amu
JF-Expert Member
- Aug 8, 2012
- 16,132
- 31,149
Ha ha ha kipaji halisi mambo?
Last edited by a moderator:
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
u hali gani my dear...
Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
Aaaaaah!
Mlifika salama amu?
Muzima ila!!!?
Nilifika salama mpendwa haya nina taarifa kuwa yule aliyekufanya utukimbie alikutosa
Mkuu Vin Diesel mbona unamsumbua sumbua sana my wifey mwaJ hujui kwamba muda huu ananihudumia mimi mumewe!?
Acha tu nigune
Mkuu Mwita Maranya mie nina neno nae kuhusu yule mdogo wetu aliekuja nae jana kwenye party....akimaliza kukuhudumia mwambie anifikishie salamu zangu
Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
Sasa mkuu Vin Diesel ulishindwa nini kumg'ata sikio jana? Au ulikuwa umewekwa kwenye triangle!?
Bujibuji si aliopoa miss mmoja jana....yaliyomkuta ni balaaa....
Mbona masharti mengi sana
Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
Jana nilipigwa pin ya nguvu na Paloma mpaka charminglady akanichunia....
Msaada wako wahitajika kwenye hili
Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
Jana nilipigwa pin ya nguvu na Paloma mpaka charminglady akanichunia....
Msaada wako wahitajika kwenye hili
Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
Ahaaa, muambie anunue pharmacy moja tu haop nakiete akaifungulie uani kwake. Umenikumbusha chuo kuna mtu aliamka asubuhi akajikuta gesti bubu na boonge la shangingi na mazingira yakiashiria alijilipua. Aliwahi pharmacy akanunua antibiotics zilizomjia kichwani aina kadhaa akaanza kutumia. Mbaya zaidi baada ya wiki ulimi ukatoka fungus kwa sababu ya lowered immunity. Hapakutosha! Tulimtania miaka 2!
Masharti muhimu. Mtoto wa kike mie!
Yan mpaka sasa nahisi maumivu ya moyo.... Kupanda kote fastjet kwa ajili yako ukanichinjia baharini????? Na hii ndo sababu kubwa ya kutokaa muda mrefu partini!!!!