[h=3]1 point(s) total[/h]ReasonIle msg alokutumia bado unayo?? Ile ya kimoderator moderator uloisema jana?? Ndo kusema kina Invisible nao wamevamiwa kwenye anga zao . . . . mmmh!!!!
..niko pouwa kabisa...yaani full MAZUKANiko Poa kipaji halisi,cjui wewe.
Jamani huu si muda wa kazi...... ???
...nimelipenda hili jibu..hahahahahaKama ni muda wa kazi wewe wafanya nini hapa...
Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
...nimelipenda hili jibu..hahahahaha
Kipipi SHOST JIONEE MWENYEWE SASA HIYO HAPO NILICHOKUAMBIA SIKU ILE .
[h=3]1 point(s) total[/h]Reason
Date
Expires
Points
PrivateReason: Insulted Other Member(s)
14th January 201317:00by Marry Hunbig
24th January 201317:00
1
ndio uone mwenyewe hiyo alinitumia na akaifunga ID HIYO!!! ikawa haionekaniIna maana kumbe alikuwa na uwezo wa kumoderate?
kheheheheeh maua ya white party hayo yanaanza kuchanua mi nilikuwa pale garden niliangalia zile sura nikaona wooooote wamekaa kiwiziwizi yaanai watoto ya mujini janjajanja nikasema lol nijinyamazie hapa niicheki hii muvi au sio kaka yangu Mwita Maranya ? khekhekehe Vin Diesel sema haraka anaelekea upande gani kama ni anaelekea kule OHIO kesha mnasa yule ndege wangu aiseeeee amu jiangalie kwanza umepata ule ushungi wako uliouacha kwa kipaji halisi kweli?Huyu jamaa huwa anakurupuka sana....acha tuende nae sambamba...
Nimemuona amu na boxi la juice ya azam anakatiza mitaa ya posta.
Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
ndio uone mwenyewe hiyo alinitumia na akaifunga ID HIYO!!! ikawa haionekani
..umenichekesha eti watoto wa mujini...!!..halfu mbn USHUNGI umekua GUMZO sana...kheheheheeh maua ya white party hayo yanaanza kuchanua mi nilikuwa pale garden niliangalia zile sura nikaona wooooote wamekaa kiwiziwizi yaanai watoto ya mujini janjajanja nikasema lol nijinyamazie hapa niicheki hii muvi au sio kaka yangu Mwita Maranya ? khekhekehe Vin Diesel sema haraka anaelekea upande gani kama ni anaelekea kule OHIO kesha mnasa yule ndege wangu aiseeeee amu jiangalie kwanza umepata ule ushungi wako uliouacha kwa kipaji halisi kweli?
si aliusahau pale kwani ulimpa nini mpaka akasahau inaonyesha wewe si haba aisee..umenichekesha eti watoto wa mujini...!!..halfu mbn ushungi umekua gumzo sana...
kheheheheeh maua ya white party hayo yanaanza kuchanua mi nilikuwa pale garden niliangalia zile sura nikaona wooooote wamekaa kiwiziwizi yaanai watoto ya mujini janjajanja nikasema lol nijinyamazie hapa niicheki hii muvi au sio kaka yangu Mwita Maranya ? khekhekehe Vin Diesel sema haraka anaelekea upande gani kama ni anaelekea kule OHIO kesha mnasa yule ndege wangu aiseeeee amu jiangalie kwanza umepata ule ushungi wako uliouacha kwa kipaji halisi kweli?
nimekula bwimbwi ndio sababu toka saa 2 mpaka sasa niko huku jf
si aliusahau pale kwani ulimpa nini mpaka akasahau inaonyesha wewe si haba aisee