Makoye Matale
JF-Expert Member
- May 2, 2011
- 6,491
- 2,104
Kibao kitageuka leo
'Ya nini kujitafutia presha, kiharusi na hata kisukari kwa timu dhaifu kama Ndanda FC?'- Makoye Matale 2015.Siyo siri. Endapo Yanga itafungwa Mkuu grafani11 utakuwa mwenye furaha isiyo kifani na endapo Yanga itashinda utakuwa ni mwenye huzuni mno.
Yanga haina historia ya kupoteza mechi katika uwanja wa nyumbani jindae kusikitika.
Wewe timu yako jana imeshinda, ya nini tena kujitafutia presha, kiharusi na hata kisukari kwa timu dhaifu kama Ndanda FC?
Sikuona haja ya kujibu maana dua yangu siku zote huwa haipiti bure. Kuchele wamenifurahisha sana kwa kweli.Siyo siri. Endapo Yanga itafungwa Mkuu grafani11 utakuwa mwenye furaha isiyo kifani na endapo Yanga itashinda utakuwa ni mwenye huzuni mno.
Yanga haina historia ya kupoteza mechi katika uwanja wa nyumbani jindae kusikitika.
Wewe timu yako jana imeshinda, ya nini tena kujitafutia presha, kiharusi na hata kisukari kwa timu dhaifu kama Ndanda FC?
Ni kweli dhaifu wote jana walikutana na wote tumeona....'Ya nini kujitafutia presha, kiharusi na hata kisukari kwa timu dhaifu kama Ndanda FC?'- Makoye Matale 2015.
Jidanganye, huyo ni sawa na homa ya vipindi; usiku inakaba, kukicha inaachia, jioni inarejea tena. Subiri mechi yenu na Mgambo Shooting utayakumbuka maneno yangu.