Ihefu ye ligi yote anamtaka yanga tuIhefu FC ndio level yao, waache watambe.
Vv
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ihefu ye ligi yote anamtaka yanga tuIhefu FC ndio level yao, waache watambe.
Vv
Au 6??Hivi leo kumbe tarehe 5?
Hivi wamebadili kocha au yamini tu hiyo.Azam wanaupiga mpira mwingi sanaaaaa
Ana goals 5 kama hufuatilii mpira tulia tuDaah kagol kamoja kwa mechi nyingi hivi?
Wabongo jmn
Ask herFeisal ana goal tano NBC, mwenye nyingi ana 6,
Sijui hako kagoal kamoja ni kapi
Hii timu utashangaa mwishoni mwa msimu inashuka daraja, au inacheza play off. Maana huwa inajiandaa pre season yote kuifunga Yanga tu. Baada ya hapo, inageuka na kuwa pombe ya kwenye sherehe.Wakuu match hii inachezwa katika uwanja wa Highland Estates,
Imeanza saa 10,
Hadi sasa ni dakika ya 20 na matokeo ni 0-0 endeleeni kuwa karibu nami ili kuendelea kuwapa Updates
Full time 1-3 in favor of Team bora sana ya Azam Fc
View attachment 2803796