Live kutoka kuzimu!

Live kutoka kuzimu!

Hivi unadhani Mshana Jr mganga basi?kasoma Kwa ma monk huko we ndio unadhani mganga
Monk ni waabudu miungu na baba wa Miungu ni Ibilisi na shetani.

Hakuna urafiki kati ya Giza na Nuru!!

Monk na YESU hawapikiki chungu kimoja.

Jina la YESU kristo wa Nazareth pekee linatosha kukulinda na wachawi ukiliamini, haliitaji msaada wa chumvi ya mawe!!

Aamen
 
INTRODUCTION.

Sikutishi, Ninakupa UKWELI Ili uamue mahali pa kwenda utakapokufa.

MBINGUNI ,ni makazi ya Walio hai,

KUZIMU: Ni nyumbani Kwa wafu, ni gereza la kuwatunza wafu wakipitia mateso kabla ya HUKUMU ya Mungu,

Mateso yanayoendelea mahali hapa yanafanywa na Mapepo na Mashetani Kwa Roho za watu wasiomtii Mungu, wafao katika Dhambi.

Jehanum haijawapo Bado, Ile itaumbwa wakati wa Mwisho wa Ulimwengu utapowadia, na pale Mungu ndipo ataadhibu watu waliotunzwa katika Gereza la kuzimu, ila katika kuzimu, watu, mapepo na mashetani Kwa ujumla wao watatupwa Kwa ajili ya HUKUMU ya milele.

AINA ZA WAFU WALIO MAGEREZANI.

1. Imeandikwa, Atendaye dhambi ni mtumwa wa dhambi, hiyo Kwa tafsiri hiyo WANADAMU Walio hai ni wafu wanaotembea, bila TOBA na kutakaswa, utaelekea kuzimu ninapokwenda kupaongelea.

2. Misukule.

Hawa wamefungwa na hutumika na wachawi na mapepo, shetani Ili kufanya KAZI za Shetani kujenga ufalme wake.

Zipo pia aina nyingi za misukule Walio katika magereza ya kuzimu lakini sitawaongelea Leo.

AINA ZA KUZIMU / MATABAKA YA KUZIMU.

1. KUZIMU KAVU.

Hili ni eneo ambalo hutumiwa na matajiri wa Ulimwengu huu , wanasiasa, wasanii, viongozi mbalimbali kwenda kupata utajiri au nyota Kwa kufunga mikataba ya kubadilishana na NAFSI zao, eneo hili ni kama gulio la kuuza na kubadilishana NAFSI za WANADAMU Kwa sadaka ya Damu,

Eneo hili wachawi hutamba na kujiona ndo wamefika lakini wasilolijua ni kuwa shetani Huwa amewaficha kutojua eneo au tabaka la tatu chini kabisa nini kinaendelea, huko ndipo nitapaongelea Leo. Wachawi huua na kumwaga Damu za watu wakishirikiana na mapepo Ili kumfurahisha boss wao shetani,ila ukifika muda wao, shetani huwageuka na kuwaua na huenda tabaka la tatu la kuzimu.

2. Tabaka la pili/ Kuzimu kama himaya ya Mashetani na Mapepo kama himaya Yao./ Ulimwengu wa Giza.

Mahala hapa, binafamu hakanyagi, ni eneo la kimamlaka ambapo mipango Yao husukwa wakiongozwa na Shetani mwenyewe.

Eneo Hilo ni Giza tupu, na ndipo hukaa mapepo yenye kuleta dhoruba na vimbunga na Kila aina ya majanga tunayoyaita ya asili.

Mahali hapa ndipo palipo na kizuizi Cha maombi ya WATAKATIFU kufika Mbinguni, maana ndipo walipo mapepo na mashetani yaongozao falme za Dunia na watu wake, hivyo Kwakuwa Mbinguni ni juu zaidi, mwanadamu aliye chini kutoboa sehemu hiyo Si vyepesi, ndomana unaweza omba Leo na ikachukua muda mrefu kupata majibu, sababu ufalme huu huzuia.

3. KUZIMU YA MOTO.

Mahali hapa ndipo nitapokueleza kinachoendelea.,

WANADAMU Walio katika kuzimu na magereza haya ya kawaida mfano Misukule nk nk , huweza kufunguliwa kirahisi na kurudishwa, lakini mtu alifika KUZIMU ya MOTO harudi tena kamwe duniani, ni anasubiri HUKUMU.

Wapo watu ambao huuwawa na wachawi au wafao kabla ya siku zao kutimia, Roho hizi hutangatanga duniani Hadi pale muda wao ukifika ndipo huingizwa na Malaika wa Giza eneo lile la mateso yaana kuzimu ya moto.

Ni hapa ambapo wachawi, wazinzi,wezi ,wapenda anasa ambao walikuwa wakimtumikia shetani wakidhani ni Rafiki Yao, hugeuka na kuwatesa vikali bila kujali KAZI walomfanyia.

TOPIC: LIVE KUTOKA KUZIMU.

Shimo hili halijai na halijawahi kujaa, tangu kuumbwa Ulimwengu wamekuwa wakitupwa Roho za WANADAMU na halijai, tangu alipotupwa Cain Hadi Leo,

Na umbali wa mtu mmoja na mwingine, ni sawa na Mita Mia. Hivyo Kila Mmoja hutweswa kivyake, vinavyosikika ni vilio na maumivu yasiyokoma.

Eneo hili moto huwaunguza watu waliomo bila mapumziko na mapepo yaliyomo, huendelea kuwaadhibu raia au wafungwa wa humo sawasawa na dhambi zilizowapeleka humo.

1. IDARA YA WACHORA TATOOS!

Nami nikaona watu waliojichora miili Yao wake Kwa waume Kila mmoja Mahali pake.

Kuna wengine waliojichora tattoo baadhi ya sehemu tu za miili Yao, lakini wengine waliojichora mwili mzima.

Wanawake wengine waliojichora Hina mwilini, pia walikuwa katika IDARA hiyo,

Mapepo yenye visu vikali yaliendelea kukata Kila eneo lililochorwa tattoo na kutoboa ngozi Kwa visu vile, mtu yule alipiga kelele Kwa maumivu makali lakini mapepo hayakuacha kuwatesa wakati moto ukiendelea kuwaunguza na hawateketei.

Yaliwakejeli na kuwaambia haya ni malipo Kwa kutomsikiliza Muumba wenu, wakati ngozi ikiendelea kukatwa, kutobolewa, moto uliendelea kuwaunguza, na zoezi hili liliendelea mfululizo, hakuna kupumzika kule.

Pia walitoka funza wakali na kuchimba vidonda vile vilivyoachwa wazi na mapepo yaliwatoboa Kila Mahali penye tattoo, michoro au Hina. Maumivu Yale hayaelezeki.

Rejea (Luke: 16: 19-31.). Tajiri alimwomba maskini achovye angalau tonne la maji Ili angalau auburudishe Ulimi wake ulochomwa Kwa moto mkali.

2. IDARA YA WATOA MIMBA, WAFANYA UASHERATI KABLA YA NDOA NA WAPIGA PUNYETO.

Nami nikaona Pepo akimgeuza KICHWA chini miguu juu mwanamke aliyetoa mimba alipokuwa msichana, Pepo lilichukua kisu kikubwa na kuanza kuchoma na kukatakata sehemu za Siri za mwanamke yule bila huruma, Pepo lilimpiga mkuki uliopita kupitia sehemu za Siri Kisha mkuki Kutokea mgomoni na kumbanika kama mshikaki, alitamani kufa lakini kule kifo hakipo, ni mateso mfululizo.

Mwanamke alipiga kelele akiomba msaada Kwa Malaika wa Mungu amsaidie Kutoka mahala pale akiapa kuwa kamwe hatorudia dhambi Ile lakini haikuwezekana, maana imeandikwa, Mshahara wa dhambi ni MAUTI, na Baada ya KIFO ni HUKUMU.

Kisha nikaona kundi la mapepo wakimburuta kijana mmoja wa kiume aliyekuwa akijichua, alipigwa pingu na kutundikwa juu na kuisha mapepo yalianza kukatakata uume wamtu yule Kwa msumeno bila kujali maumivu aliyopitia, na Kila baada ya kumaliza kukata, kiungo kilirudi mahala pake na yaliendelea na zoezi Hilo bila kuacha Hadi tunaondoka eneo la tukio.

Nami nikamwona Binti mmoja aliyekuwa alifanya UASHERATI KABLA ya NDOA,

Pepo lilichukua blender kubwa ya kama ambayo hutumika kusagia juc, blender Ile ilikuwa kubwa yenye uwezo wa mtu mzima kuingia ndani,

Mapepo yalimtumbukiza Binti yule ndani ya blender na kuanza kumsaga na mapanga Yale makali yalikata nyama na mifupa yote ikawa Damu ya kimiminika,

Baada ya hapo, mwili wa Binti yule ulirudi mahala pake kama kawaida na mapepo yalianza tena zoezi like tena na tena na tena. Tangu Binti yule tangu kuingia ndani ya kuzimu zoezi lile lilikuwa endelevu Hadi sasa linaendelea, na usisahau moto mkali inaendelea kumuunguza na kusagwa ndani ya blender kukiendelea.

3. IDARA YA WATOTO WAANGALIA CARTOON.

Mtoto mmoja alilia Kwa uchungu akimsihi Pepo aliyekuwa akiyatoboa macho ya mtoto yule huku alimwambia, wazazi wako walikupa kuangalia cartoon zetu nawe ulizifurahia ,sasa ni zamu Yako kulipia,

Mtoto yule alipokuwa duniani, alipenda kuangalia cartoon za kichawi na za mapigano, mapepo yalitoka ndani ya TV na kumwingia na kumfanya awe kiburi asiyetii Wala kusikiliza maonyo ya wazazi, na alipokuwa akienda shuleni siku moja, gari lilipinduka na akafa na kujikuta Kuzimu ya moto.

Zoezi la mapepo kuyatoboa macho ya mtoto yule mwenye miaka 7 yanaendelea na kujirudia Hadi sasa kosa kuu likiwa ni kuangalia cartoon mbaya.

4. IDARA YA MAKAHABA NA WASAGAJI NA MASHOGA.

Nami nikaona Pepo mwenye uume mkubwa wa CHUMA kinene na urefu wa uume huo wa CHUMA ulikuwa Mita moja, urefu wa Mita moja ni sawa na hatua Moja ya mtu mzima akitembea.

Pepo lile lilimfunga mwanamke yule aliyekuwa alifanya ukahaba na usagaji wanawake wenzie alipokuwa duniani,

Pepo lile baada ya kumfunga minyororo lilimburuta na kuanza kumbaka na kuharibu sehemu za ndani ya MWILI Ule bila huruma,

Kila baada ya kufanya unyama Ule, mwili ulijirudi kama mwanzo na Pepo alianza tena zoezi lile lililokuwa endelevu,

Nami nikaona Mwanaume aliye kufa Kwa ugonjwa uliosababishwa na kansa uliotokana na vitendo vya USHOGA akiingia kuzimu, alidakwa kama mpira na kuanza kuingiliwa na kubakwa kinyume na maumbile na Pepo lile lenye uume mkubwa wa CHUMA mnene wenye urefu wa Mita 1. Huku moto ukiendelea na ubakaji na kupigwa mkuki Mahali Mahali na kubanikwa mshikaki vikiendelea.

ITAENDELEA...........
Mauongo matupu haya
 
Monk ni waabudu miungu na baba wa Miungu ni Ibilisi na shetani.

Hakuna urafiki kati ya Giza na Nuru!!

Monk na YESU hawapikiki chungu kimoja.

Jina la YESU kristo wa Nazareth pekee linatosha kukulinda na wachawi ukiliamini, haliitaji msaada wa chumvi ya mawe!!

Aamen
2Wafalme2:19-21

19:Watu wa mjini wakatoka wakamwambia Elisha,tazama twakusihi mahali pa mji huu ni pazuri kama bwana wangu aonavyo,lakini maji yake hayafai ,na nchi huzaa mapooza
20;Akasema nileteeni chombo kipya mtie chumvi ndani yake,wakamletea

21;Akatoka akaenda mpaka chemchem ya maji ,akatupa Ile chumvi mle ndani,akasema BWANA asema hivi nimeyaponya maji Haya,hakutoka huko tena kufa wala kuzaa mapooza.

Huwa unapata muda wa kusoma maandiko Kweli?Chumvi Ina historia tangu enzi na enzi
 
Mungu anataka wazazi wawafundishe watoto wao Neno la Mungu Si kuwawekea cartoons.

Cartoons Zina uvuvio wa kipepo, Kwa Mfano unamwekea mwanao mdogo cartoon inaitwa Little demon pale Disney channel unategemea nini kuhusu future ya mwanao?

Kuhusu Roho za WAFU kuwa na maumbo kama ya WANADAMU ndivyo ilivyo,

Yesu Kristo wa Nazareth akikutokea Leo hii, utamwona akiwa na matundu ya Misumari katika mikono yake hata Leo.

Hivyo mtu afapo na mwili kuzikwa, mwonekano wake utakuwa vile vile kama alivyozikwa,

Wanawake mliotoboa maskio pia Kuna habari kuwahusu,

Maana kama am avyo Mungu alikuumba na kutoboa matundu ya pia Kwa KAZI ya kuvuta hewa safi, asingeshindwa kumuumba mtoto akiwa ametobolewa masikio kama angependa wavae hereni.

Masikio ya watoto wa kike tangu Kuzaliwa yamezibwa maana yake hereni haziruhusiwi.


Msupotubu na kuacha kuvaa hereni, mtakutana na mapepo wale wasio na chembe ya huruma.
Maana kama am avyo Mungu alikuumba na kutoboa matundu ya pia Kwa KAZI ya kuvuta hewa safi, asingeshindwa kumuumba mtoto akiwa ametobolewa masikio kama angependa wavae hereni

Mmhhh[emoji848][emoji848][emoji848] kwahiyo wanaume wanapoenda tohara ni kosa..!! au watu wanaponyoa nywele ni kosa ?..kwamba nywele zote zimewekwa kwa makusudi....ukifa umekwangua upara huko chini,kule kuzimu utatokea na upara wako na adhabu za kutosha ?[emoji55][emoji848]

Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
 
2Wafalme2:19-21

19:Watu wa mjini wakatoka wakamwambia Elisha,tazama twakusihi mahali pa mji huu ni pazuri kama bwana wangu aonavyo,lakini maji yake hayafai ,na nchi huzaa mapooza
20;Akasema nileteeni chombo kipya mtie chumvi ndani yake,wakamletea

21;Akatoka akaenda mpaka chemchem ya maji ,akatupa Ile chumvi mle ndani,akasema BWANA asema hivi nimeyaponya maji Haya,hakutoka huko tena kufa wala kuzaa mapooza.

Huwa unapata muda wa kusoma maandiko Kweli?Chumvi Ina historia tangu enzi na enzi
Nimesoma na ninakiri hili ni Neno la Mungu Kutoka kwenye BIBLIA,

Nabii wa Mungu Elisha Alipewa maelekezo kutumia chumvi Ili kuiponya kisima kisizae mapooza,

Yesu pia alitumia maji na udongo kuyachanganya kumponya kipofu,

Wapi wewe Joannah Yesu akikutokea na kukwambia unyunyize maji ya chumvi ya mawe kujikinga na wachawi?

Tumia Jina la YESU pekee kukulinda na kufungua Kila vifungo, kutumia chumvi bila kuelekezwa na Yesu , chumvi hiyo hiyo inageuka uchawi,

Chunguza vizuri ndoto unazoota, lazima umeanza kufundishwa uchawi na usipoacha utakuwa mwanga kamili.

Shetani hugeuza maandiko in his favor.

Amen
 
Nimegundua wengi tuna mambo yasiyo furahisha machoni,masikion, na hata mioyon sasa tuna hofu kama sisi hatufurahishwi na mienendo yetu vipi kwa Muumba wetu..?

Ila usitujaze uoga maana mwenye dhambi ya kula papuch, mwizi, mlevi na wenye matukio kama Hitler,koni,osama,kibwetele hata wachawi na waganga wote wataadhibiwa pamoja(mimi nimejitoa nna Mungu).
Kwa hivyo ukiamua dhambi bora ujikubali sio ukutane na Iddy Amin Dada kwa utam wa serengeti lager tu....
Mambo mengine bhana yan upelekwe kuzimu kwa ajili ya punyeto c bora ule kabisa poch manyoya mpaka uwah kwa HIV
 
Maana kama am avyo Mungu alikuumba na kutoboa matundu ya pia Kwa KAZI ya kuvuta hewa safi, asingeshindwa kumuumba mtoto akiwa ametobolewa masikio kama angependa wavae hereni

Mmhhh[emoji848][emoji848][emoji848] kwahiyo wanaume wanapoenda tohara ni kosa..!! au watu wanaponyoa nywele ni kosa ?..kwamba nywele zote zimewekwa kwa makusudi....ukifa umekwangua upara huko chini,kule kuzimu utatokea na upara wako na adhabu za kutosha ?[emoji55][emoji848]

Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
Tohara Mungu aliagiza waisraeli wafanye Kwa watoto wao kuonyesha tofauti Yao na mataifa mengine.

Manabii pia Mungu ameruhusu kutonyoa ikiwa ni Mnadhiri wa Mungu.

Bt Mwanaume KICHWA chake ni muhimu kinyolewe, mwanamke kuacha nywele zake kama kifuniko Cha KICHWA chake ni sawa.

Lakini kufuata mitindo ya kidunia Kwa wana wa Mungu ni DHAMBI.

Mfano Mwana wa Mungu kuvaa nguo zilizochanwa mapajani ni dhambi inayotosha kukutupa kuzimu ukifa.

Kuvaa nguo zilizochanika sehemu sehemu, au kusuka Rasta ni mitindo iliyobuniwa kuzimu.

Ni ya kuzimu kubuni mitindo hiyo ni kumfanya anayevaa nguo za kuchanika au kusuka Rasta awe kichaa. Na mapepo hayo yanaishi jalalani. Ndomana vichaa hukaa jalalani na kuwa na mwonekano wa Rasta.

Waangalie vijana wanyoa viduku, wafuga Rasta akili zao, zinaelekea kuwa vichaa kamili.

Kufuga kucha ndefu Nia ya Mapepo yaliyobuni mtindo huo ni ufanane na Misukule Ili baadae uchukuliwe msukule baadae uende Kuzimu.

Ukifuga kucha ndefu ukidhani ni urembo, ukinyoa viduku, au kusuka Rasta na unasali, ukifa, utakataliwa GETI la Mbinguni na kurudishwa kutupwa KUZIMU ya moto.

Lazima iwepo tofauti ya Wana wa Mungu na Wana wa Giza.

Haifai kufanana nao, aliyeokoka analegezaje suruali? Kulegeza suruali nia ni uwe shoga au mfiraji.

Na mashoga na wafirahi Mbinguni hawaingii.

Huo ni UKWELI. Kubali uokolewe au kataa uhukumiwe


Aamen
 
Nimequote vifungu vya BIBLIA mbona hujibu chochote kuhusu HOJA na maandiko nilotoa

1. Kumhusu Ibrahim kutokewa na Malaika ambao ni ROHO waliovaa miili na walikula chakula, ( Mwanzo 18:1.....)

2. Pia Lutu aliwapokea Malaika ambao ni Roho wenye miili ya WANADAMU na walikula chakula Cha KIMWILI? ( Mwanzo 19:1-38.)

3. Yesu pia imeandikwa alishuka kuzimu na kumnyang'anya Shetani funguo za MAUTI na kuzimu?

4. Yesu pia msalabani anamwambia yule mfungwa pembeni yake kuwa Leo hii utakuwa nami Paradiso, ikiwa hawana miili iweje wakutane na watambuane?

Jibu HOJA hizo nne ikiwa unajua chochote.

NB: Kusoma BIBLIA na kuielewa unahitaji msaada wa Roho mtakatifu na mafunuo.

Aamen
Mkuu nakuhakikishia hujui maandiko sawasawa kama ujionavyo unayajua,hivyo punguza sana kujiaminisha kuwa hupaswi kufundishwa maandiko haya,ni kosa kubwa sana kujikinai,badala ya kuokoa wengi kama unavyodhani,utapoteza wengi zaidi na yawezekana umeshawapoteza hata wengine kwa uzi wako huu kibaya zaidi na wewe unaweza kupotea pia na hii inaniumiza sana.

Wewe umetaka hapa nikujibu,lakini maswali yangu yote niliyouliza hujajibu bali kuweka maneno ya uongo unayotunga mwenyewe ukiunga na vifungu vya biblia visivyohusiana,sasa nakuambia,wewe kufanya hivyo si sawa.

Katika maandiko haya,heri kama kitu huna ufahamu nacho uwe kimya tu si kupotosha.

Naomba nianze kujibu maswali yako hapa chini post inayofuata,ndani ya majibu nitaweka maswali ya wewe kukaa kuomba na kutafakari (ikiwa hii ni desturi yako,maana sina hakika kama unatafakari kabla ya kuandika chochote na ndio maana unapata nguvu ya kuita wanadamu wenzako wana dini ya kuzimu au farisayo).
 
Umesema "ibrahimu alitokewa na malaika waliovaa miili ya wanadamu na wakashiriki chakula", hii nakubali ni kweli.
Lakini tabua malaika kwao neno roho halijasimama kama unavyolitumia wewe,na ndio maana nikakuuliza roho ni nini?,
Sasa kumbe ili roho ile chakula lazima iwe na mwili wa kula,ila hizo roho unazosema wewe za kuzimu zina mwili ni zipi hasa,maana miili hii tunakuwa tumeizika,na ukisema mtu akifa anaenda sijui kuzimu kuanza kutumikia hukumu mara moja au paradiso huo ni uongo na mafundisho yaliyojaa upotovu,maana YULE aliyefufuka,alifufuka na siku ileile ya jumapili asubuhi alimwambia mariam magdalene kuwa "usinishike maana sijaenda kwa BABA",kumbuka anasema hivyo baada ya kufa na kufufuka,sasa kama Yeye hata huko kwa BABA hajaenda,wewe unawezaje kutuaminisha hapa wale wema watakuwa paradiso hapohapo wanapokufa na waovu watakuwa kuzimu?

Hoja namba 3,haipaswi kuulizwa na mtu anayejiaminisha anajua maandiko kama wewe,bali mwanafunzi,hivyo nashangaa wewe kuuliza hilo swalii kwangu.

Naomba nihamie hoja namba 4 kama ulivyouliza,na kabla sijaanza kukujibu nikuulize swali,kipindi musa na eliya wanakuja na kuongea na masihi kuhusu habari za kufariki kwake,petro na yohana na yakono waliwatambua musa na eliya na hata petro aliwataja kwa majina yao bila kuwambiwa wala kutambulishwa na mtu,niambie aliwezaje kuwatambua wakati watu hao waliishi kizazi cha zamani sana zaidi ya miaka 2000 ilikuwa imepita na hajawahi kuwaona kabla?,

Sasa kabla sijakujibu zaidi,nacukua nafasi hii kuuthibitishia umma unaosoma uzi huu kuwa japo wewe mwenyewe unafanya kama vile unayajua maandiko,HUJUI LOLOTE SAWASAWA NA UANDIKACHO HAPA,HII NATHIBITISHA BAADA YA WEWE MWENYEWE KUULIZA SWALI NAMBA 4 HAPO JUU,AMBALO MTU MWENYE NURU SAWASAWA HAWEZI KUTUMIA MFANO HUO KUENDELEZA MAFUNDISHO YA UONGO JUU YA WAFU,hilo swali huwa linaulizwa na wote wasiojua maandiko huku wakilitumia fungu husika kupotosha watu wengine,naomba nikujibu vema ili nikutoe kwenye kutoamini na kuamini kinyume na kilichotakiwa kama ifuatavyo;

Kwanza tusome jinsi lilivyoandikwa kwenye vitabu vyetu: " Yesu akamwambia, Amin, nakuambia, leo hivi utakuwa pamoja nami peponi",katika fungu hili utaona wazi kuwa huyo mwizi na Yesu siku hiyo watakuwa peponi,hiyo ndio mana yake hasa kwa mujibu wa uandishi ulivyo.

Ila kwa msomaji wa biblia kwa maombi mengi ungekuwa umefunguliwa katika kifungo hiki kwa kujua kuwa Yesu na huyo mwizi wakifa hawatajua neno lolote bali kusubiri ufufuo,sasa kama wapo peponi na Mungu,maana naamini Mungu peponi yupo,kwanini waje kufufua mwili huu ulioharibika eti kwa kuunganisha roho na mwili,yaani mwili upo,then ili ufufuke ndio uungwe kweli na roho?,kinyume chake jibu swali roho ni nini?, piq kipindi anamfufua lazaro, aliita njoo huku nje,hakusema roho itoke peponi ije iungane na mwili ndio mwili tena utoke nje ya kaburi.

Katika fungu husika,msomaji anayejua maandiko angeweza kufunuliwa tu kuwa pale shida ni mahali alama ya koma ilipowekwa,na kitabu husika kina sehemu nyingi tu zilizowekwa muundo huo maana ni wanadamu huunganisha kitabu kile,sasa fungu lile yapaswa lisomeke hivi " Yesu akamwambia, Amin, nakuambia leo hivi,utakuwa pamoja nami peponi",yaani huyo mwizi alipaswa siku hiyo,saa hiyo (leo hivi) aamini kabisa kabla hajafa kuwa atakuwa na Yesu peponi,hii ndio maana ya fungu husika wala si kama utakavyo kuliweka.

Kwahiyo shida pale ni ile alama ya koma tu wala si maandishi katika fungu husika,kama ingekuwa hivyo basi Yesu angekuwa mwongo maana alisema akifa atakuwa katika moyo wa nchi yaani ardhi kwa siku 3,je peponi ni ardhini kwenye moyo wa nchi?,jibu ni dhahiri atakuwa kaburini,hadi hapa tu,elezea kwanini asingesema atakuwa peponi kwa siku 3 halafu atafufuka ila anasema atakuwa kwenye moyo wa nchi?
 
Mkuu naomba kuuliza, pale yesu aliposema "waacheni watoto wadogo waje kwangu ......,"' unaeza kuwa na uelewa juu ya kauli hii, yani kwanini hakusema '"waleteni watoto wadogo kwangu ...."? Kwako Mtumishi Rabbon
 
INTRODUCTION.

Sikutishi, Ninakupa UKWELI Ili uamue mahali pa kwenda utakapokufa.

MBINGUNI ,ni makazi ya Walio hai,

KUZIMU: Ni nyumbani Kwa wafu, ni gereza la kuwatunza wafu wakipitia mateso kabla ya HUKUMU ya Mungu,

Mateso yanayoendelea mahali hapa yanafanywa na Mapepo na Mashetani Kwa Roho za watu wasiomtii Mungu, wafao katika Dhambi.

Jehanum haijawapo Bado, Ile itaumbwa wakati wa Mwisho wa Ulimwengu utapowadia, na pale Mungu ndipo ataadhibu watu waliotunzwa katika Gereza la kuzimu, ila katika kuzimu, watu, mapepo na mashetani Kwa ujumla wao watatupwa Kwa ajili ya HUKUMU ya milele.

AINA ZA WAFU WALIO MAGEREZANI.

1. Imeandikwa, Atendaye dhambi ni mtumwa wa dhambi, hiyo Kwa tafsiri hiyo WANADAMU Walio hai ni wafu wanaotembea, bila TOBA na kutakaswa, utaelekea kuzimu ninapokwenda kupaongelea.

2. Misukule.

Hawa wamefungwa na hutumika na wachawi na mapepo, shetani Ili kufanya KAZI za Shetani kujenga ufalme wake.

Zipo pia aina nyingi za misukule Walio katika magereza ya kuzimu lakini sitawaongelea Leo.

AINA ZA KUZIMU / MATABAKA YA KUZIMU.

1. KUZIMU KAVU.

Hili ni eneo ambalo hutumiwa na matajiri wa Ulimwengu huu , wanasiasa, wasanii, viongozi mbalimbali kwenda kupata utajiri au nyota Kwa kufunga mikataba ya kubadilishana na NAFSI zao, eneo hili ni kama gulio la kuuza na kubadilishana NAFSI za WANADAMU Kwa sadaka ya Damu,

Eneo hili wachawi hutamba na kujiona ndo wamefika lakini wasilolijua ni kuwa shetani Huwa amewaficha kutojua eneo au tabaka la tatu chini kabisa nini kinaendelea, huko ndipo nitapaongelea Leo. Wachawi huua na kumwaga Damu za watu wakishirikiana na mapepo Ili kumfurahisha boss wao shetani,ila ukifika muda wao, shetani huwageuka na kuwaua na huenda tabaka la tatu la kuzimu.

2. Tabaka la pili/ Kuzimu kama himaya ya Mashetani na Mapepo kama himaya Yao./ Ulimwengu wa Giza.

Mahala hapa, binafamu hakanyagi, ni eneo la kimamlaka ambapo mipango Yao husukwa wakiongozwa na Shetani mwenyewe.

Eneo Hilo ni Giza tupu, na ndipo hukaa mapepo yenye kuleta dhoruba na vimbunga na Kila aina ya majanga tunayoyaita ya asili.

Mahali hapa ndipo palipo na kizuizi Cha maombi ya WATAKATIFU kufika Mbinguni, maana ndipo walipo mapepo na mashetani yaongozao falme za Dunia na watu wake, hivyo Kwakuwa Mbinguni ni juu zaidi, mwanadamu aliye chini kutoboa sehemu hiyo Si vyepesi, ndomana unaweza omba Leo na ikachukua muda mrefu kupata majibu, sababu ufalme huu huzuia.

3. KUZIMU YA MOTO.

Mahali hapa ndipo nitapokueleza kinachoendelea.,

WANADAMU Walio katika kuzimu na magereza haya ya kawaida mfano Misukule nk nk , huweza kufunguliwa kirahisi na kurudishwa, lakini mtu alifika KUZIMU ya MOTO harudi tena kamwe duniani, ni anasubiri HUKUMU.

Wapo watu ambao huuwawa na wachawi au wafao kabla ya siku zao kutimia, Roho hizi hutangatanga duniani Hadi pale muda wao ukifika ndipo huingizwa na Malaika wa Giza eneo lile la mateso yaana kuzimu ya moto.

Ni hapa ambapo wachawi, wazinzi,wezi ,wapenda anasa ambao walikuwa wakimtumikia shetani wakidhani ni Rafiki Yao, hugeuka na kuwatesa vikali bila kujali KAZI walomfanyia.

TOPIC: LIVE KUTOKA KUZIMU.

Shimo hili halijai na halijawahi kujaa, tangu kuumbwa Ulimwengu wamekuwa wakitupwa Roho za WANADAMU na halijai, tangu alipotupwa Cain Hadi Leo,

Na umbali wa mtu mmoja na mwingine, ni sawa na Mita Mia. Hivyo Kila Mmoja hutweswa kivyake, vinavyosikika ni vilio na maumivu yasiyokoma.

Eneo hili moto huwaunguza watu waliomo bila mapumziko na mapepo yaliyomo, huendelea kuwaadhibu raia au wafungwa wa humo sawasawa na dhambi zilizowapeleka humo.

1. IDARA YA WACHORA TATOOS!

Nami nikaona watu waliojichora miili Yao wake Kwa waume Kila mmoja Mahali pake.

Kuna wengine waliojichora tattoo baadhi ya sehemu tu za miili Yao, lakini wengine waliojichora mwili mzima.

Wanawake wengine waliojichora Hina mwilini, pia walikuwa katika IDARA hiyo,

Mapepo yenye visu vikali yaliendelea kukata Kila eneo lililochorwa tattoo na kutoboa ngozi Kwa visu vile, mtu yule alipiga kelele Kwa maumivu makali lakini mapepo hayakuacha kuwatesa wakati moto ukiendelea kuwaunguza na hawateketei.

Yaliwakejeli na kuwaambia haya ni malipo Kwa kutomsikiliza Muumba wenu, wakati ngozi ikiendelea kukatwa, kutobolewa, moto uliendelea kuwaunguza, na zoezi hili liliendelea mfululizo, hakuna kupumzika kule.

Pia walitoka funza wakali na kuchimba vidonda vile vilivyoachwa wazi na mapepo yaliwatoboa Kila Mahali penye tattoo, michoro au Hina. Maumivu Yale hayaelezeki.

Rejea (Luke: 16: 19-31.). Tajiri alimwomba maskini achovye angalau tonne la maji Ili angalau auburudishe Ulimi wake ulochomwa Kwa moto mkali.

2. IDARA YA WATOA MIMBA, WAFANYA UASHERATI KABLA YA NDOA NA WAPIGA PUNYETO.

Nami nikaona Pepo akimgeuza KICHWA chini miguu juu mwanamke aliyetoa mimba alipokuwa msichana, Pepo lilichukua kisu kikubwa na kuanza kuchoma na kukatakata sehemu za Siri za mwanamke yule bila huruma, Pepo lilimpiga mkuki uliopita kupitia sehemu za Siri Kisha mkuki Kutokea mgomoni na kumbanika kama mshikaki, alitamani kufa lakini kule kifo hakipo, ni mateso mfululizo.

Mwanamke alipiga kelele akiomba msaada Kwa Malaika wa Mungu amsaidie Kutoka mahala pale akiapa kuwa kamwe hatorudia dhambi Ile lakini haikuwezekana, maana imeandikwa, Mshahara wa dhambi ni MAUTI, na Baada ya KIFO ni HUKUMU.

Kisha nikaona kundi la mapepo wakimburuta kijana mmoja wa kiume aliyekuwa akijichua, alipigwa pingu na kutundikwa juu na kuisha mapepo yalianza kukatakata uume wamtu yule Kwa msumeno bila kujali maumivu aliyopitia, na Kila baada ya kumaliza kukata, kiungo kilirudi mahala pake na yaliendelea na zoezi Hilo bila kuacha Hadi tunaondoka eneo la tukio.

Nami nikamwona Binti mmoja aliyekuwa alifanya UASHERATI KABLA ya NDOA,

Pepo lilichukua blender kubwa ya kama ambayo hutumika kusagia juc, blender Ile ilikuwa kubwa yenye uwezo wa mtu mzima kuingia ndani,

Mapepo yalimtumbukiza Binti yule ndani ya blender na kuanza kumsaga na mapanga Yale makali yalikata nyama na mifupa yote ikawa Damu ya kimiminika,

Baada ya hapo, mwili wa Binti yule ulirudi mahala pake kama kawaida na mapepo yalianza tena zoezi like tena na tena na tena. Tangu Binti yule tangu kuingia ndani ya kuzimu zoezi lile lilikuwa endelevu Hadi sasa linaendelea, na usisahau moto mkali inaendelea kumuunguza na kusagwa ndani ya blender kukiendelea.

3. IDARA YA WATOTO WAANGALIA CARTOON.

Mtoto mmoja alilia Kwa uchungu akimsihi Pepo aliyekuwa akiyatoboa macho ya mtoto yule huku alimwambia, wazazi wako walikupa kuangalia cartoon zetu nawe ulizifurahia ,sasa ni zamu Yako kulipia,

Mtoto yule alipokuwa duniani, alipenda kuangalia cartoon za kichawi na za mapigano, mapepo yalitoka ndani ya TV na kumwingia na kumfanya awe kiburi asiyetii Wala kusikiliza maonyo ya wazazi, na alipokuwa akienda shuleni siku moja, gari lilipinduka na akafa na kujikuta Kuzimu ya moto.

Zoezi la mapepo kuyatoboa macho ya mtoto yule mwenye miaka 7 yanaendelea na kujirudia Hadi sasa kosa kuu likiwa ni kuangalia cartoon mbaya.

4. IDARA YA MAKAHABA NA WASAGAJI NA MASHOGA.

Nami nikaona Pepo mwenye uume mkubwa wa CHUMA kinene na urefu wa uume huo wa CHUMA ulikuwa Mita moja, urefu wa Mita moja ni sawa na hatua Moja ya mtu mzima akitembea.

Pepo lile lilimfunga mwanamke yule aliyekuwa alifanya ukahaba na usagaji wanawake wenzie alipokuwa duniani,

Pepo lile baada ya kumfunga minyororo lilimburuta na kuanza kumbaka na kuharibu sehemu za ndani ya MWILI Ule bila huruma,

Kila baada ya kufanya unyama Ule, mwili ulijirudi kama mwanzo na Pepo alianza tena zoezi lile lililokuwa endelevu,

Nami nikaona Mwanaume aliye kufa Kwa ugonjwa uliosababishwa na kansa uliotokana na vitendo vya USHOGA akiingia kuzimu, alidakwa kama mpira na kuanza kuingiliwa na kubakwa kinyume na maumbile na Pepo lile lenye uume mkubwa wa CHUMA mnene wenye urefu wa Mita 1. Huku moto ukiendelea na ubakaji na kupigwa mkuki Mahali Mahali na kubanikwa mshikaki vikiendelea.

ITAENDELEA...........
Wakuu mimi ndio kiranja mkuu huku kuzimu yote yaliyosemwa sio kweli. Narudia tena ni uwongo mtupu.

Kunyweni bia na pombe, sigara pori sijui shisha vuteni sana imbeni na fanyeni ibada kujifurahisha mwili. Huku hakuna mambo ya duniani kwa hiyo fanyeni mpaka mzeekee.

Huku ni kuzuri ila sio kama duniani. Kuna shida na karaha kuliko duniani. Sio sehemu ya kufikiria kuja ukiwa na nguvu. Ni bora ukae gerezani kuliko kuzimu huku haina vitu vya duniani.
 
Huamini kuwa KUZIMU IPO, nyumbani kwenu hakuna makaburi au watu waliowahi kufa?

KUZIMU ni nyumbani Kwa WAFU,

KUZIMU na Mizimu ndo issue Ile Ile,
KUZIMU, Mizimu, Roho za Mababu zilizokufa na kwenda kwao KUZIMU au Kwa WAFU.

Huwa mnagawana nguo za marehemu Ili iweje? Au Huwa mnawasha mishumaa makaburini Ili iweje, au Huwa mnafanya kumbukumbu na IBADA siku ya arobaini ajili ya nini, au ukipitiwa changamoto wewe unayeamini mababu kwanini Huwa unaenda kulilia makaburini?

KUZIMU ni HALISI kama MBINGU ilivyo halisi.

Amen
mkuu hapa kuna masomo mengine, naomba uitazame koment yako hii kisha uyaandae, na kama yapo naomba un-tag huko tafadhl
 
Wakuu mimi ndio kiranja mkuu huku kuzimu yote yaliyosemwa sio kweli. Narudia tena ni uwongo mtupu.

Kunyweni bia sana imbeni na fanyeni ibada kujifurahisha mwili. Huku hakuna mambo ya duniani kwa hiyo fanyeni mpaka mzeekee.

Huku ni kuzuri ila sio kama duniani. Kuna shida na karaha kuliko duniani. Sio sehemu ya kufikiria kuja ukiwa na nguvu. Ni bora ukae gerezani kuliko kuzimu huku haina vitu vya duniani.
 
Huyo Babu kama alikufa Kweli, yupo kuzimu ya moto anateswa na mapepo,

Akishafika kule hawezi Rudi, kinachofanyika ni mapepo yanayotwa Mizimu huja Kwa sura na sauti ya Babu yanu, na hayo ndiyo huja kudai nwendelezo wa sadaka na mikataba iliyofungwa na huyo mfu iendelee katika family Ili wote baadae mkifa mwende kuungana na Babu yenu kuzimu.

Imeandikwa, mshahara wa dhambi ni MAUTI, wali karama ya Mungu ni Uzima wa Milele .

Mchague Yesu ,uupate Uzima wa Milele au chagua dhambi uende Kuzimu kuangukia mateso ya milele.

Amen
hapa nimekuelewa, ubarikiwe mkuu
 
Kaburi sio kuzimu na kuzimu sio kaburi.
Kaburi ni shimo alilofukiwa kiumbe kilichokufa awe Sokwe au binadamu.

Kuzimu ni nini?
Watu hufanya matambiko pia kwenye Miti mikubwa, miamba, mapango, pembezoni ya mito, maziwa au bahari,lakini hiki ndio kiashilia Cha kuzimu?

Kama huijui? utawezaje kuielezea?
Huu uongo sijui nani anaununua
umeeleza maana ya kaburi tu,tuelimishe maana ya kuzimu mkuu
 
Back
Top Bottom