Lithuania inaitaka NATO kuipa Kyiv njia kujiunga uanachama wa NATO

Lithuania inaitaka NATO kuipa Kyiv njia kujiunga uanachama wa NATO

unaongea huku umeshiba sembe kwa maharage sasa unakuja kutapika humu
kwa hiyo kwa akili zako hizo za chooni unafkiri hao nato na marekani hawana akili wakajichanganye kuivamia urusi unajua nini kitakachotokea baada baada kuvamia urusi .........aiseee em nenda chooni kwanza .....
yaani una nyumba yako umejenga umeweka fensi na familia ipi ndani alafu wahuni wanakuja kufanya fujo getini wewe kama baba uta waacha tuu waendelee kuvunja geti kuingia ndani na una silaha zipo ...[emoji115][emoji115][emoji115][emoji23][emoji23]
we kweli hamna kazi
sijui umeandika nini hufahamiki
 
Tatizo hao marais wa hivi vinchi bado wana fikiri Nato ndio kila kitu hawafikirii hiyo Urusi wanayoisema itasarenda ina mabomu ya Nuclear kuliko hizo nchi za Nato zote combined including baba yao Marekani. Na kikiinuka ile yenyewe wao pia watafutika duniani
Ww huyo unaijua urusi kuliko lithuania , kesho wakikuita nyan unanuna ? Huna research unaropoka tu
 
Hii reply yko ni jibu tosha kuwa ww ni imbecil
Fuckin coward keyboard warrior mbona hauendi kuandamana punk.. ...maandamano yaliitishwa mkajifungia then unaongea ni hapa stupid...
 
Hawajamshindwa, ila hawawezi ku deploy full power kama ukraine si mwanachama
Hata km wata deploy bado kazi ni ngumu na haitatokea hata siku moja Ukraine kukubaliwa kujiunga na NATO ktk kipindi hiki cha vita labdanum wakati mwingine. Km ikilazimika kujiunga basi WWW3 will be apparent. Na hiki ndiyo NATO hawataki au wanaogopa kisitokee.
 
Back
Top Bottom