Live From Taifa: Simba Vs JKT Ruvu

Live From Taifa: Simba Vs JKT Ruvu

Samahani wadau Hivi Amis Tambwe ana goli ngapi mpaka sasa?

Toka msimu umeanz mpaka sasa ana bao 2 tu, moja akiwa na Simba la pili akiwa Yanga, Danny pamoja na ugeni wa ligi na mapungufu yake bado ana bao 3 mpaka sasa.
Yanga kweli wazee wa mizoga.
 
Hamjiamini kabisa mpaka muone hali angalau, ndio mnajitokeza. Shukuruni Yanga tupo hapa kusongesha laa hakuna kitu.

Haina shida kwani si ndiyo kazi yenu kushinda JF hata kuoga sijui kama mmeoga hapo sijaongelea kubwa na ndogo.
 
Ngapi ngapi wakuu ?, maana nipo msituni nakaza kuomba dua ili thimba itoe droo ama kufungwa kama kawaida yao. Mkuu Masuke upo wapi ?
Tumewazoea kwa dua za kilevi mwisho juu ya paa. Mliingia msituni Zanzibar tukabeba ndoo, mkaingia msituni Nangwanda mkatoka vichwa chini. Simba wakiingia msituni huko ndio kwake, leo mnachezea kichapo cha aibu.
 
Furaha yangu leo ni kuona chama langu la ukweli ambalo sikushinikizwa na mtu nilipende dar young africans inatoa kipigo kwa wamakonde wa mtwara kwa kuwapa kichapo cha magoli 4-0, Na kule Equatorial Guinea yale makubwa jinga yapewe kichapo cha maana kutoka kwa waarabu wa Algeria.
 
Mliingia msituni Zanzibar tukabeba ndoo, mkaingia msituni Nangwanda mkatoka vichwa chini. Simba wakiingia msituni huko ndio kwake, leo mnachezea kichapo cha aibu.


Dua la kuku.........?.
 
Freeland ha ha ha... mimi naambiwa hao watu wanaitwa wazee wa miba thats how they are refered jina lao ni taboo.. hutakiw kulitaja. waite tu hivyo wazee wa miba.
 
mkolaj yaani nikiona tu comments zako nakujua wewe ni mtu wa namna gani. kwa mfano wakisimamishwa watu 1000 halaf nikaambiwa onesha mkolaji yupo wapi ingawa sijawah kukuona ntakugundua tu. na ndo maana hata matimu unayoshabikia ni hayo hayo na lichama utakalo kuwa unashabikia litakuwa la hivyo hivyo. sasa subiria uone mtifu tifu wa leo na matimu yako ya kikatilikatili.... kiiintaramwe intaramwe... tutatfutana tu. jana mmekaa wenyewe mnategemea mnyama atafungwa? WE WIN WHEN WE WANT.
 
Furaha yangu leo ni kuona chama langu la ukweli ambalo sikushinikizwa na mtu nilipende dar young africans inatoa kipigo kwa wamakonde wa mtwara kwa kuwapa kichapo cha magoli 4-0, Na kule Equatorial Guinea yale makubwa jinga yapewe kichapo cha maana kutoka kwa waarabu wa Algeria.

Kibao kitageuka leo
 
10968555_325018907703609_5218800648638872306_n.jpg
 
mkolaj yaani nikiona tu comments zako nakujua wewe ni mtu wa namna gani. kwa mfano wakisimamishwa watu 1000 halaf nikaambiwa onesha mkolaji yupo wapi ingawa sijawah kukuona ntakugundua tu. na ndo maana hata matimu unayoshabikia ni hayo hayo na lichama utakalo kuwa unashabikia litakuwa la hivyo hivyo. sasa subiria uone mtifu tifu wa leo na matimu yako ya kikatilikatili.... kiiintaramwe intaramwe... tutatfutana tu. jana mmekaa wenyewe mnategemea mnyama atafungwa? WE WIN WHEN WE WANT.

Kibongo bongo-yanga Majuu-Manchester united.
 
danny ni mchezaji mzuri wampe muda atulie na pia kama hali itatulia simba. danny ni mchezaji mzuri ....ana nguvu ana speed. sema alikuwa na tension na pressure kubwa toka kwa mashabiki. na hili ndo lilikuwa kikwazo na bado ni kiwazo. tunaweza kurudia ile simba ya okwi,mafisango na sunzu. ilikuwa simba nzuri na hao ni wachezaj ambao simba itawakumbuka sana. simba kiukweli bado ni team nzur tatizo tu ni wazee wa miba ndo wanaharibu team

Jidanganye, huyo ni sawa na homa ya vipindi; usiku inakaba, kukicha inaachia, jioni inarejea tena. Subiri mechi yenu na Mgambo Shooting utayakumbuka maneno yangu.
 
Back
Top Bottom