Live From Taifa: Simba Vs JKT Ruvu

Live From Taifa: Simba Vs JKT Ruvu

walau Leo ntalala.yaani walivosawazisha nilijisikia uchungu Wa ajab hadi machozi kukaribia kutoka.asanteni.ila timu bado ina matatixo makubwa
 
Nilisema watafurika, utabiri wangu umetimia.
 
nmefurahi kwa kuwa serunkuma dan amefunga. huyu mchezaji ni mzuri sema tu amefika simba wakati mbaya.

Jana kuna uzi mmoja nilisema Danny bado nina imani naye, nashukuru leo amethibitisha imani yangu kwake haikuwa bure.
 
danny ni mchezaji mzuri wampe muda atulie na pia kama hali itatulia simba. danny ni mchezaji mzuri ....ana nguvu ana speed. sema alikuwa na tension na pressure kubwa toka kwa mashabiki. na hili ndo lilikuwa kikwazo na bado ni kiwazo. tunaweza kurudia ile simba ya okwi,mafisango na sunzu. ilikuwa simba nzuri na hao ni wachezaj ambao simba itawakumbuka sana. simba kiukweli bado ni team nzur tatizo tu ni wazee wa miba ndo wanaharibu team
 
nimejikuta napata usingizi mzito hapahapa Taifa baada y a mechi ndio nazinduka sasa hivi
 
nimeona tu niwasubirie wana kuchele hapahapa ukizingatia mageti yote yamefungwa
 
Yeah vyote 2 nimeelewa kasoro kisukuma tu. Leo mtakesha full mauchambuzi wenyewe. Ila simba mjue tu kipindi cha kwanza mlikuwa mrenda kabisa, uchezaji nimchezaji mmoja mmoja. Nibkwamba wakiwa majeruhi basi no ushindi.

Kwani yanga akikosekana Kanavaro inakuaje au hujawahi kujiuliza hilo? Utakalia kumsema jirani nguo imetoboka wakati wewe umekaa uchi.
 

Attachments

  • 1422746127780.jpg
    1422746127780.jpg
    84.4 KB · Views: 109
Dua yangu leo Yeboyebo ale kichapo cha bao moja au atoke sare.
 
Hongereeni sana Simba SC kwa kupoza maumivu. Mtaanza kusema sasa ndiyo mmeanza ligi, msijaribu kusema hivyo, yule shetani wa draw na kufungwa asije akawarudia.

Ligi kuu ni sawa na mbio za 10,000M wenye kuzijulia kamwe hawaanzi kwa kushangiliwa. Kikubwa unamalizaje mbio, hiyo ndiyo Simba hata Zanzibar ilianza hivyohivyo.
 
Back
Top Bottom