Live kutoka kuzimu!

Badili badili maneno tu,ila jifunze kuandika.

mnazaleti ndio nani sasa?, kwa ajiri ndio nini?
Kuhamuru ndio kufanya nini?

Mpumbavu mmoja unayejua unajua mambo ya Mungu umeshindwa kujua kuandika!

Binafsi ninyi hakuna ukweli mlionao,hakuna mtu atakayeokolewa kwa kusimuliwa habari za kuzimu,akili zenu zimenajisika kiasi kwamba hamtambui kuwa mnatangaza kuzimu sana badala ya Mbingu halafu mnaita hilo ni neno la Mungu.
 
Ila mtu aliyejikinai hatari sana,kama si kwa ajili yangu hizo habari za mbinguni,basi zileteni kwa ajili ya wengine.

Uzi umetangaza kuzimu ya uongo mara roho ina macho nimeuliza hakuna majibu,naambiwa mimi wa kuzimu.

Napata ujasiri nakuita wewe ni mpumbavu.
 
Mungu akubariki!
 
Nna swali

Umesema mapepo yanawatesa watu wenye dhambi kwa kuwachoma visu etc.

Maswali

1. Je mapepo hayateseki na huo moto? Maana nnavojua na yenyewe ni yenye dhambi tunaungua pamoja

2. Kwani watu wameshahukumiwa tayari? Maana maandiko yanasema mtu akifa anasubiri hukumu yake siku ya mwisho. Sasa inakuaje nyie mmeenda kuzimu mnawaona watu (tena wengine mnaowafahamu walikufa) wakiwa wanateswa wakati hukumu bado?
 
Soma kichwa cha habari🤓🤓,
Ujumbe utafika mwambie aliyekutuma na Bwana wako ,tumekugundua
 
Soma kichwa cha habari🤓🤓,
Ujumbe utafika mwambie aliyekutuma na Bwana wako ,tumekugundua
Ushetani una nguvu sana,huku ukiwa umefichwa kwa ustadi kabisa.

Endeleeni kupotosha watu.

Swali langu liko palepale,ni neno gani la Mungu nililopinga kwenye uzi huu?

Na uzi huu una neno lipi la Mungu?
 
Siyo mnazaleti, namaanisha Yesu wa nazaleti ,aliyetufia msalabani, li coat na hilo acha ku coat nusunusu,
Unaleta hekima za kipepo hapa,kuna jeshi la Yesu,tutakuzuia sawa,na husumbui🤓,
Na lazima uhukumiwe na injiri inasonga mbele🤓
 
Siyo mnazaleti, namaanisha Yesu wa nazaleti ,aliyetufia msalabani, li coat na hilo acha ku coat nusunusu,
Unaleta hekima za kipepo hapa,kuna jeshi la Yesu,tutakuzuia sawa,na husumbui🤓,
Na lazima uhukumiwe na injiri inasonga mbele🤓
Bado unathibitisha kuwa HAUNA AKILI,NI MJINGA MMOJA HIVI.

Roho gani ameshindwa kukuonyesha makosa kwenye uandishi wako,kwahiyo nazaleti ndiyo wapi sasa?,,mara injiri ndiyo nini hiki?

Yaani mtu uliye wa roho hujui kuandika!

Mtadhihirika kwa kazi zenu.
 
Ushetani una nguvu sana,huku ukiwa umefichwa kwa ustadi kabisa.

Endeleeni kupotosha watu.

Swali langu liko palepale,ni neno gani la Mungu nililopinga kwenye uzi huu?

Na uzi huu una neno lipi la Mungu?

Kumbe ,unausifia walio kutuma,
Uzi unaeleza live kutoka kuzimu,
Kama tukieleza live kutoka Mbinguni iyo ni kwaajiri ya wanna wa MUNGU tu, na si kwa ajiri yako,wewe wa kuzimu uyajue ya Mbinguni ya kufaidie nini?
Na nasubutu kusema usipotubu wewe ni wa kuzimu,
Na nimekuita shetani kwa sababu ndiye anayekutumia,kukuwekea roho ya uasi na upinga kristo
 
Acha kutoka nje ya mada,
Waambie walio kutuma mmeshashindwa na urudi kuzimu ,
Mimi sina akili ni kweli .
Kwasababu Yesu wa nazaleti ananitambua nina akili na amesema,
"Wajapoonekana ni wajinga hawatapotea " nipo hapa kumtetea na ni askari wake hapa duniani,sina hutani kabisa kwa viumbe vya kipepo kama nyie
 
Ujuha
 
Kumbe live kutoka mbinguni ni kwa ajili ya watu wa mbinguni,vipi hii live kutoka kuzimu iweze kuleta wokovu na ni kwa ajili ya nani?

Nimesema huo upotovu wenu una nguvu,maana mnaunga unga maneno bora liende.

Ila bado naona haujibu maswali yangu,ni neno gani la Mungu limepinga katika uzi huu?
 
Roho huwafundisha wake kuandika kwa akili,kutokujua kuandika ni ishara ya ujinga,na wajinga mbinguni hawapo.
 
Swali langu liko palepale,ni neno gani la Mungu nililopinga kwenye uzi huu?

Na uzi huu una neno lipi la Mungu?
 
Shetani na mawakala wake si wa kuwachekea ni kuwafukuza,?
Hatuna muda wa majadiliano ni toka mbele yetu shetani?
Yani badala ya kupeleka injiri tuangalie na shetani,itatufaidia nini sisi?! Nuru na giza havichangamani na hivyo hatumjibu lolote ni kukufukuza tu😠,toka shetani rudi kuzimu
 
Yes Yesu wetu anaufunguo wa kuzimu kwahiyo tunajua vyote vyote,lolote tuombalo kwa jina lake tunapokea .
Neno linasema " nyinyi mmepewa kuzijua siri za Mungu"
 
Swali langu liko palepale,ni neno gani la Mungu nililopinga kwenye uzi huu?

Na uzi huu una neno lipi la Mungu?
Toka lini shetani na mawakala wake wakayajua maneno ya Mungu?
kwenye luka 2:48 ,neno linasema "nao hawakuelewa alilowaambia,"
Kwahiyo kwa sababu ni mwana wa kuzimu,hakuna kuelewa chochote ,chakula hiki ni cha wana Mungu aliyehai jehova
 
Nilinotice kitu hicho,

Yesu anarefer "Huyo",

BIBLIA anarefer " Kitabu chenu".

Hakuna kitu shetani na ufalme wa kuzimu Huwa wanachukia kama kufichua Siri zao!!

Ubarikiwe Kwa kunotice jambo Hilo.
 
Toka lini shetani na mawakala wake wakayajua maneno ya Mungu?
kwenye luka 2:48 ,neno linasema "nao hawakuelewa alilowaambia,"
Kwahiyo kwa sababu ni mwana wa kuzimu,hakuna kuelewa chochote ,chakula hiki ni cha wana Mungu aliyehai jehova
Ooh sawa mkuu,unapayuka sana,endelea!
hata hapa hujaweza kujibu swali langu,sawa yawezekana mimi ni shetani,vipi wewe katika nuru uliyonayo imekusaidia nini katika kueleza mazuri ya huu uzi?

mimi nisiyekua nimetaka kujua,wewe katika roho uliyenae amekuelekeza unijibu hvii!

Najua hauna maarifa wala uwezo wa Mungu,umejikinai tu na kujiona u mtakatifu,lakini nakuhakikishia mengi unayodhani unayajua hujui sawasawa,na ipo siku utakiri hii hadharani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…