Live interview with Mrembo on muosha rungu show

[emoji30][emoji30][emoji30][emoji134] [emoji134] [emoji134] mpaka leo anachoficha nini jamaan basi hata usimfanyie usije ukafanya ikawa aibu yetu dada asitokee kabisa ujue nawaza tu mimi akapita kimya kimya
Kwanzaa sina uhakika na ile tarehe ujue....
 
Usijali mamy... Nafikiri Unajua kuna mrembo anajiita Husna the boss lady... Wanaume weengi walimdondokea kweeeli, wengine wakagongana pm hukooo, kumbe ni dume bwana.... Linaitwa Otieno kwa id ingine, fundi wa vitanda!!!!!! Upoo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji6] hiyo ya pm kama uliona
 
Hivi nikijibadilisha jinsia humu napata faida gani? Hebu nisaidie mpnz kunifumbua

Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna wapo wanajua wakifanyacho,
Japo Husna alisema mapema role mod... Wake ni Wema, sababu wema anapenda ku fake.
Hivyo alitoa majibu mapema kuwa yeye naye ni jike fake.
Sijui kwanini watu walishangaa alipoumbuliwa kuwa ni Eric Otieno???
 
Usijali mamy... Nafikiri Unajua kuna mrembo anajiita Husna the boss lady... Wanaume weengi walimdondokea kweeeli, wengine wakagongana pm hukooo, kumbe ni dume bwana.... Linaitwa Otieno kwa id ingine, fundi wa vitanda!!!!!! Upoo
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Shennnzzz veve...
Nani angemendea pm mjinga ka yule...
Mnawaona me ni makenge eti dada!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…