NGULI
JF-Expert Member
- Mar 31, 2008
- 4,801
- 643
Leo watz wanakumbuka kifo cha baba wa Taifa Mwl Julius K. Nyerere.Butima ndiko kumbukumbuku zinafanyika kitaifa, viongozi mbalimbali wakitaifa wapo hapa, brudani za ngoma zinaendelea na wakati wowote mh! Rais wa Jamhuri ya Munnganio-Kikwete atafika hapa badi sijafahamu kama atalihutubia taifa katika kilele hichi. Ila kumbukumbu zimefana sana.
Na kama kuna sehemu yeyote watu wamekusanyika au kuna mdahalo wa kumuenzi mwl hata nje ya mipaka ya nchi yetu tungependa kujuzwa nini kinajiri huko.
Na kama kuna sehemu yeyote watu wamekusanyika au kuna mdahalo wa kumuenzi mwl hata nje ya mipaka ya nchi yetu tungependa kujuzwa nini kinajiri huko.