Roving Journalist
JF Roving Journalist
- Apr 18, 2017
- 3,984
- 13,760
Mwanamichezo Liston Katabazi analiburuza mahakamani Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) akilidai shirikisho hilo lililotangaza kumfungia maisha kujihusisha na soka.
Kwa mujibu wa Katabazi ameifungulia kesi TFF katika mahakama ya Hakimu Mkazi, Kisutu jijini Dar es Salaam, yenye namba 14708-2024.
Katabazi alisema kesi dhidi yake na TFF inatarajiwa kusikilizwa Julai 17, mwaka huu na Hakimu Mkuu Mkazi, Anna Maguto.
Katabazi alisema katika kesi hiyo anawakilishwa na wakili, Peter Majanjala wa Kituo cha Sheria na Haki za Binaadamu (LHRC).
Kwa mujibu wa Katabazi ameifungulia kesi TFF katika mahakama ya Hakimu Mkazi, Kisutu jijini Dar es Salaam, yenye namba 14708-2024.
Katabazi alisema kesi dhidi yake na TFF inatarajiwa kusikilizwa Julai 17, mwaka huu na Hakimu Mkuu Mkazi, Anna Maguto.
Katabazi alisema katika kesi hiyo anawakilishwa na wakili, Peter Majanjala wa Kituo cha Sheria na Haki za Binaadamu (LHRC).