Live kutoka kuzimu!

Live kutoka kuzimu!

INAENDELEA..........

IDARA YA WALIOSIKIA INJILI NA KIKAIDI KUTUBU.

Watu Hawa wake Kwa waume walikuwa katika mashimo ya kuzimu, Kila Mmoja ndani ya shimo lake wakizungukwa na walinzi.

Palikuwepo na picha ya Kila mtu juu yake iliyoonyesha Jina, mashtaka yake yaliyompeleka kule,

Tuliposogelea shimo la mtu mmoja picha yake alivyokuwa akionekana duniani tofauti kabisa na alivyoonekana kule, pichani alionekana mrembo sana,

Lakini katika uhalisia ilikuwa tofauti sana, kiu aliyokuwa nayo ilisababisha Ulimi Kutoka kinywani na ulionekana mrefu sana, Ulimi Ule ulikuwa mrefu sana unafika kifuani, mapepo yalishika ndimi zao na kuzivuta nje zaidi, maumivu yake nalisababisha kutotamani kuwaangalia tena,

Macho yao yalitoka nje Kwa maumivu na usingeweza linganisha mwonekano wa picha zao na uhalisia wakiwa kuzimu, na mbaya zaidi maumivu ni ya milele.

Panga zao na muundo wa visu vyao mapepo wale vilitiasha mno,

Watu Hawa Kila Mmoja alikuwa na shtaka lake,

Wengine walishiriki kuwapiga na kuwatesa watumishi wa Mungu wa Kweli walipokuwa wakihubiri.

Wengine walisikia Neno likihubiriwa na walidhihani kuwa ni waongo, wanatafuta tu sadaka.

Wengine makosa Yao ni walipinga kuwa hakuna moto wa Jehanum Wala kiyama, Kila walipopata ujumbe wa Mungu ukiwaonya watu kuacha UOVU maana Kuzimu ya moto IPO!!

Yesu alisema, niliwaonya kupitia neno langu kuwa: Nyama na Damu haziwezi kuurithi Uzima wa Milele lakini hawakusikia, walipoteza Mali na nguvu zao kuhangaikia miili iharibikayo na kuwadharau watumishi wangu waliodumu katika kuyatafuta mapenzi yangu (1Wakorithinto 15:50).


Yesu akaendelea kusema, katika neno langu, niliwaonya kuwa nimewaita nanyi mkakataa, nimenyoosha mkono wangu ,asiangalie mtu,

Bali mmebatilisha shauri langu, Wala hamkutaka maonyo yangu,

Mimi nami nitacheka siku ya msiba wenu, nitadhihaki HOFU yenu ifikapo kama tufani, na msiba wenu ifikapo kama kisulisuli, DHIKI na taabu itakapowafikia, ndipo watakaponiita, lakini sitaitika!! (Mithali 1:24-28).

Yesu alitumia neno lake kuwajibu wale waliomwita awasaidie wale Waliosikia neno lake na kudhibaki na wasitubu!!

IDARA YA WALIORUDI NYUMA.

Tulipofika Mahali pale, Pepo walikuwa wakivuta ndimi za watu wale nje, na kuanza kuzikatakata vipande vipande Kisha mkuki ulipigwa kooni na kutokezea mdomoni.

Kila walipojaribu kumsihi Yesu awasaidie, mapepo yaliwakemea na kusema, mlipewa nafasi nzuri lakini mkaiacha njia yake, na hamtatoka hapa.

Yesu alilia Kwa huzuni kubwa lakini hakusogea kuwasaidia.

Wengine katika kundi hili, walitokea familia za kikristo,

Wengine walikuwa watoto wa Wachungaji nk nk, wakidhani Mungu angewasamehe dhambi zao sababu ya utumishi wa wazazi wao.

Wengine walitembea katika Wokovu, lakini walipofukuzwa KAZI au kupitia majaribu mazito, walimwacha BWANA na kugeukia njia zao

(Ezekiel 18:24) Yesu asema, Bali mwenye HAKI atakapoghairi, na kuiacha HAKI yake, na kutenda UOVU, na kufanya machukizo yote kama Yale afanyayo mtu mwovu, je ataishi?

Katika matendo yake yote ya HAKI aliyotenda, halitakumbukwa hata mojawapo.

Maana pia imeandikwa, jihadharini msirudi nyuma,, maana ni Afadhali usiijue njia ya HAKI kuliko kuijua Kisha ukaiacha.

Amen.

IDARA YA MUZIKI.

Tulifika Mahali katika chumba au shimo mojawapo na Pepo lilikuwa limempiga mkuki mgongoni na Kutokea upande wa pili.

Mwanamuziki huyu alikuwa maarufu sana enzi za uhai wake, na nyimbo zake zilikuwa zikivuma sana duniani,

Na Kila nyimbo zake zilipopigwa duniani, ukali wa moto na maumivu yake yaliongezwa maradufu sababu nyimbo zake zikitumika katika club mbalimbali kuwapoteza watu wasimkumbuke Mungu.

Wanamuziki wengine waliokuwemo mle, walitumika madhabahuni, kosa la mmoja wao alisuka Rasta Ili apate mwonekano sawasawa na mwonekano wa wasanii wa kidunia.

Mwingine alifika kuzimu sababu ya kufanya UASHERATI Kwa Siri na wasichana wanaoimba pamoja naye. Matendo yote mema aliyotenda hayakukumbukwa sababu hakutubu dhambi hiyo aliyoificha.

Maana imeandikwa, afichaye dhambi.hatofanikiwa..Bali aziungamaye na kutubu atapata rehema.

KITENGO CHA WAANGALIA FILAMU ZA KIDUNIA.

Mwanamke mmoja alikuwa akipigwa na kitu mithili ya nondo na kutobolewa nacho machoni, maumivu yake yalikuwa makali sana.

Mashtaka ya mwanamke huyu yalikuwa ni kuangalia tamthilia za kidunia kwenye Runinga,

Mapepo Yale katika Kuzimu level ya pili, hubuni FILAMU hizo na kuwaletea wasanii na waigizaji wa kidunia walioingia mikataba nao, tamthilia zile ziliwekewa uvuvio wa kipepo Ili Kila aangaliaye anamiwe na Roho hizo,

Roho za kipepo zilifanya KAZI ya kuleta kiburi Kwa waume zao na kusababisha hasira na zinaa kupitia tamaa Kwa waigizaji ndani ya tamthilia hizi.

Tamthilia aina hii zenye uvuvio wa kipepo zimechangia kuharibu hisia za wasichana na kubadili mtizamo wa Mungu juu ya NDOA nk nk.

IDARA YA KUJIPAMBA.

Mashimo haya yalihusika na wanawake na Mwanaume waliojipamba, wanawake wavaa suruali,nguo za kubana,waliosuka, Rasta na mitindo mbalimbali,waliofuga kucha ndefu, waliopaka wanja, kuchonga nyusi ,watiotoga masikio, pia, wavaa hereni, vikuku miguuni, nywele bandia,Vito vya puani , chenu shingoni na Kila aina ya mavazi na mapambo ya kidunia.

Kundi hili lilipewa ADHABU sawa na wazinzi na MAKAHABA.

Pepo mmoja alikamata mkufu uliovaliwa shingoni mwa mwanamke mmoja na alimnyonga kupitia cheni hiyo, na BAADAYE alichukua mnyororo mkubwa alioendekea kumnyonga shingo Ile Hadi ikakatika, Cha kushangaza baada ya muda mchache, shingo ilirudia ilivyokuwa mwanzo, na Pepo alianza mateso UPYA na endelevu,

Mwanamke mmoja aliyepelekwa kuzimu Kwa kuvaa nywele bandia, nywele zile bandia zilibadilika na kuwa nyoka wengi kichwani ambao walimuuma mfululizo na alipiga kelele ya maumivu makali ya nyoka wale kichwani mwake.

Nywele bandia Zina u uvuvio wa kishetani na Kila avaaye ,mapepo katika form ya nyoka walitoka kuwashambulia Ili kuwafanya wawe wakorofi Kwa waume zao na kuleta uongo na usaliti ndani ya NDOA.

Nami nikaona mwanamke mmoja ndani ya shimo lile aliyeletwa Kwa kosa la kuvaa viatu virefu vya kikahaba,

Alionekana kabla ya kufa alipokuwa duniani akiingia Kanisani akiwa amevaa viatu virefu na kuingia Kanisani,

Sauti za vishindo vya viatu vyake viliondoa utulivu ibadani, vijana walipoangalia viatu vyake macho yalitoka kuangalia viatu na kupanda kuiangalia miguu yake iliyovutia, ghafula Mishale ya kipepo ilitoka ndani ya macho ya msichana na kuwaarukia vijana wote walioangalia miguu kupanda juu ya mwili wake,

Mishale Ile mieusi ya kipepo, iliwafanya vijana wale kutengeneza picha katika NAFSI zao na kuanza kuzini na Binti yule katika NAFSI zao,

Imeandikwa, amtazamaye mwanamke Kwa kumtamani, amekwisha kuzini naye moyoni.

Pepo mwingine alikuwa akimpiga sikioni mwanamke Kwa nyundo kubwa aliyekuwa ametoboa sikio lake na kuvaa hereni, alilia Kwa uchungu bila msaada.

(Isaya 3:16-24)

BWANA akasema tena, Kwa Sababu Binti za sayuni Wana kiburi, na kuenenda Kwa shingo zilizonyooshwa, na macho ya kutamani, wakienenda Kwa hatua za madaha, na kuliza njuga Kwa miguu Yao,

Basi Kwa hiyo BWANA atawapiga Binti za sayuni Kwa Pele za utosini, na BWANA ataifunua Aibu Yao.

Siku hiyo BWANA atawaondolea uzuri wa njuga zao, na kaya zao, na Pete za masikio, na vikuku, na taji zao,, na dusumali na mafurungu na vitambi, na vibweta vya marashi na matakasimu, na Pete za azama, na mavazi ya sikukuu na debwani na shali na vifuko, na vioo vidogo na kitani nzuri na vilemba na utaji.

Hata itakuwa, Badala ya manukato mazuri kitakuwa uvundo, na Badala ya mishipi, kamba, na Badala ya nywele zilizosukwa vizuri, upaa, na Badala ya kisibau, mavazi ya kigunia, na kutiwa alama mwilini kwa moto Badala ya uzuri.

(Yakobo 5:3) Dhahabu yenu na Fedha yenu zimeingia kutu na kutu yake itawashuhudia, nayo itakula miili yenu kama moto.


WACHUNGAJI WALIOPOTEZA MBINGU.

Katika vyumba hivi walifungwa Wachungaji mbalimbali, mateso ya chumba hiki ni tofauti na mateso ya vyumba vingine, ni makali na mabaya zaidi.

Pepo alomkamata Mchungaji mmoja na kumpiga pingu na minyororo, Kisha Akamweka juu ya meza ya CHUMA,

Pepo alikuwa na vifaa vingi zaidi alivyotumia kumfanyia upasuaji.

Pepo alichukua CHUMA kikubwa na kukiingiza ndani ya tumbo baada ya kulipasua Kwa kisu butu, CHUMA kile kiliingia ndani ya MWILI wa mtu yule,

Mtu yule alipiga kelele kubwa Kwa maumivu makali,

Pepo hakujali kelele zile, aliendelea na operation, Pepo alichukua kisu kikubwa Cha CHUMA na kupasua KICHWA Cha Mchungaji Kwa kutumia kisu kikubwa akigongelea na nyundo kubwa ya CHUMA,

KICHWA kilipasuka, Pepo alichukua nge wengi wawakao moto na funza wakali akawatupa ndani ya KICHWA Cha Mchungaji Kisha kilirudishwa tena KICHWA Kwa kugongelewa misumari,

Zoezi hili lilianza UPYA Kila lilipofika mwisho, maumivu Yale hayaelezeki.

WACHUNGAJI wa uongo Walio kuzimu wanapitia mateso makali sana sababu ni wasaliti.

Mchungaji na Nabii yule wa uongo, alianza vizuri KAZI ya Mungu, alipoona watu ni Wachache, alifunga ziara na kwenda Kwa Wachungaji wa uongo wachawi wenye kujaza watu wengi,

Walimpeleka Kwa agent wa kuzimu aliyempa mazindiko ya kichawi aliyoenda kuyazika madhabahuni,

Na baada ya muda mfupi kupita, watu waliongezeka, na waumini walipotoa sadaka na ZAKA, Mchungaji alizitumia kufanya biashara zKe binafsi na kuzitoa sadaka Kwa mashetani,

Malaika wa BWANA alishuka Kutoka Mbinguni na upanga mkononi na kumpiga, mchungaji yule, alipata ugonjwa na alijua ugonjwa Ule alipigwa na Mungu lakini hakutubu na ndio kulikuwa chanzo Cha kifo, akafa na kushuka kuzimu ya moto.

Mchungaji mwingine wa uongo alilia Kwa maumivu makali Kwa kuwa Pepo alichukua msumeno mkali na kukatakata mwili wa Mchungaji yule vipande vipande na kuvirusha katika moto mkali, mtu yule hakufa ,Bado mwili uliungana tena na mateso kuendelea,

Kosa la Mchungaji yule ni kuiinamia na kuabudu sanamu ya bikra maria.

(Kutoka 20:3,4) Usiwe na miungu mingine ila Mimi,

Usijifanyie sanamu ya kuchonga...

KITENGO CHA WAUMINI WALIOSALI MAKANISA YENYE KUABUDU SANAMU.

Mateso ya watu Hawa yalikuwa makali sababu waliwekwa kundi la wasaliti kama wasaliti katika NDOA wanavyohukumiwa.

(2 Kor 6:14-18).

Msifungwe nira pamoja na wasioamini, Kwa jinsi isivyo sawasawa, Kwa maana Pana urafiki Gani kati ya HAKI na uasi?

Tena Pana ushirika Gani kati ya Nuru na Giza?

Tena Pana ulinganifu Gani kati ya Kristo na Beriali?

Au Yeye aaminiye ana sehemu Gani pamoja naye asiyeamini?

Tena Pana mapatano Gani kati ya hekalu la Mungu na sanamu? Kwa maana sisi tu hekalu la Mungu aliye hai.

(Ufunuo 21:8) Bali waoga, na wasioamini, wachukizao, na wauaji na wazinzi, na wachawi na hao waabuduo sanamu na waongo, wote, sehemu Yao ni katika lile ziwa liwakalo moto na kiberiti.

Yesu aliwajibu watu waliokuwa katika mateso katika kundi la waabuduo sanamu kuwa walisikia na kusoma neno lake, na kusikia makatazio ya kuacha kuabudu sanamu lakini waling'ang'ania Dini Yao ya kishetani yenye wafuasi wengi wawapelekao waumini wao Kwa maelfu kuzimu ya moto.

Waabuduo sanamu wanajumuishwa na wapagani waabudu milima, pia dini zenye kuabudu nyota na mwezi, na wenye kuabudu jua na miungu mbalimbali.

Aamen


ITAENDELEA.....
Mkuu hem naomba uelezee hapa,kuna fungu linasema mshahara wa dhambi ni mauti,maana yake ni nini?

Pia,naomba uelezee huko kuzimu watu wanakufa au wanaendelea kuishi milele huku wakiteseka?

Naomba pia uelezee,fungu linasema mahari pa ibilisi na waovu wote(wakiwemo hao mapepo) hapatakuwepo tena,ina maana gani?
 
INAENDELEA..........

IDARA YA WALIOSIKIA INJILI NA KIKAIDI KUTUBU.

Watu Hawa wake Kwa waume walikuwa katika mashimo ya kuzimu, Kila Mmoja ndani ya shimo lake wakizungukwa na walinzi.

Palikuwepo na picha ya Kila mtu juu yake iliyoonyesha Jina, mashtaka yake yaliyompeleka kule,

Tuliposogelea shimo la mtu mmoja picha yake alivyokuwa akionekana duniani tofauti kabisa na alivyoonekana kule, pichani alionekana mrembo sana,

Lakini katika uhalisia ilikuwa tofauti sana, kiu aliyokuwa nayo ilisababisha Ulimi Kutoka kinywani na ulionekana mrefu sana, Ulimi Ule ulikuwa mrefu sana unafika kifuani, mapepo yalishika ndimi zao na kuzivuta nje zaidi, maumivu yake nalisababisha kutotamani kuwaangalia tena,

Macho yao yalitoka nje Kwa maumivu na usingeweza linganisha mwonekano wa picha zao na uhalisia wakiwa kuzimu, na mbaya zaidi maumivu ni ya milele.

Panga zao na muundo wa visu vyao mapepo wale vilitiasha mno,

Watu Hawa Kila Mmoja alikuwa na shtaka lake,

Wengine walishiriki kuwapiga na kuwatesa watumishi wa Mungu wa Kweli walipokuwa wakihubiri.

Wengine walisikia Neno likihubiriwa na walidhihani kuwa ni waongo, wanatafuta tu sadaka.

Wengine makosa Yao ni walipinga kuwa hakuna moto wa Jehanum Wala kiyama, Kila walipopata ujumbe wa Mungu ukiwaonya watu kuacha UOVU maana Kuzimu ya moto IPO!!

Yesu alisema, niliwaonya kupitia neno langu kuwa: Nyama na Damu haziwezi kuurithi Uzima wa Milele lakini hawakusikia, walipoteza Mali na nguvu zao kuhangaikia miili iharibikayo na kuwadharau watumishi wangu waliodumu katika kuyatafuta mapenzi yangu (1Wakorithinto 15:50).


Yesu akaendelea kusema, katika neno langu, niliwaonya kuwa nimewaita nanyi mkakataa, nimenyoosha mkono wangu ,asiangalie mtu,

Bali mmebatilisha shauri langu, Wala hamkutaka maonyo yangu,

Mimi nami nitacheka siku ya msiba wenu, nitadhihaki HOFU yenu ifikapo kama tufani, na msiba wenu ifikapo kama kisulisuli, DHIKI na taabu itakapowafikia, ndipo watakaponiita, lakini sitaitika!! (Mithali 1:24-28).

Yesu alitumia neno lake kuwajibu wale waliomwita awasaidie wale Waliosikia neno lake na kudhibaki na wasitubu!!

IDARA YA WALIORUDI NYUMA.

Tulipofika Mahali pale, Pepo walikuwa wakivuta ndimi za watu wale nje, na kuanza kuzikatakata vipande vipande Kisha mkuki ulipigwa kooni na kutokezea mdomoni.

Kila walipojaribu kumsihi Yesu awasaidie, mapepo yaliwakemea na kusema, mlipewa nafasi nzuri lakini mkaiacha njia yake, na hamtatoka hapa.

Yesu alilia Kwa huzuni kubwa lakini hakusogea kuwasaidia.

Wengine katika kundi hili, walitokea familia za kikristo,

Wengine walikuwa watoto wa Wachungaji nk nk, wakidhani Mungu angewasamehe dhambi zao sababu ya utumishi wa wazazi wao.

Wengine walitembea katika Wokovu, lakini walipofukuzwa KAZI au kupitia majaribu mazito, walimwacha BWANA na kugeukia njia zao

(Ezekiel 18:24) Yesu asema, Bali mwenye HAKI atakapoghairi, na kuiacha HAKI yake, na kutenda UOVU, na kufanya machukizo yote kama Yale afanyayo mtu mwovu, je ataishi?

Katika matendo yake yote ya HAKI aliyotenda, halitakumbukwa hata mojawapo.

Maana pia imeandikwa, jihadharini msirudi nyuma,, maana ni Afadhali usiijue njia ya HAKI kuliko kuijua Kisha ukaiacha.

Amen.

IDARA YA MUZIKI.

Tulifika Mahali katika chumba au shimo mojawapo na Pepo lilikuwa limempiga mkuki mgongoni na Kutokea upande wa pili.

Mwanamuziki huyu alikuwa maarufu sana enzi za uhai wake, na nyimbo zake zilikuwa zikivuma sana duniani,

Na Kila nyimbo zake zilipopigwa duniani, ukali wa moto na maumivu yake yaliongezwa maradufu sababu nyimbo zake zikitumika katika club mbalimbali kuwapoteza watu wasimkumbuke Mungu.

Wanamuziki wengine waliokuwemo mle, walitumika madhabahuni, kosa la mmoja wao alisuka Rasta Ili apate mwonekano sawasawa na mwonekano wa wasanii wa kidunia.

Mwingine alifika kuzimu sababu ya kufanya UASHERATI Kwa Siri na wasichana wanaoimba pamoja naye. Matendo yote mema aliyotenda hayakukumbukwa sababu hakutubu dhambi hiyo aliyoificha.

Maana imeandikwa, afichaye dhambi.hatofanikiwa..Bali aziungamaye na kutubu atapata rehema.

KITENGO CHA WAANGALIA FILAMU ZA KIDUNIA.

Mwanamke mmoja alikuwa akipigwa na kitu mithili ya nondo na kutobolewa nacho machoni, maumivu yake yalikuwa makali sana.

Mashtaka ya mwanamke huyu yalikuwa ni kuangalia tamthilia za kidunia kwenye Runinga,

Mapepo Yale katika Kuzimu level ya pili, hubuni FILAMU hizo na kuwaletea wasanii na waigizaji wa kidunia walioingia mikataba nao, tamthilia zile ziliwekewa uvuvio wa kipepo Ili Kila aangaliaye anamiwe na Roho hizo,

Roho za kipepo zilifanya KAZI ya kuleta kiburi Kwa waume zao na kusababisha hasira na zinaa kupitia tamaa Kwa waigizaji ndani ya tamthilia hizi.

Tamthilia aina hii zenye uvuvio wa kipepo zimechangia kuharibu hisia za wasichana na kubadili mtizamo wa Mungu juu ya NDOA nk nk.

IDARA YA KUJIPAMBA.

Mashimo haya yalihusika na wanawake na Mwanaume waliojipamba, wanawake wavaa suruali,nguo za kubana,waliosuka, Rasta na mitindo mbalimbali,waliofuga kucha ndefu, waliopaka wanja, kuchonga nyusi ,watiotoga masikio, pia, wavaa hereni, vikuku miguuni, nywele bandia,Vito vya puani , chenu shingoni na Kila aina ya mavazi na mapambo ya kidunia.

Kundi hili lilipewa ADHABU sawa na wazinzi na MAKAHABA.

Pepo mmoja alikamata mkufu uliovaliwa shingoni mwa mwanamke mmoja na alimnyonga kupitia cheni hiyo, na BAADAYE alichukua mnyororo mkubwa alioendekea kumnyonga shingo Ile Hadi ikakatika, Cha kushangaza baada ya muda mchache, shingo ilirudia ilivyokuwa mwanzo, na Pepo alianza mateso UPYA na endelevu,

Mwanamke mmoja aliyepelekwa kuzimu Kwa kuvaa nywele bandia, nywele zile bandia zilibadilika na kuwa nyoka wengi kichwani ambao walimuuma mfululizo na alipiga kelele ya maumivu makali ya nyoka wale kichwani mwake.

Nywele bandia Zina u uvuvio wa kishetani na Kila avaaye ,mapepo katika form ya nyoka walitoka kuwashambulia Ili kuwafanya wawe wakorofi Kwa waume zao na kuleta uongo na usaliti ndani ya NDOA.

Nami nikaona mwanamke mmoja ndani ya shimo lile aliyeletwa Kwa kosa la kuvaa viatu virefu vya kikahaba,

Alionekana kabla ya kufa alipokuwa duniani akiingia Kanisani akiwa amevaa viatu virefu na kuingia Kanisani,

Sauti za vishindo vya viatu vyake viliondoa utulivu ibadani, vijana walipoangalia viatu vyake macho yalitoka kuangalia viatu na kupanda kuiangalia miguu yake iliyovutia, ghafula Mishale ya kipepo ilitoka ndani ya macho ya msichana na kuwaarukia vijana wote walioangalia miguu kupanda juu ya mwili wake,

Mishale Ile mieusi ya kipepo, iliwafanya vijana wale kutengeneza picha katika NAFSI zao na kuanza kuzini na Binti yule katika NAFSI zao,

Imeandikwa, amtazamaye mwanamke Kwa kumtamani, amekwisha kuzini naye moyoni.

Pepo mwingine alikuwa akimpiga sikioni mwanamke Kwa nyundo kubwa aliyekuwa ametoboa sikio lake na kuvaa hereni, alilia Kwa uchungu bila msaada.

(Isaya 3:16-24)

BWANA akasema tena, Kwa Sababu Binti za sayuni Wana kiburi, na kuenenda Kwa shingo zilizonyooshwa, na macho ya kutamani, wakienenda Kwa hatua za madaha, na kuliza njuga Kwa miguu Yao,

Basi Kwa hiyo BWANA atawapiga Binti za sayuni Kwa Pele za utosini, na BWANA ataifunua Aibu Yao.

Siku hiyo BWANA atawaondolea uzuri wa njuga zao, na kaya zao, na Pete za masikio, na vikuku, na taji zao,, na dusumali na mafurungu na vitambi, na vibweta vya marashi na matakasimu, na Pete za azama, na mavazi ya sikukuu na debwani na shali na vifuko, na vioo vidogo na kitani nzuri na vilemba na utaji.

Hata itakuwa, Badala ya manukato mazuri kitakuwa uvundo, na Badala ya mishipi, kamba, na Badala ya nywele zilizosukwa vizuri, upaa, na Badala ya kisibau, mavazi ya kigunia, na kutiwa alama mwilini kwa moto Badala ya uzuri.

(Yakobo 5:3) Dhahabu yenu na Fedha yenu zimeingia kutu na kutu yake itawashuhudia, nayo itakula miili yenu kama moto.


WACHUNGAJI WALIOPOTEZA MBINGU.

Katika vyumba hivi walifungwa Wachungaji mbalimbali, mateso ya chumba hiki ni tofauti na mateso ya vyumba vingine, ni makali na mabaya zaidi.

Pepo alomkamata Mchungaji mmoja na kumpiga pingu na minyororo, Kisha Akamweka juu ya meza ya CHUMA,

Pepo alikuwa na vifaa vingi zaidi alivyotumia kumfanyia upasuaji.

Pepo alichukua CHUMA kikubwa na kukiingiza ndani ya tumbo baada ya kulipasua Kwa kisu butu, CHUMA kile kiliingia ndani ya MWILI wa mtu yule,

Mtu yule alipiga kelele kubwa Kwa maumivu makali,

Pepo hakujali kelele zile, aliendelea na operation, Pepo alichukua kisu kikubwa Cha CHUMA na kupasua KICHWA Cha Mchungaji Kwa kutumia kisu kikubwa akigongelea na nyundo kubwa ya CHUMA,

KICHWA kilipasuka, Pepo alichukua nge wengi wawakao moto na funza wakali akawatupa ndani ya KICHWA Cha Mchungaji Kisha kilirudishwa tena KICHWA Kwa kugongelewa misumari,

Zoezi hili lilianza UPYA Kila lilipofika mwisho, maumivu Yale hayaelezeki.

WACHUNGAJI wa uongo Walio kuzimu wanapitia mateso makali sana sababu ni wasaliti.

Mchungaji na Nabii yule wa uongo, alianza vizuri KAZI ya Mungu, alipoona watu ni Wachache, alifunga ziara na kwenda Kwa Wachungaji wa uongo wachawi wenye kujaza watu wengi,

Walimpeleka Kwa agent wa kuzimu aliyempa mazindiko ya kichawi aliyoenda kuyazika madhabahuni,

Na baada ya muda mfupi kupita, watu waliongezeka, na waumini walipotoa sadaka na ZAKA, Mchungaji alizitumia kufanya biashara zKe binafsi na kuzitoa sadaka Kwa mashetani,

Malaika wa BWANA alishuka Kutoka Mbinguni na upanga mkononi na kumpiga, mchungaji yule, alipata ugonjwa na alijua ugonjwa Ule alipigwa na Mungu lakini hakutubu na ndio kulikuwa chanzo Cha kifo, akafa na kushuka kuzimu ya moto.

Mchungaji mwingine wa uongo alilia Kwa maumivu makali Kwa kuwa Pepo alichukua msumeno mkali na kukatakata mwili wa Mchungaji yule vipande vipande na kuvirusha katika moto mkali, mtu yule hakufa ,Bado mwili uliungana tena na mateso kuendelea,

Kosa la Mchungaji yule ni kuiinamia na kuabudu sanamu ya bikra maria.

(Kutoka 20:3,4) Usiwe na miungu mingine ila Mimi,

Usijifanyie sanamu ya kuchonga...

KITENGO CHA WAUMINI WALIOSALI MAKANISA YENYE KUABUDU SANAMU.

Mateso ya watu Hawa yalikuwa makali sababu waliwekwa kundi la wasaliti kama wasaliti katika NDOA wanavyohukumiwa.

(2 Kor 6:14-18).

Msifungwe nira pamoja na wasioamini, Kwa jinsi isivyo sawasawa, Kwa maana Pana urafiki Gani kati ya HAKI na uasi?

Tena Pana ushirika Gani kati ya Nuru na Giza?

Tena Pana ulinganifu Gani kati ya Kristo na Beriali?

Au Yeye aaminiye ana sehemu Gani pamoja naye asiyeamini?

Tena Pana mapatano Gani kati ya hekalu la Mungu na sanamu? Kwa maana sisi tu hekalu la Mungu aliye hai.

(Ufunuo 21:8) Bali waoga, na wasioamini, wachukizao, na wauaji na wazinzi, na wachawi na hao waabuduo sanamu na waongo, wote, sehemu Yao ni katika lile ziwa liwakalo moto na kiberiti.

Yesu aliwajibu watu waliokuwa katika mateso katika kundi la waabuduo sanamu kuwa walisikia na kusoma neno lake, na kusikia makatazio ya kuacha kuabudu sanamu lakini waling'ang'ania Dini Yao ya kishetani yenye wafuasi wengi wawapelekao waumini wao Kwa maelfu kuzimu ya moto.

Waabuduo sanamu wanajumuishwa na wapagani waabudu milima, pia dini zenye kuabudu nyota na mwezi, na wenye kuabudu jua na miungu mbalimbali.

Aamen


ITAENDELEA.....
Naomba uelezee sehemu unasema hizi ni roho za wafu,Yesu alisema roho haina nyama wala mifupa,sasa mbona roho hizi za wafu usemazo hapa inaonekana wazi zina nyama na mifupa?
 
INTRODUCTION.

Sikutishi, Ninakupa UKWELI Ili uamue mahali pa kwenda utakapokufa.

MBINGUNI ,ni makazi ya Walio hai,

KUZIMU: Ni nyumbani Kwa wafu, ni gereza la kuwatunza wafu wakipitia mateso kabla ya HUKUMU ya Mungu,

Mateso yanayoendelea mahali hapa yanafanywa na Mapepo na Mashetani Kwa Roho za watu wasiomtii Mungu, wafao katika Dhambi.

Jehanum haijawapo Bado, Ile itaumbwa wakati wa Mwisho wa Ulimwengu utapowadia, na pale Mungu ndipo ataadhibu watu waliotunzwa katika Gereza la kuzimu, ila katika kuzimu, watu, mapepo na mashetani Kwa ujumla wao watatupwa Kwa ajili ya HUKUMU ya milele.

AINA ZA WAFU WALIO MAGEREZANI.

1. Imeandikwa, Atendaye dhambi ni mtumwa wa dhambi, hiyo Kwa tafsiri hiyo WANADAMU Walio hai ni wafu wanaotembea, bila TOBA na kutakaswa, utaelekea kuzimu ninapokwenda kupaongelea.

2. Misukule.

Hawa wamefungwa na hutumika na wachawi na mapepo, shetani Ili kufanya KAZI za Shetani kujenga ufalme wake.

Zipo pia aina nyingi za misukule Walio katika magereza ya kuzimu lakini sitawaongelea Leo.

AINA ZA KUZIMU / MATABAKA YA KUZIMU.

1. KUZIMU KAVU.

Hili ni eneo ambalo hutumiwa na matajiri wa Ulimwengu huu , wanasiasa, wasanii, viongozi mbalimbali kwenda kupata utajiri au nyota Kwa kufunga mikataba ya kubadilishana na NAFSI zao, eneo hili ni kama gulio la kuuza na kubadilishana NAFSI za WANADAMU Kwa sadaka ya Damu,

Eneo hili wachawi hutamba na kujiona ndo wamefika lakini wasilolijua ni kuwa shetani Huwa amewaficha kutojua eneo au tabaka la tatu chini kabisa nini kinaendelea, huko ndipo nitapaongelea Leo. Wachawi huua na kumwaga Damu za watu wakishirikiana na mapepo Ili kumfurahisha boss wao shetani,ila ukifika muda wao, shetani huwageuka na kuwaua na huenda tabaka la tatu la kuzimu.

2. Tabaka la pili/ Kuzimu kama himaya ya Mashetani na Mapepo kama himaya Yao./ Ulimwengu wa Giza.

Mahala hapa, binafamu hakanyagi, ni eneo la kimamlaka ambapo mipango Yao husukwa wakiongozwa na Shetani mwenyewe.

Eneo Hilo ni Giza tupu, na ndipo hukaa mapepo yenye kuleta dhoruba na vimbunga na Kila aina ya majanga tunayoyaita ya asili.

Mahali hapa ndipo palipo na kizuizi Cha maombi ya WATAKATIFU kufika Mbinguni, maana ndipo walipo mapepo na mashetani yaongozao falme za Dunia na watu wake, hivyo Kwakuwa Mbinguni ni juu zaidi, mwanadamu aliye chini kutoboa sehemu hiyo Si vyepesi, ndomana unaweza omba Leo na ikachukua muda mrefu kupata majibu, sababu ufalme huu huzuia.

3. KUZIMU YA MOTO.

Mahali hapa ndipo nitapokueleza kinachoendelea.,

WANADAMU Walio katika kuzimu na magereza haya ya kawaida mfano Misukule nk nk , huweza kufunguliwa kirahisi na kurudishwa, lakini mtu alifika KUZIMU ya MOTO harudi tena kamwe duniani, ni anasubiri HUKUMU.

Wapo watu ambao huuwawa na wachawi au wafao kabla ya siku zao kutimia, Roho hizi hutangatanga duniani Hadi pale muda wao ukifika ndipo huingizwa na Malaika wa Giza eneo lile la mateso yaana kuzimu ya moto.

Ni hapa ambapo wachawi, wazinzi,wezi ,wapenda anasa ambao walikuwa wakimtumikia shetani wakidhani ni Rafiki Yao, hugeuka na kuwatesa vikali bila kujali KAZI walomfanyia.

TOPIC: LIVE KUTOKA KUZIMU.

Shimo hili halijai na halijawahi kujaa, tangu kuumbwa Ulimwengu wamekuwa wakitupwa Roho za WANADAMU na halijai, tangu alipotupwa Cain Hadi Leo,

Na umbali wa mtu mmoja na mwingine, ni sawa na Mita Mia. Hivyo Kila Mmoja hutweswa kivyake, vinavyosikika ni vilio na maumivu yasiyokoma.

Eneo hili moto huwaunguza watu waliomo bila mapumziko na mapepo yaliyomo, huendelea kuwaadhibu raia au wafungwa wa humo sawasawa na dhambi zilizowapeleka humo.

1. IDARA YA WACHORA TATOOS!

Nami nikaona watu waliojichora miili Yao wake Kwa waume Kila mmoja Mahali pake.

Kuna wengine waliojichora tattoo baadhi ya sehemu tu za miili Yao, lakini wengine waliojichora mwili mzima.

Wanawake wengine waliojichora Hina mwilini, pia walikuwa katika IDARA hiyo,

Mapepo yenye visu vikali yaliendelea kukata Kila eneo lililochorwa tattoo na kutoboa ngozi Kwa visu vile, mtu yule alipiga kelele Kwa maumivu makali lakini mapepo hayakuacha kuwatesa wakati moto ukiendelea kuwaunguza na hawateketei.

Yaliwakejeli na kuwaambia haya ni malipo Kwa kutomsikiliza Muumba wenu, wakati ngozi ikiendelea kukatwa, kutobolewa, moto uliendelea kuwaunguza, na zoezi hili liliendelea mfululizo, hakuna kupumzika kule.

Pia walitoka funza wakali na kuchimba vidonda vile vilivyoachwa wazi na mapepo yaliwatoboa Kila Mahali penye tattoo, michoro au Hina. Maumivu Yale hayaelezeki.

Rejea (Luke: 16: 19-31.). Tajiri alimwomba maskini achovye angalau tonne la maji Ili angalau auburudishe Ulimi wake ulochomwa Kwa moto mkali.

2. IDARA YA WATOA MIMBA, WAFANYA UASHERATI KABLA YA NDOA NA WAPIGA PUNYETO.

Nami nikaona Pepo akimgeuza KICHWA chini miguu juu mwanamke aliyetoa mimba alipokuwa msichana, Pepo lilichukua kisu kikubwa na kuanza kuchoma na kukatakata sehemu za Siri za mwanamke yule bila huruma, Pepo lilimpiga mkuki uliopita kupitia sehemu za Siri Kisha mkuki Kutokea mgomoni na kumbanika kama mshikaki, alitamani kufa lakini kule kifo hakipo, ni mateso mfululizo.

Mwanamke alipiga kelele akiomba msaada Kwa Malaika wa Mungu amsaidie Kutoka mahala pale akiapa kuwa kamwe hatorudia dhambi Ile lakini haikuwezekana, maana imeandikwa, Mshahara wa dhambi ni MAUTI, na Baada ya KIFO ni HUKUMU.

Kisha nikaona kundi la mapepo wakimburuta kijana mmoja wa kiume aliyekuwa akijichua, alipigwa pingu na kutundikwa juu na kuisha mapepo yalianza kukatakata uume wamtu yule Kwa msumeno bila kujali maumivu aliyopitia, na Kila baada ya kumaliza kukata, kiungo kilirudi mahala pake na yaliendelea na zoezi Hilo bila kuacha Hadi tunaondoka eneo la tukio.

Nami nikamwona Binti mmoja aliyekuwa alifanya UASHERATI KABLA ya NDOA,

Pepo lilichukua blender kubwa ya kama ambayo hutumika kusagia juc, blender Ile ilikuwa kubwa yenye uwezo wa mtu mzima kuingia ndani,

Mapepo yalimtumbukiza Binti yule ndani ya blender na kuanza kumsaga na mapanga Yale makali yalikata nyama na mifupa yote ikawa Damu ya kimiminika,

Baada ya hapo, mwili wa Binti yule ulirudi mahala pake kama kawaida na mapepo yalianza tena zoezi like tena na tena na tena. Tangu Binti yule tangu kuingia ndani ya kuzimu zoezi lile lilikuwa endelevu Hadi sasa linaendelea, na usisahau moto mkali inaendelea kumuunguza na kusagwa ndani ya blender kukiendelea.

3. IDARA YA WATOTO WAANGALIA CARTOON.

Mtoto mmoja alilia Kwa uchungu akimsihi Pepo aliyekuwa akiyatoboa macho ya mtoto yule huku alimwambia, wazazi wako walikupa kuangalia cartoon zetu nawe ulizifurahia ,sasa ni zamu Yako kulipia,

Mtoto yule alipokuwa duniani, alipenda kuangalia cartoon za kichawi na za mapigano, mapepo yalitoka ndani ya TV na kumwingia na kumfanya awe kiburi asiyetii Wala kusikiliza maonyo ya wazazi, na alipokuwa akienda shuleni siku moja, gari lilipinduka na akafa na kujikuta Kuzimu ya moto.

Zoezi la mapepo kuyatoboa macho ya mtoto yule mwenye miaka 7 yanaendelea na kujirudia Hadi sasa kosa kuu likiwa ni kuangalia cartoon mbaya.

4. IDARA YA MAKAHABA NA WASAGAJI NA MASHOGA.

Nami nikaona Pepo mwenye uume mkubwa wa CHUMA kinene na urefu wa uume huo wa CHUMA ulikuwa Mita moja, urefu wa Mita moja ni sawa na hatua Moja ya mtu mzima akitembea.

Pepo lile lilimfunga mwanamke yule aliyekuwa alifanya ukahaba na usagaji wanawake wenzie alipokuwa duniani,

Pepo lile baada ya kumfunga minyororo lilimburuta na kuanza kumbaka na kuharibu sehemu za ndani ya MWILI Ule bila huruma,

Kila baada ya kufanya unyama Ule, mwili ulijirudi kama mwanzo na Pepo alianza tena zoezi lile lililokuwa endelevu,

Nami nikaona Mwanaume aliye kufa Kwa ugonjwa uliosababishwa na kansa uliotokana na vitendo vya USHOGA akiingia kuzimu, alidakwa kama mpira na kuanza kuingiliwa na kubakwa kinyume na maumbile na Pepo lile lenye uume mkubwa wa CHUMA mnene wenye urefu wa Mita 1. Huku moto ukiendelea na ubakaji na kupigwa mkuki Mahali Mahali na kubanikwa mshikaki vikiendelea.

ITAENDELEA...........
Je kwenye hii passage yako kuna Habari Njema ya Ufalme wa Mungu?

Mbona unatengeneza hadithi kuwatishia watu badala ya kuwaeleza ukweli wa Mbingu na ondoleo la dhambi?
 
Je kwenye hii passage yako kuna Habari Njema ya Ufalme wa Mungu?

Mbona unatengeneza hadithi kuwatishia watu badala ya kuwaeleza ukweli wa Mbingu na ondoleo la dhambi?
Live Kutoka KUZIMU ni HAKIKA Si hadithi.

Pia imekuja Kwa uhalisia Si kutosha watu, ni kuwahakikishia nini kitatokea ikiwa mtu atakufa dhambini nini anaenda kutana nacho.

Pia report imeanza na Kuzimu sababu huko wanaenda wengi zaidi kuliko wanaoingia Mbinguni, Nia ni kupunguza msururu wa kuingia huko Kwa kutojua.

Manabii wa uongo wanadanganya watu eti hakuna mateso wakati ni Uongo. Wawawakatazi watu kuacha DHAMBI, wanawake wanavaa nusu uchi na hawaambiwi KWELI, wengine wanaabudu madhehebu ya Shetani ,viongozi wanakunywa pombe na kuwambia WAUMINI kunywa pombe Si DHAMBI, nk nk

Endelea kuwepo, tutakuletea habari za Mbinguni live pia Ili uamue kwenda huko kupitia njia nyembamba ambayo WANADAMU wengi hawaitaki.

Njia ya Mbinguni ni ya wachache, ni Hadi ujikane, ujitwike msalaba wako na kumfuata YESU.

Amen.
 
Je kwenye hii passage yako kuna Habari Njema ya Ufalme wa Mungu?

Mbona unatengeneza hadithi kuwatishia watu badala ya kuwaeleza ukweli wa Mbingu na ondoleo la dhambi?
Mada ya Live Kutoka KUZIMU lengo ni kuwajulisha yanayotokea live kuzimu,

Pia imelenga kuwambia DHAMBI ni nini, na DHAMBI zipi zinawapeleka kuzimu Kwa upana wake.

Hatua inayofuata ni kuwaelekeza jinsi ya kufanya TOBA na kuiendea njia nyembamba Kwa HIARI Yao.

Amen
 
Lini hiyo siku [emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
Maisha yana miaka 3.5 billion years, jua litazima 5 billion years ijayo.

Utasubiti mno si wewe tu mpaka kitukuu wa kitukuu chako
Mateso yanaanza mara tu mtu anapokufa na kuingia KUZIMU ya moto.

Hilo ni gereza la muda wakati HUKUMU ya Mungu ikisubiriwa.

Na hakuna namna mtu aliyeko kuzimu ya moto akaokoka asiende Jehanum ya milele baada ya HUKUMU.

Wewe hutaishi milele ukisubiri HUKUMU ya mwisho, ukifa hatma Yako inaanza mara Moja.

Uamuzi ni wako, na ni wakati huu Ukiwa hai,

Ukifa, hakuna masahihisho au marekebisho.

Amen
 
wee ushatinduliwa siobure
Mimi ni mwana wa ufalme wa Mungu,

Hakuna HUKUMU Kwa watakatifu,

Karibu umpokee YESU kristo wa Nazareth, utapewa Roho mtakatifu atakayekusaidia kukujulisha DHAMBI ni nini na jinsi ya kuziepuka, na kuzitubia ukianguka.

JINA lako litaandikwa katika kitabu Cha Uzima,

Ukilala MAUTI, utaingia direct Mbinguni.

Amen.
 
yesu
Mimi ni mwana wa ufalme wa Mungu,

Hakuna HUKUMU Kwa watakatifu,

Karibu umpokee YESU kristo wa Nazareth, utapewa Roho mtakatifu atakayekusaidia kukujulisha DHAMBI ni nini na jinsi ya kuziepuka, na kuzitubia ukianguka.

JINA lako litaandikwa katika kitabu Cha Uzima,

Ukilala MAUTI, utaingia direct Mbinguni.

Amen.
yesu mkatafitoo ameeeein kubwaaaaa
 
Barikiwa Mtumishi,usisahau hata mapepo na shetani na mawakala wake,wapo hapa kupindisha naweza thibitisha hilo.
Wengine c watu, lakini je naomba niulize swali je umefikaje kuzimu na upo kama agent wa nuru ama giza
Na ndio hawa wanao comment kwa hasira na kupinga kila kitu cha kimungu. Ndio hawa wanaotala uwaoneshe Mungu kama wanavyoona Milima. Ndio hawa wanataka uwaletee Mungu huku umemshika mkono. Wanatumia fake ID kujifunua humu japo mtaani hatujawahi waona kwa dhahiri na kwa kiuhalisia. Kwa miaka yangu ya kuishi duniani sijawahi kutana naye hata mmoja physically na pia kwa muda niliotumia mitandao kama FB, Twitter, Instagram na mingineyo sijawahi kukutana nao zaidi ya huku JF kwa kuwa wana fake ID.
 
Na ndio hawa wanao comment kwa hasira na kupinga kila kitu cha kimungu. Ndio hawa wanaotala uwaoneshe Mungu kama wanavyoona Milima. Ndio hawa wanataka uwaletee Mungu huku umemshika mkono. Wanatumia fake ID kujifunua humu japo mtaani hatujawahi waona kwa dhahiri na kwa kiuhalisia. Kwa miaka yangu ya kuishi duniani sijawahi kutana naye hata mmoja physically na pia kwa muda niliotumia mitandao kama FB, Twitter, Instagram na mingineyo sijawahi kukutana nao zaidi ya huku JF kwa kuwa wana fake ID.
Wenye macho ya Rohoni tunajua,

Wapo mapepo wenye account Facebook, insta ,Twitter nk nk na zinaoperate kama kawaida,

Wanao uwezo kufanya chochote katika ulimwengu huu, Nia ni kuleta ushetani utamalaki duniani kuwapeleka wengi zaidi kuzimu,

Hao wako layer ya pili ya kuzimu, ilipo milki Yao, palipo na ulimwengu wa Giza.
 
Wenye macho ya Rohoni tunajua,

Wapo mapepo wenye account Facebook, insta ,Twitter nk nk na zinaoperate kama kawaida,

Wanao uwezo kufanya chochote katika ulimwengu huu, Nia ni kuleta ushetani utamalaki duniani kuwapeleka wengi zaidi kuzimu,

Hai wako layer ya pili ya kuzimu, ilipo milki Yao, palipo na ulimwengu wa Giza.
Binafsi sijawahi kutana nao zaidi ya hawa wa JF. Wao wanapinga kila kitu kuhusu Mungu.
 
Wenye macho ya Rohoni tunajua,

Wapo mapepo wenye account Facebook, insta ,Twitter nk nk na zinaoperate kama kawaida,

Wanao uwezo kufanya chochote katika ulimwengu huu, Nia ni kuleta ushetani utamalaki duniani kuwapeleka wengi zaidi kuzimu,

Hao wako layer ya pili ya kuzimu, ilipo milki Yao, palipo na ulimwengu wa Giza.
Ushetani ni matendo yako maovu usisingizie mapepo.
Uzinzi ni kwa tamaa ya mwili wako.
Wizi ni kwa tamaa ya usichonacho.
Inshort dhambi zote wewe ndo mkurugenzi mtendaji.

Mtu umeperuzi mwenyewe online mitandaoni ukatazama binti ukampigia ukafika ulipotaka kufika nae halafu unasema ni mapepo huko facebook. UNAFIKI.
 
Meen hiyo ya kusagwa kwenye blender kisha unarudi tena kuwa mtu Kisha unasagwa tena,that genius.
[emoji23][emoji23][emoji23], Najiuliza hiyo Blender walichomeka wapi, kwenye switch ipi huko kuzimu.

Ila tufikie mahali tuheshimiane[emoji23]. Tutumie njia polite na zenye logic kuwaambia watu waache Dhambi sio kupeana vitisho kama hivyo anavyoviongelea jamaa hapo juu.

Anasema daraja la pili kuzimu ni la majini na shetani tu binadamu hawaruhusiwi kwenda, lakini mwamba yeye ameingia hapo..[emoji1430][emoji23]
 
[emoji23][emoji23][emoji23], Najiuliza hiyo Blender walichomeka wapi, kwenye switch ipi huko kuzimu.

Ila tufikie mahali tuheshimiane[emoji23]. Tutumie njia polite na zenye logic kuwaambia watu waache Dhambi sio kupeana vitisho kama hivyo anavyoviongelea jamaa hapo juu.

Anasema daraja la pili kuzimu ni la majini na shetani tu binadamu hawaruhusiwi kwenda, lakini mwamba yeye ameingia hapo..[emoji1430][emoji23]
Huyu waumini wake kama anao watakuwa wanafiki sana sababu walimfata kwakuwa wanaogopa hayo madaraja ya adhabu.
 
Back
Top Bottom