Live Kutoka Mbinguni/ Welcome back to Heaven

Mpka sasa Tangu mwanzo wa dunia Mpaka sasa kunakadiriwa kuwa na watu zaidi ya biliom 700 au tririon 1 sasa fikiria hiyo sehemu
 
Kwamba Kuna njia zaidi ya hizo mbili kuingia Ulimwengu wa Roho?

Ikiwa IPO itaje nijifunze!!
 
ITAENDELEA......

HAKIKA yote utapata majibu yake,

Mungu akipenda kesho nitaendelea kuleta mwendelezo.

Ubarikiwe.
Kuna Binti alitoa mimba 2005, kwasasa kaokoka kweli kweli sasa akiingiabinguni 2025, atakutana na mtoto wake akiwa na miaka 20 au atakuwa Bado kachanga, na vipi watatambuana?
 
Kwa sisi wenye uelewa wa kiroho tunakuelewa
Haya mambo ni kweli na hakika!..
 
Kuna Binti alitoa mimba 2005, kwasasa kaokoka kweli kweli sasa akiingiabinguni 2025, atakutana na mtoto wake akiwa na miaka 20 au atakuwa Bado kachanga, na vipi watatambuana?
Ndio watatambuana HAKIKA.

Katika Ulimwengu huo utajua yote.

Hata ukikutana na Petro, Ibrahim, Isaka utawatambua bila kutambulishwa.

Amen
 
Kwamba Kuna njia zaidi ya hizo mbili kuingia Ulimwengu wa Roho?
Siku nyingine nitakufundisha na kukuelekeza kuna only two ways kama ulivyosema njia ya Nuru na njia ya giza..
Kwenye nuru zipo njia sahihi nyingi..
Ikiwa IPO itaje nijifunze!!
Ndio watatambuana HAKIKA.

Katika Ulimwengu huo utajua yote.

Hata ukikutana na Petro, Ibrahim, Isaka utawatambua bila kutambulishwa.

Amen
Kuna vingi unaongea ukweli na ndo kitu ambacho kimenifanya mpaka mimi kuna maswali nakujibu..

Naongezea kuwa hata kama mtoto ulimzaa leo na akafariki leo utaweza kumtambua ndani ya ulimwengu wa kiroho na unaweza kuongea naye..kwa sababu katika kuongea hutumii mdomo wala lugha za Ulimwengu huu wa 3rd Dimension
 
Kuna Binti alitoa mimba 2005, kwasasa kaokoka kweli kweli sasa akiingiabinguni 2025, atakutana na mtoto wake akiwa na miaka 20 au atakuwa Bado kachanga, na vipi watatambuana?
Mtoto wake hawezi kukua, atakuwa vile vile mchanga.

Binti hata akienda Mbinguni Mzee pia, umri wake hautazidi miaka 30 Kwa appearance maana kule watu ni umri mmoja.
 
Uko sawa kabisa.

Njia ya Nuru nayo Ina njia zake.

Mungu Hana mipaka.

Ubarikiwe sana.

Bt nakushauri endelea kutamani Mbinguni, ni kuzuri sana.

Ubarikiwe.
 
Mtoto wake hawezi kukua, atakuwa vile vile mchanga.

Binti hata akienda Mbinguni Mzee pia, umri wake hautazidi miaka 30 Kwa appearance maana kule watu ni umri mmoja.
Hapa umedanganya nafsi haina umri, wala roho haina kipimo..
Kwahyo kujua kuhusu umri ni vigumu kwa sabbu nafsi wala roho haina pia Jinsia..
Unamjua kuwa huyu ni fulan kwa utambuzi usioweza kuelezeka ila sio kwamba utaona umbo la mdada sijui au mmama
 
Uko sawa kabisa.

Njia ya Nuru nayo Ina njia zake.

Mungu Hana mipaka.

Ubarikiwe sana.

Bt nakushauri endelea kutamani Mbinguni, ni kuzuri sana.

Ubarikiwe.
Mkuu Hilo la mbinguni ntaelezea kuhusu hili
 
Hapa umedanganya nafsi haina umri, wala roho haina kipimo..
Kwahyo kujua kuhusu umri ni vigumu kwa sabbu nafsi wala roho haina pia Jinsia..
Unamjua kuwa huyu ni fulan kwa utambuzi usioweza kuelezeka ila sio kwamba utaona umbo la mdada sijui au mmama
Ni Kweli,

Utambuzi ni Kwa namna ya pekee,

Nachomaanisha mwonekano wa wote kule wanafanana,

Ila kumtambua uliyewahi kuwa naye duniani, baba au mama au mtoto ndo utamjua Kwa namna ya pekee.

Amen
 
Ubarikiwe
Ubarikiwe.

Rudia kusoma tena, nimeandika japo ni Kwa uchache, endelea kuwepo maana Uzi huu hautaisha Leo Wala kesho,

Ni wa Milele.

Amen

imeandikwa "'mwenye masikio na asikie......''
 
Mwili ,nafsi na roho.
Katika mtizamo wangu kibiblia naweza changia kwa kusema vitu hivi ni tofauti japo vinakubalia katika jambo moja.
Mwili ni body au frem ya kubeba kitu, roho ni nguvu ya utambulisho wa aina ya uhai na nafsi ni tabia ya roho husika.
Kwa hiyo kila kiumbe kilicho hai kina roho ya uhai ndani yake.
Hivyo basi tabia ambayo ni nafsi hudhihirisha roho iliyo ndani ya mtu.
Kama umezaliwa mara ya pili tabia za mnyama ambapo kimsingi sisi binadamu ni wanyama wa kundi la mamalia ndizo zinazouawa na kuwa nafsi hai ya pumzi ya Mungu.
Viumbe wa kiroho wana miili ya kiroho kama vile viumbe wa dunian wana miili ya flesh.ushuhuda wa Mungu mbinguni ni baba, roho na neno tofauti na ushuhuda wa Mungu huyo huyo akiwa duniani. Ushuhuda wake akiwa duniani ni roho, damu na maji hizi ndizo element alizokuwa nazo Yesu hapa duniani.
Kuna mengi ya kujifunza kuhusu hili ila hata sijui niliwakilishe kwa njia ipi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Asante,

Tiririka tu.

Wengi wanabarikiwa.
 
ITAENDELEA......

HAKIKA yote utapata majibu yake,

Mungu akipenda kesho nitaendelea kuleta mwendelezo.

Ubarikiwe.
Kuna Binti alitoa mimba 2005, kwasasa kaokoka kweli kweli sasa akiingiabinguni 2025, atakutana na mtoto wake akiwa na miaka 20 au atakuwa Bado kachanga, na vipi watatambuana?
Mtoto wake hawezi kukua, atakuwa vile vile mchanga.

Binti hata akienda Mbinguni Mzee pia, umri wake hautazidi miaka 30 Kwa appearance maana kule watu ni umri mmoja.
kwa hiyo mbinguni kuna watoto wanaonyonyeshwa, ambao duniani walikuwa mimba zilizotolewa?
 
Hapakuwa na njaa, Wala huzuni Wala DHIKI.

Malaika wengine walikuwa wakiwahudumia WATAKATIFU MATUNDA YA MWILI WA DHAHABU. Niliona pia Malaika wakimimina juice Kwa watakatifu ambayo ilikuwa ya kipekee.

Hebu fafanua hapa...

Maana kuna mahali unataja hakuna kusikia njaa...lakini mahala pengine unataja kulikuwa na unywaji na ulaji...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…