Live From Kebby's Hotel in JF Dar-Wing, WHITE PARTY!!!!!

Hahahahaha
hakuna aliye nifanya nikimbie kama vipi leta ushahidi!

Nilifika salama mpendwa haya nina taarifa kuwa yule aliyekufanya utukimbie alikutosa
 
Mkuu Vin Diesel mbona unamsumbua sumbua sana my wifey mwaJ hujui kwamba muda huu ananihudumia mimi mumewe!?

Mkuu Mwita Maranya mie nina neno nae kuhusu yule mdogo wetu aliekuja nae jana kwenye party....akimaliza kukuhudumia mwambie anifikishie salamu zangu

Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
 
Last edited by a moderator:
Mkuu Mwita Maranya mie nina neno nae kuhusu yule mdogo wetu aliekuja nae jana kwenye party....akimaliza kukuhudumia mwambie anifikishie salamu zangu

Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums

Sasa mkuu Vin Diesel ulishindwa nini kumg'ata sikio jana? Au ulikuwa umewekwa kwenye triangle!?
 
Last edited by a moderator:
Hebu nenda Side B.

Habari yake Madame B.
Nasikia jana ulikuwa single lady baada ya wa ubavu wako kuswekwa selo dakika za lala salama.

Hongereni sana kwa kumake white party ikahappen vizuri sana. I wish ningekuwepo nikuone wewe na cacico!
 
Last edited by a moderator:
Ahaaa, muambie anunue pharmacy moja tu haop nakiete akaifungulie uani kwake. Umenikumbusha chuo kuna mtu aliamka asubuhi akajikuta gesti bubu na boonge la shangingi na mazingira yakiashiria alijilipua. Aliwahi pharmacy akanunua antibiotics zilizomjia kichwani aina kadhaa akaanza kutumia. Mbaya zaidi baada ya wiki ulimi ukatoka fungus kwa sababu ya lowered immunity. Hapakutosha! Tulimtania miaka 2!

Masharti muhimu. Mtoto wa kike mie!
Bujibuji si aliopoa miss mmoja jana....yaliyomkuta ni balaaa....
Mbona masharti mengi sana

Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
 
Last edited by a moderator:
Jana nilipigwa pin ya nguvu na Paloma mpaka charminglady akanichunia....
Msaada wako wahitajika kwenye hili

Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums

Yan mpaka sasa nahisi maumivu ya moyo.... Kupanda kote fastjet kwa ajili yako ukanichinjia baharini????? Na hii ndo sababu kubwa ya kutokaa muda mrefu partini!!!!
 
Last edited by a moderator:
Jana nilipigwa pin ya nguvu na Paloma mpaka charminglady akanichunia....
Msaada wako wahitajika kwenye hili

Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums

Kumbe Paloma kisiki cha mpingo eenh!? Hiyo ilitulia hata mimi nampa big up.

Halafu ujue charminglady ni dada yangu toka nitoke. Sasa unapoanza kupiga misele kwa mdogo wa my wifey mwaJ hapo naona utata!?
 
Last edited by a moderator:

Haya masuala ya kujilipua usiyazungumzie kabisa maana wengi utawagusa....pakikucha utahisi mwisho wa dunia umefika mapema kwako...sasa legeza masharti kidogo maana hivi wajaza vikwazo vya kiuchumi kwa nchi kama somalia...utaua raia kwa mwendo huu...

Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
 
Habari yake Madame B.
Nasikia jana ulikuwa single lady baada ya wa ubavu wako kuswekwa selo dakika za lala salama.

Hongereni sana kwa kumake white party ikahappen vizuri sana. I wish ningekuwepo nikuone wewe na cacico!

Jamani Mwita Maranya yani huwezi amini,
Mume wangu alisusa kbs kuingia ndani wakati mchango alitoa.
Chimbuvu alikuwa Selo maskini.
Ila namshukuru sana nanilii kwa Kampani aliyonipa.
 
Last edited by a moderator:
Yan mpaka sasa nahisi maumivu ya moyo.... Kupanda kote fastjet kwa ajili yako ukanichinjia baharini????? Na hii ndo sababu kubwa ya kutokaa muda mrefu partini!!!!

Sasa wewe ulitegemea unisuprise mwishowe ukajisuprise mwenyewee....
Bado tuna nafasi ya kurekebisha my dear...

Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…