sembo
JF-Expert Member
- May 25, 2011
- 4,350
- 3,451
Kichuya akipewa tena kona ataweza kubahatisha tena
Tuna miaka mingi hatujawahi kuwa na wasiwasi na simba.
Point 8 tu mnaongea kama ligi imeisha..nyote mtanyamaza tu, mnajua tambwe????
Mkuu.. Unataka tuanze kuongea tukiwaacha pointi ngapi?