu Steve D, hii yako sisi wakuu wa kumkoma nyani, inaitwa simama uhesabiwe, saafi sana na I am down na ndio muongozo wenyewe.

Wazee wa sauti ya umeme FMES!
 

- Wakulu Kuhani na Fundi, huu mjadala wa kunga'tuka umetosha sasa, aliyeuliza ni Mkulu Mwanakijiji, na akajibiwa kwa facts na wewe Kuhani, akakubali kiungwana kwamba ameridhika na facts zako on the ishu, case ilipaswa kuwa closed na ku-deal na hoja zingine muhimu zaidi ili tuelimishane zaidi kuhusu maneno mengi yaliyosemwa na Mzee Malecela.

- Binafsi ninaheshimu sana fact uliyoileta kwani ilipaswa kumaliza huu ubishi.

Respect.

FMES!
 
jmushi1,

..huu msamiati "KUN'GATUKA" ambao origin yake ni lugha ya Kizanaki nakubaliana na wewe kwamba Mwalimu aliutamka kabla ya 1985.

..nasema hivyo kwa kuzingatia kwamba Mwalimu hakukurupuka tu na kuachia uongozi kwa staili ya Edward Lowassa.

..lakini kinachozungumziwa ktk mjadala ni kauli ambayo KUHANI ametuletea mpaka ushahidi wa kutoka CCM kwenyewe.

FMES,

..asante sana kwa mchango wako hapo juu.

..ushahidi aliotoa Kuhani unapaswa kupingwa kwa ushahidi mwingine wenye uzito kama unaolingana.
 

Sawa mkuu,tuko pamoja...Ni kuhusu kauli hiyo na si neno hilo lenye origin ya kizanaki. Shukran mkuu,tuendelee kukata issue.
Pia nimejaribu ku search hotuba za mwalimu za nyakati zote mbili ila nijaweza kuzipata...Ushahidi aliouleta hapa Kuhani si hotuba,bali maneno yaliyotundikwa kwenye bango during mkutano wa ccm....Kuhani mwenyewe originally alisema mwalimu aling'atuka mara mbili,then sasa imekuja kuwa yeye ndiye ameprove kuwa mwalimu alisema maneno hayo mara moja,what is what? Mi nanona tuendelee tu theme ya maelezo ya Dk.
 

Ahsante brother / dada Field Marshall.

Nimekusikia na nitakoma hiyo mada, japo nikueleze kifupi tu, kwamba utakuwa uliona Mkuu Mwanakijiji aliliendeleza "kombe la mbuzi" hata baada ya kushauriwa na baadhi ya wachangiaji kama vile Fundi Mchundo kwamba ameleta ubishi usio maana.

Na hivi tunavyoongea kuna JMushi bado analiendeleza aking'ang'ania tarehe za mwaka 1985, wakati the immediate mjadala ulikuwa utata btn 1990 na 1992. Completely off topic, tena anakataa independent sources za Joka Kuu, halafu yeye vyanzo vyake ni, well, kumbukumbu zake!

Nisisitize, ahsante kwa mwongozo wako, japo nimedhani umelalia upande mmoja.

Ndimi mwenzako katika amani.
 



- Mkulu jokakuu, ni kweli Mwalimu alisema hili neno mara nyingi sana kabla ya mwaka 1985, ingawa neno kung'atuka as kunga'tuka, alilisema mwaka 1982 tena siku hiyo pia aliongelea neno moja la kizanaki kwamba "mficha ugonjwa hufichuliwa na kifo" hebu wazanaki hapa lisemeni hili neno kizanaki, nakumbuka alsiema something like kilimbwiri kilmbworu....na kuendelea samahani kama nimekosea lakini ninaikumbuka ile siku sana, mpaka akapachikwa jina la haambiliki.

- Hii siku ndio kwa mara ya kwanza Mwalimu aliya-introduce haya maneno ya kizanaki kwetu taifa na yakaanza kutumika sana hasa kwenye kipindi cha "Mikingamo" unakikumbuka? na mazungumzo baada ya habari.

- Lakini maneno ya kupumzika uongozi Mwalimu ameyasema mara nyingi sana hata kabla ya 80s, lakini sio neno kunga'tuka.

Respect.

FMES!
 

Wakuu Field Marshall na JMushi,

huu mjadala wa kunga'tuka umetosha sasa, aliyeuliza ni Mkulu Mwanakijiji, na akajibiwa kwa facts na kina Fundi Mchundo na Joka Kuu na wengine, japo hakukubali kiungwana kwamba ameridhika na facts hizo on the ishu, case ilipaswa kuwa closed na ku-deal na hoja zingine muhimu zaidi ili tuelimishane zaidi kuhusu maneno mengi yaliyosemwa na Mzee Malecela.

Heshima.

Adapted by Kuhani.
 

Kuhani...Nilidhani mjadala haukuwa neno "Kung'atuka" bali kauli nzima..Nilitaka ni ignore ili mjadala uendelee,lakini ukweli ni kwamba...Hyao hapo chini ni maneno yako yaliyopelekea mimi kuchukulia issue kuwa ni neno kung'atuka,na mimi nikakubali inawezekana alisema neno hilo zaidi ya mara moja,ila naona msisitizo wako ni kuwa alisema neno hilo pale alipokuwa akijiuzulu uenyekiti wa chama peke yake...Hapo tunapishana...Kwamba hata wewe uliprove kuwa mjadala haukuwa immediatelly btn 1990 na 1992...Kwanza ulisema...
Nyerere aling'atuka na kusema nang'atuka Agosti, 1990. Period
And then ukasema...
Kwa hiyo, Mwanakijiji, Nyerere angeweza kung'atuka 1985 na 1990 halafu 1992 ndio akaja kusema "nang'atuka," miaka saba baadae? Miwili baadae? Jamani, hizi obfuscation za mada ndio haya ya kombe la mbuzi sasa!

Hayo hapo juu ni maneno yako mwenyewe...Hiyo 1985 uliitoa wapi kama ulikuwa ukimjibu MKJJ na si mimi na kwamba topic ilikuwa just btn 1990 na 1990?
 
Kwani Mwalimu aling'atuka ama hali ilimlazimu ang'atuke ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…