sijui umeandika nini hufahamikiunaongea huku umeshiba sembe kwa maharage sasa unakuja kutapika humu
kwa hiyo kwa akili zako hizo za chooni unafkiri hao nato na marekani hawana akili wakajichanganye kuivamia urusi unajua nini kitakachotokea baada baada kuvamia urusi .........aiseee em nenda chooni kwanza .....
yaani una nyumba yako umejenga umeweka fensi na familia ipi ndani alafu wahuni wanakuja kufanya fujo getini wewe kama baba uta waacha tuu waendelee kuvunja geti kuingia ndani na una silaha zipo ...[emoji115][emoji115][emoji115][emoji23][emoji23]
we kweli hamna kazi
Ndio wanamuogopa puttin kwann hawa deploy full power wakati libya wali deploy na hakuwa mwanachamaHawajamshindwa, ila hawawezi ku deploy full power kama ukraine si mwanachama
haya kakojoe ukalale kama huelew nilichoandika hapo ....sijui umeandika nini hufahamiki
Na wasiposaidia km Sudan mnalalamikaMataifa zaidi ya 30 yanakosa usingizi.View attachment 2678436
Ww huyo unaijua urusi kuliko lithuania , kesho wakikuita nyan unanuna ? Huna research unaropoka tuTatizo hao marais wa hivi vinchi bado wana fikiri Nato ndio kila kitu hawafikirii hiyo Urusi wanayoisema itasarenda ina mabomu ya Nuclear kuliko hizo nchi za Nato zote combined including baba yao Marekani. Na kikiinuka ile yenyewe wao pia watafutika duniani
Hii reply yko ni jibu tosha kuwa ww ni imbecilFafanua tuone uelewa wako mkubwa hiyo sijui Dp world mnaijua wewe na cowards wenzako mimi hainihusu bro[emoji16][emoji16]
Sw ila Je ni sahihi anachofanya Urusi huko Ukraine?Urusi na western nations zina watu wa hovyo hovyo walio selfish na wasiojali thamani ya uhai wa binadamu.
Mbal na iran mwenzake nan?na usisahau urusi hayupo peke yake
kiduku na macho mbonyeoMbal na iran mwenzake nan?
Fuckin coward keyboard warrior mbona hauendi kuandamana punk.. ...maandamano yaliitishwa mkajifungia then unaongea ni hapa stupid...Hii reply yko ni jibu tosha kuwa ww ni imbecil
Sio sawaSw ila Je ni sahihi anachofanya Urusi huko Ukraine?
Hata km wata deploy bado kazi ni ngumu na haitatokea hata siku moja Ukraine kukubaliwa kujiunga na NATO ktk kipindi hiki cha vita labdanum wakati mwingine. Km ikilazimika kujiunga basi WWW3 will be apparent. Na hiki ndiyo NATO hawataki au wanaogopa kisitokee.Hawajamshindwa, ila hawawezi ku deploy full power kama ukraine si mwanachama