Live From Kebby's Hotel in JF Dar-Wing, WHITE PARTY!!!!!

Ile msg alokutumia bado unayo?? Ile ya kimoderator moderator uloisema jana?? Ndo kusema kina Invisible nao wamevamiwa kwenye anga zao . . . . mmmh!!!!
[h=3]1 point(s) total[/h]Reason
Date
Expires
Points


  • PrivateReason: Insulted Other Member(s)

    14th January 201317:00by Marry Hunbig

    24th January 201317:00
    1
 
Aiseeeeeeeeee! Roho Inauma vibaya sana Kuikosa Part Hii,
Kaka Mtambuzi, Maddame B, na wengine haiwezi kurudiwa tena ili na sisi tulikosa tuhudhurie? maana Duh ! I wish ningekuwepo.

Dah!
My dear Lisa,
sidhani,ila ngoja tuangalie.
 
Last edited by a moderator:
Embu fanya hivyo Maddame B, Kwa waliosalia , Jaribu kufanya Tangazo tena tuone kama wataitikia waliobakia nasi tuje.

Lisa my dear,
ngoja niwasiliane.
Ila dom worry kuna after Party,nitaku PM.
 
Last edited by a moderator:
...nimelipenda hili jibu..hahahahaha

Huyu jamaa huwa anakurupuka sana....acha tuende nae sambamba...
Nimemuona amu na boxi la juice ya azam anakatiza mitaa ya posta.

Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
 
Last edited by a moderator:

Ina maana kumbe alikuwa na uwezo wa kumoderate?
 
Huyu jamaa huwa anakurupuka sana....acha tuende nae sambamba...
Nimemuona amu na boxi la juice ya azam anakatiza mitaa ya posta.

Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
kheheheheeh maua ya white party hayo yanaanza kuchanua mi nilikuwa pale garden niliangalia zile sura nikaona wooooote wamekaa kiwiziwizi yaanai watoto ya mujini janjajanja nikasema lol nijinyamazie hapa niicheki hii muvi au sio kaka yangu Mwita Maranya ? khekhekehe Vin Diesel sema haraka anaelekea upande gani kama ni anaelekea kule OHIO kesha mnasa yule ndege wangu aiseeeee amu jiangalie kwanza umepata ule ushungi wako uliouacha kwa kipaji halisi kweli?
 
..umenichekesha eti watoto wa mujini...!!..halfu mbn USHUNGI umekua GUMZO sana...
 

Hivi wewe nivea leo umekula kitu gani...

Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…