Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mataifa zaidi ya 30 yanakosa usingizi.Wathubutu
Kwahiyo wamemshindwa bro Putin.
Wathubutu
Kwahiyo wamemshindwa bro Putin.
Na nyinyi watanzania ambao mna kila resources muhimu lakini bado watoto wenu wanasoma kwenye madarasa yasiyo na madawati ndio mna akili ?Watu wa ulaya mashariki Hawana akili kabisa
Una uelewa mdogo sana, endelea kupambana na Dp World labda utaambulia chochote.Tatizo hao marais wa hivi vinchi bado wana fikiri Nato ndio kila kitu hawafikirii hiyo Urusi wanayoisema itasarenda ina mabomu ya Nuclear kuliko hizo nchi za Nato zote combined including baba yao Marekani. Na kikiinuka ile yenyewe wao pia watafutika duniani
Una uhakika unachoongea au umeandika kwa hisia na mihemkoTatizo hao marais wa hivi vinchi bado wana fikiri Nato ndio kila kitu hawafikirii hiyo Urusi wanayoisema itasarenda ina mabomu ya Nuclear kuliko hizo nchi za Nato zote combined including baba yao Marekani. Na kikiinuka ile yenyewe wao pia watafutika duniani
Unafkiri Putin sasa anaweza kushinda japo kwa dakika kule Ikulu za Kremlin?Mataifa zaidi ya 30 yanakosa usingizi.View attachment 2678436
Putin kashindwa ni kivuli chake tu je mataifa 32 yakiingia uwanjani unafkiri kule russia kutabaki nini kama si mavumbi matupuWathubutu
Kwahiyo wamemshindwa bro Putin.
unaongea huku umeshiba sembe kwa maharage sasa unakuja kutapika humuPutin kashindwa ni kivuli chake tu je mataifa 32 yakiingia uwanjani unafkiri kule russia kutabaki nini kama si mavumbi matupu
Wewe unayekimbiza mwenge kila siku huku shule hata vyoo hamna watoto wanajisaidia vichakani ndio una akili au umetoroka kutoka Mirembe jana.Watu wa ulaya mashariki Hawana akili kabisa
Ndio nna uhakika 110%Una uhakika unachoongea au umeandika kwa hisia na mihemko
Fafanua tuone uelewa wako mkubwa hiyo sijui Dp world mnaijua wewe na cowards wenzako mimi hainihusu bro😁😁Una uelewa mdogo sana, endelea kupambana na Dp World labda utaambulia chochote.
Urusi na western nations zina watu wa hovyo hovyo walio selfish na wasiojali thamani ya uhai wa binadamu.Urusi apigwe tu anavurugu amani ya dunia na vitisho vyake vya nuke's, ni mpumbavu tu atakayeamini Urusi ataishinda dunia kwenye vita vya nuclear.
na usisahau urusi hayupo peke yakeHawajamshindwa, ila hawawezi ku deploy full power kama ukraine si mwanachama