Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jamani Mwita Maranya yani huwezi amini,
Mume wangu alisusa kbs kuingia ndani wakati mchango alitoa.
Chimbuvu alikuwa Selo maskini.
Ila namshukuru sana nanilii kwa Kampani aliyonipa.
Usijali.. Napenda ufanikiwe.. Nafurahi kama uliipenda ile style.na inaitwa fidodido dijitale...
We figganigga n'take radhi.
Nani aliondoka na Thanda,ye si alienda kulala Hotelini pale Morocco.
Me nikasepa,au hukumuona yule Baunsa aliyenifata na Rav 4?
Chezea.
Ninazo huku shem.
Ila uje usiku kuzichukua,nitakusubiri pale Machi machi.
zipo mkuu alafu umetokea bomba sana
Basi kaka nitakutafuta PM tufanye utaratibu wa kuzipata
poa kaka,utazipata.
nawish kuiona! umeiona wapi?? nilikupaniaje?? mzima ww Mwita Maranya?Madame B mbona unanifumbia fumbo. Nanilii ndo nani tena bana!?
Nimeona kipande cha video ya tukio la jana, mlikuwa mmelipukaje kwani! Kumbe wadada wa JF ni warembo kiasi hicho eenh!
mtumeeeeeee bado waliendeleza?? nipo hoi, nilibanwaje na mkeiii?? sikuwa na pumzi lolSema shemeji langu Hand Some nakati ya Mbezi Mwisho.
Shemeji hapa Nakunywa tu gambe.
mtumeeeeeee bado waliendeleza?? nipo hoi, nilibanwaje na mkeiii?? sikuwa na pumzi lol
ni noumer nakwambia wangu! ila nilihave fun sanaaaaaa! kudos to u guys kwa maandalizi bomber!Ya nini nijitese my dear?
Ndo mana wangu alivonileta tu,nikamwambia naomba usinifate nitarudi mwenyewe,maana wanaume wetu wa Kibongo nawajua kwa magubu yao,japo Mkei wako si wa hapahapa.