Legeza mwendo
JF-Expert Member
- Oct 8, 2016
- 519
- 653
Ngapi ngapi kwani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbaya haswa kwa wazee wakukodishwa..aka masufuria ya pilauHabari mbaya kwa mkodisho fc a.k.a vyura f.c ...chaneta j.r!!
Lakini kimeingia mpk kwny kipele Gkwa MBINDE SANA 1 0
IPO MKUU, TUPO DARAJA LA KWANZA TUNAPAMBANA KUPANDA LIGI KUUJamani kwa Lipuli ya Iringa iko wapi!?
Vyura FC aka Masufuria MkodishoChura haamini
Nasema ivi kwa mbinde sanaLakini kimeingia mpk kwny kipele G
ndio lakini mimba tayariiiiNasema ivi kwa mbinde sana
Tatizo watu wanataka lione mess acheze na huku Iwe kama Jana kwa man city huo sio mpira ni kudharirishandio lakini mimba tayariiii
Wanataka kama ya mess na man city Jana kudhalilishanandio lakini mimba tayariiii
Goli lenyewe dakika ya 89ndio lakini mimba tayariiii
bila shaka wewe ni shabiki wa "masufuria ya pilau fc" BISHAAAA????..Wale mbao walikuwa vzr zaidi ya mikia ,sema walizidiwa waganga tu
sasa ulitakaje??? mpira ni dakika 90+!!Goli lenyewe dakika ya 89