Live From Taifa: Simba Vs JKT Ruvu

Live From Taifa: Simba Vs JKT Ruvu

team yetu ya simba na kocha wala si mbaya. tuna kocha mzuri sana na wachezaji tunao wazuri hilo kila anayeelewa mpira atakwambia. jambo ambalo linatuumiza ni wachezaji kuchoka kinapoanza kipind cha pili. huwa wanasema wanachoka utadhan wamebeba wame. kipind cha kwanza wanajitahid sana kwa nguvu nyingi sana . mi nadhan hapa shida ipo tukubali tusikubali. lakini tunafaham tatizo ni nini. nadhan kama aveva huyu mnyakyusa angeacha ujeuri angeweza kukaa na ukawa haya mambo yangeisha tu. na ushindi ungepatikana, kwa sasa kila mchezaji simba ataonekana mbaya au anacheza chini ya kiwango. haya mambo watu myasikie tu ila usiombe yakukute. mtani anashangilia akidhan kwa haya yanayotukuta yeye anafaidika anasahau sisi tumetoka mbali sana na kushuka kwa simba ni kuanguka kwa yanga. maana huu mwaka wa nne kama sikosei hatuna team ya kutuwakilisha mech za kimataifs kiushindani toka simba ianze kufanyiwa hujuma. maana team ambayo ilikuwa inawea kucheza mechi za kimataifa ni simba peke yake.
tutapambana na tutashinda. bantu lady, makoye et al


Vikombe vingapi katika uwakilishi huo wa kiushindani?
 
Wapigwe tu tumechoka,
si wengine ni simba hao.
 
Huyu Dan kwanini anatufanyia hivyo lakini? Watu bado hatujakaa vizuri kwenye viti vyetu, wengine hata bado hawajaingia uwanjani.. kashafanya mambo!! Kila la kheri Simba Sc.
 
Jkt tandika hao,wapi makoye matale tunasubiri utabiri wako
 
JKT Ruvu tupeni raha siye, watu walilia, walilala huku wamesimama.
Tunataka leo wasirudi mitaani kwao kabisa.
Mkitoka sare powa hata 2-1 siye raha tu.
 
Back
Top Bottom