unaongea huku umeshiba sembe kwa maharage sasa unakuja kutapika humu
kwa hiyo kwa akili zako hizo za chooni unafkiri hao nato na marekani hawana akili wakajichanganye kuivamia urusi unajua nini kitakachotokea baada baada kuvamia urusi .........aiseee em nenda chooni kwanza .....
yaani una nyumba yako umejenga umeweka fensi na familia ipi ndani alafu wahuni wanakuja kufanya fujo getini wewe kama baba uta waacha tuu waendelee kuvunja geti kuingia ndani na una silaha zipo ...[emoji115][emoji115][emoji115][emoji23][emoji23]
we kweli hamna kazi